Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Bado unateseka sana JoTulipofika hakuna kuumia tena bwashee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado unateseka sana JoTulipofika hakuna kuumia tena bwashee
Kea lipi bwashee?Bado unateseka sana Jo
Uko sahihi..Hasa Lijualikali....Furaha yao ni kuona Mbowe anafungwa Lissu anaumizwa, viongozi wa Chadema kila siku wakamatwe washinde polisi. Wanapoona Chadema kinakwenda kuelewana na wenzao wa CCM kinyongo kimewajaa.
Wameanza kuleta maneno chonganishi mara Mbowe kanunuliwa mara kuna mgogoro ndani ya chama almradi tu wawakatishe tamaa.
Hongera Mbowe, ulipokuwa gerezani kuna watu walifurahi kuna vyama vilifurahi vikitegemea Chadema itakufa ili vichukue nafasi ya Chadema wakati havina hata base, kazi yao kubwa ni kuchonganisha vyama vigawanyike vichukue wafuasi, hata mgogoro wa NCCR wanafurahi uendelee ili wapate wafuasi kutoka bara. Shame on them.
Mmoja wapo Huyu...Kila mtu anaenda ikulu kwa malengo yake wengine ni opportunist.
Huyu Maranja, Lissu na Lema watafukuzwa, take my words, ni suala la muda tuMkiambiwa ndani ya Chadema kuna demokrasia mnakataa, watu wana tofautiana kimawazo lkn hawafukuzwi.
Hayo ni mawazo kinzani tu ndiyo yanayojenga chama yanawakumbusha viongozi kuwa makini chochote wanachofanya wanachama wanafuatilia.Huyu Maranja, Lissu na Lema watafukuzwa, take my words, ni suala la muda tu
Kinachokukera hapo ni kitu gani sasa?Ila nimeanza kuamini Mbowe na CHADEMA yake wana tatizo mahala, mara tatu sasa Mbowe anakwenda Ikulu, hasemi hoja walizojadili, zenye mgogoro, mtu mmoja kuonana na Rais, tena kimya kimya, hatoi taarifa. Eti wafuasi wanaita maridhiano.
Huu ni utatuzi wa mgogoro binafsi wa Mbowe na serikali, sio CDM.
Hivi huwaga nnardhiana kitu gani huko ikulu?Mwendazake aliiharibu sana nchi.
Mwendazake alikuwa hataki hata kusogeana na wapinzani maridhiano yangetoka wapi. Roho mbaya sana hiyo.Hivi huwaga nnardhiana kitu gani huko ikulu?
Huyu mwendazake kumbe ndio alikuwa rais wakati Jk anachukua nchi ee? View attachment 2234342
Wewe ni mmojawapo uliyekuwa unapenda uwaona Chadema wanaumizwa,pole sana subiria selikali ya mseto baada ya uchaguziIla nimeanza kuamini Mbowe na CHADEMA yake wana tatizo mahala, mara tatu sasa Mbowe anakwenda Ikulu, hasemi hoja walizojadili, zenye mgogoro, mtu mmoja kuonana na Rais, tena kimya kimya, hatoi taarifa. Eti wafuasi wanaita maridhiano.
Huu ni utatuzi wa mgogoro binafsi wa Mbowe na serikali, sio CDM.
Comedian anaisoma namba kirusi ni kipigo kwa kwenda mbeleDogo Putin mtu serious huko anajamboshwa na comedian
Kwa akili zako ndefu ule ni ugomviKwa akili yako fupi unaamini hayo ni maridhiano! Wewe siyo chawa bali ni nyumbu kabisa.
Pole sana. Chukua ushauri wa Zitto Kabwe kuelekea Chato.Ila nimeanza kuamini Mbowe na CHADEMA yake wana tatizo mahala, mara tatu sasa Mbowe anakwenda Ikulu, hasemi hoja walizojadili, zenye mgogoro, mtu mmoja kuonana na Rais, tena kimya kimya, hatoi taarifa. Eti wafuasi wanaita maridhiano.
Huu ni utatuzi wa mgogoro binafsi wa Mbowe na serikali, sio CDM.
Nenda kamuulize Samia akuambie wanachojadili na MboweIla nimeanza kuamini Mbowe na CHADEMA yake wana tatizo mahala, mara tatu sasa Mbowe anakwenda Ikulu, hasemi hoja walizojadili, zenye mgogoro, mtu mmoja kuonana na Rais, tena kimya kimya, hatoi taarifa. Eti wafuasi wanaita maridhiano.
Huu ni utatuzi wa mgogoro binafsi wa Mbowe na serikali, sio CDM.
Hawa walipewa ushauri na Zitto Kabwe kuelekea Chato.Na wewe ni wale wale tu kwa sura tofauti.
Uko sahihi kabisa 100%Kuna kundi kubwa la wabunge 90% hawawezi hata kujenga hoja na hawafai lkn wako bungeni kwasabb yule mwendawazimu aliikandamiza chadema na kuharibu uchaguzi. Hawa ndiyo wamenuna sana.
Maana wanajua kwa kinachoendelea hawarudi tena
Nadhani hili jibu limemfaa huyu ndugu NAWATAFUNAKila mtu anaenda ikulu kwa malengo yake wengine ni opportunist.