Kuna watu walikuwa wanafurahi CHADEMA kuumizwa, hawajapenda haya maridhiano

Kuna watu walikuwa wanafurahi CHADEMA kuumizwa, hawajapenda haya maridhiano

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
Furaha yao ni kuona Mbowe anafungwa Lissu anaumizwa, wafuasi wanauawa, wanafilisiwa mali, viongozi wa Chadema kila siku wanakamatwa, wanashinda polisi. Wanapoona Chadema kinakwenda kuelewana na wenzao wa CCM kinyongo kimewajaa.

Wameanza kuleta maneno chonganishi mara Mbowe kanunuliwa mara kuna mgogoro ndani ya chama almradi tu wawakatishe tamaa.

Hongera Mbowe, ulipokuwa gerezani kuna watu walifurahi kuna vyama vilifurahi vikitegemea Chadema itakufa ili vichukue nafasi ya Chadema wakati havina hata base, kazi yao kubwa ni kuchonganisha vyama vigawanyike vichukue wafuasi, hata mgogoro wa NCCR wanafurahi uendelee ili wapate wafuasi kutoka bara. Shame on them.
 
Ila nimeanza kuamini Mbowe na CHADEMA yake wana tatizo mahala, mara tatu sasa Mbowe anakwenda Ikulu, hasemi hoja walizojadili, zenye mgogoro, mtu mmoja kuonana na Rais, tena kimya kimya, hatoi taarifa. Eti wafuasi wanaita maridhiano.
Huu ni utatuzi wa mgogoro binafsi wa Mbowe na serikali, sio CDM.
 
Ila nimeanza kuamini Mbowe na CHADEMA yake wana tatizo mahala, mara tatu sasa Mbowe anakwenda Ikulu, hasemi hoja walizojadili, zenye mgogoro, mtu mmoja kuonana na Rais, tena kimya kimya, hatoi taarifa. Eti wafuasi wanaita maridhiano.
Huu ni utatuzi wa mgogoro binafsi wa Mbowe na serikali, sio CDM.
Sasa hapo unakerwa na nini?
 
Ila nimeanza kuamini Mbowe na CHADEMA yake wana tatizo mahala, mara tatu sasa Mbowe anakwenda Ikulu, hasemi hoja walizojadili, zenye mgogoro, mtu mmoja kuonana na Rais, tena kimya kimya, hatoi taarifa. Eti wafuasi wanaita maridhiano.
Huu ni utatuzi wa mgogoro binafsi wa Mbowe na serikali, sio CDM.
Na wewe ni wale wale tu kwa sura tofauti.
 
Kuna kundi kubwa la wabunge 90% hawawezi hata kujenga hoja na hawafai lkn wako bungeni kwasabb yule mwendawazimu aliikandamiza chadema na kuharibu uchaguzi. Hawa ndiyo wamenuna sana.

Maana wanajua kwa kinachoendelea hawarudi tena
 
Maria Sarungi atakosa wadau space, kambakiza Lema tu, Lema na Martin Maranja Masese wanalia kwa nini chadema wanataka maridhiano, wanajua baada ya hapo hawana umuhimu tena, aina ya Siasa zao ni za matusi, vurugu, kutukanana
 
Kuna kundi kubwa la wabunge 90% hawawezi hata kujenga hoja na hawafai lkn wako bungeni kwasabb yule mwendawazimu aliikandamiza chadema na kuharibu uchaguzi. Hawa ndiyo wamenuna sana.

Maana wanajua kwa kinachoendelea hawarudi tena
Mwendazake aliiharibu sana nchi.
 
Maria Sarungi atakosa wadau space, kambakiza Lema tu, Lema na Martin Maranja Masese wanalia kwa nini chadema wanataka maridhiano, wanajua baada ya hapo hawana umuhimu tena, aina ya Siasa zao ni za matusi, vurugu, kutukanana
Mkiambiwa ndani ya Chadema kuna demokrasia mnakataa, watu wana tofautiana kimawazo lkn hawafukuzwi.
 
Mbowe kapoteza mali nyingi sana. Ni lazima maridhiano ili mali zake zirudi. Hata ningekua mimi.
 
Furaha yao ni kuona Mbowe anafungwa Lissu anaumizwa, viongozi wa Chadema kila siku wakamatwe washinde polisi. Wanapoona Chadema kinakwenda kuelewana na wenzao wa CCM kinyongo kimewajaa.

Wameanza kuleta maneno chonganishi mara Mbowe kanunuliwa mara kuna mgogoro ndani ya chama almradi tu wawakatishe tamaa.

Hongera Mbowe, ulipokuwa gerezani kuna watu walifurahi kuna vyama vilifurahi vikitegemea Chadema itakufa ili vichukue nafasi ya Chadema wakati havina hata base, kazi yao kubwa ni kuchonganisha vyama vigawanyike vichukue wafuasi, hata mgogoro wa NCCR wanafurahi uendelee ili wapate wafuasi kutoka bara. Shame on them.
Hivi wewe huwa una nini? Mbona unajisitukia
 
kwanini mlesema Zito kanunuliwa baada ya yeye kuwa wa kwanza kwenye maridhiano na serikali ya CCM?
 
Furaha yao ni kuona Mbowe anafungwa Lissu anaumizwa, viongozi wa Chadema kila siku wakamatwe washinde polisi. Wanapoona Chadema kinakwenda kuelewana na wenzao wa CCM kinyongo kimewajaa.

Wameanza kuleta maneno chonganishi mara Mbowe kanunuliwa mara kuna mgogoro ndani ya chama almradi tu wawakatishe tamaa.

Hongera Mbowe, ulipokuwa gerezani kuna watu walifurahi kuna vyama vilifurahi vikitegemea Chadema itakufa ili vichukue nafasi ya Chadema wakati havina hata base, kazi yao kubwa ni kuchonganisha vyama vigawanyike vichukue wafuasi, hata mgogoro wa NCCR wanafurahi uendelee ili wapate wafuasi kutoka bara. Shame on them.
Hilo liko wazi kabisa mbona? Na Mungu alivyo wa ajabu CHADEMA inazidi kushine na kuzidi kujikita mioyoni mwa wengi
 
Back
Top Bottom