Kuna watu walikuwa wanafurahi CHADEMA kuumizwa, hawajapenda haya maridhiano

Kuna watu walikuwa wanafurahi CHADEMA kuumizwa, hawajapenda haya maridhiano

Ndani ya CCM ni ukweli usiopingika kwamba kitendo cha Mbowe kwenda Ikulu mara 3, kimewauma sana - walitaka vita vya kisiasa viendelee na watu waendelee kusota magelezani na kuumizwa.
 
Furaha yao ni kuona Mbowe anafungwa Lissu anaumizwa, wafuasi wanauawa, wanafilisiwa mali, viongozi wa Chadema kila siku wanakamatwa, wanashinda polisi. Wanapoona Chadema kinakwenda kuelewana na wenzao wa CCM kinyongo kimewajaa.

Wameanza kuleta maneno chonganishi mara Mbowe kanunuliwa mara kuna mgogoro ndani ya chama almradi tu wawakatishe tamaa.

Hongera Mbowe, ulipokuwa gerezani kuna watu walifurahi kuna vyama vilifurahi vikitegemea Chadema itakufa ili vichukue nafasi ya Chadema wakati havina hata base, kazi yao kubwa ni kuchonganisha vyama vigawanyike vichukue wafuasi, hata mgogoro wa NCCR wanafurahi uendelee ili wapate wafuasi kutoka bara. Shame on them.
Mbaya zaidi kuna wana-CHADEMA tena nao hawataki tena maridhiano sijui wanataka nini?
 
Mbaya zaidi kuna wana-CHADEMA tena nao hawataki tena maridhiano sijui wanataka nini?
Ukiona hivyo kuna makundi ya aina mbili, kundi la kwanza kweli ni wana CDM ambao hawaamini kama CCM itaridhia mwafaka wanaona kama CCM wanataka kuitumia CDM kwa manufaa ya serikali.

Kundi la pili ni mamluki wanaojifanya wana CDM lengo ni kubeza maridhiano na kuwachonganisha viongozi na wanachama hawa ndio walionuna zaidi.
 
Ukiona hivyo kuna makundi ya aina mbili, kundi la kwanza kweli ni wana CDM lkn hawaamini kama CCM itaridhia mwafaka wanaona kama CCM wanataka kuitumia CDM kwa manufaa ya serikali.

Kundi la pili ni mamluki wanaojifanya wana CDM lengo ni kubeza maridhiano na kuwachonganisha viongozi na wanachama hawa ndio walionuna zaidi.
Nakubaliana na hoja zako
 
Furaha yao ni kuona Mbowe anafungwa Lissu anaumizwa, wafuasi wanauawa, wanafilisiwa mali, viongozi wa Chadema kila siku wanakamatwa, wanashinda polisi. Wanapoona Chadema kinakwenda kuelewana na wenzao wa CCM kinyongo kimewajaa.

Wameanza kuleta maneno chonganishi mara Mbowe kanunuliwa mara kuna mgogoro ndani ya chama almradi tu wawakatishe tamaa.

Hongera Mbowe, ulipokuwa gerezani kuna watu walifurahi kuna vyama vilifurahi vikitegemea Chadema itakufa ili vichukue nafasi ya Chadema wakati havina hata base, kazi yao kubwa ni kuchonganisha vyama vigawanyike vichukue wafuasi, hata mgogoro wa NCCR wanafurahi uendelee ili wapate wafuasi kutoka bara. Shame on them.
Tahadhali: Hawa watu watadiriki kupandikiza mamluki ndani mwa CHADEMA ili wakivuruge na kuvuruga mchakato huu tukufu.
 
F60581D2-E73F-4B25-998E-D0D093B63025.jpeg
 
Back
Top Bottom