Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo kwenye mseto ndiyo unawaumiza sana watu wa CCM, watamchukia sana mama SSH.Wewe ni mmojawapo uliyekuwa unapenda uwaona Chadema wanaumizwa,pole sana subiria selikali ya mseto baada ya uchaguzi
Sio kwamba napenda, Mbowe hapendi mtu anayetaka madaraka yake ya uenyekiti wa maisha wa CDM
Kusema au kutozisema haina tija ,tija ni upande ule Kama Kuna nia ya kweli kuridhia yale wamepelekewa Hasa KATIBA MPYA hii ndo pilipili KWa CCM, je ipo tiyari ?????? Dalili zinaonesha kwao ni jambo la tano, hapa ndo kipengele Cha kua makini Kama wako mbali huna sababu ya kupoteza mda, bali ni kujikita kujenga chama na mipango mingine yenye tija ndani ya chamaIla nimeanza kuamini Mbowe na CHADEMA yake wana tatizo mahala, mara tatu sasa Mbowe anakwenda Ikulu, hasemi hoja walizojadili, zenye mgogoro, mtu mmoja kuonana na Rais, tena kimya kimya, hatoi taarifa. Eti wafuasi wanaita maridhiano.
Huu ni utatuzi wa mgogoro binafsi wa Mbowe na serikali, sio CDM.
Upenzi ni upofu lini Zitto kawa wa kwanza kwenye maridhiano, wa kwanza ni Seif chini ya CUF.kwanini mlesema Zito kanunuliwa baada ya yeye kuwa wa kwanza kwenye maridhiano na serikali ya CCM?
Uzi unasema watu walionuna kwa hili na wewe unajitangaza live kuwa una roho mbaya.Ila nimeanza kuamini Mbowe na CHADEMA yake wana tatizo mahala, mara tatu sasa Mbowe anakwenda Ikulu, hasemi hoja walizojadili, zenye mgogoro, mtu mmoja kuonana na Rais, tena kimya kimya, hatoi taarifa. Eti wafuasi wanaita maridhiano.
Huu ni utatuzi wa mgogoro binafsi wa Mbowe na serikali, sio CDM.
Wako wengi sana. Na hawawezi hata kujificha.Mmojawapo anayeumizwa sana na haya ya CHADEMA ni wewe Jo
Chadema chama lao.Hilo liko wazi kabisa mbona? Na Mungu alivyo wa ajabu CHADEMA inazidi kushine na kuzidi kujikita mioyoni mwa wengi
Sasa hapa mada ya Zitto imeingiaje?🤣🤣🤣kwanini mlesema Zito kanunuliwa baada ya yeye kuwa wa kwanza kwenye maridhiano na serikali ya CCM?
🤣🤣🤣Kuna kundi kubwa la wabunge 90% hawawezi hata kujenga hoja na hawafai lkn wako bungeni kwasabb yule mwendawazimu aliikandamiza chadema na kuharibu uchaguzi. Hawa ndiyo wamenuna sana.
Maana wanajua kwa kinachoendelea hawarudi tena
Kwani unajifanya hujui?Kea lipi bwashee?
act au?Furaha yao ni kuona Mbowe anafungwa Lissu anaumizwa, wafuasi wanauawa, wanafilisiwa mali, viongozi wa Chadema kila siku wanakamatwa, wanashinda polisi. Wanapoona Chadema kinakwenda kuelewana na wenzao wa CCM kinyongo kimewajaa.
Wameanza kuleta maneno chonganishi mara Mbowe kanunuliwa mara kuna mgogoro ndani ya chama almradi tu wawakatishe tamaa.
Hongera Mbowe, ulipokuwa gerezani kuna watu walifurahi kuna vyama vilifurahi vikitegemea Chadema itakufa ili vichukue nafasi ya Chadema wakati havina hata base, kazi yao kubwa ni kuchonganisha vyama vigawanyike vichukue wafuasi, hata mgogoro wa NCCR wanafurahi uendelee ili wapate wafuasi kutoka bara. Shame on them.
Wanune na wapusuke, waliharibu nchi yetu kwa ulimbukeni wao hadi tulipopiga magoti kwa Mola wetu akaturehemu.Kuna kundi kubwa la wabunge 90% hawawezi hata kujenga hoja na hawafai lkn wako bungeni kwasabb yule mwendawazimu aliikandamiza chadema na kuharibu uchaguzi. Hawa ndiyo wamenuna sana.
Maana wanajua kwa kinachoendelea hawarudi tena
Hivi lini vijana wa ccm; mtaandika kwa hoja na uelewa badala ya vioja na kejeli pasipo misingi ya kujenga hoja na kuitetea?Kwa akili yako fupi unaamini hayo ni maridhiano! Wewe siyo chawa bali ni nyumbu kabisa.
Acha uzwazwa serikali nachama wamegundua mahitaji yaliyotumika kumfunga mbowe hayakutakiwa kumfunga Ila kukubaliana ,katiba niya wananchi sio ccmIla nimeanza kuamini Mbowe na CHADEMA yake wana tatizo mahala, mara tatu sasa Mbowe anakwenda Ikulu, hasemi hoja walizojadili, zenye mgogoro, mtu mmoja kuonana na Rais, tena kimya kimya, hatoi taarifa. Eti wafuasi wanaita maridhiano.
Huu ni utatuzi wa mgogoro binafsi wa Mbowe na serikali, sio CDM.
Mkuu achana nao tumeshawazoea.Hivi lini vijana wa ccm; mtaandika kwa hoja na uelewa badala ya vioja na kejeli pasipo misingi ya kujenga hoja na kuitetea?
Yeye kaenda ikulu wewe nenda nyumbani kwake atakueleza walichokiongea.Ila nimeanza kuamini Mbowe na CHADEMA yake wana tatizo mahala, mara tatu sasa Mbowe anakwenda Ikulu, hasemi hoja walizojadili, zenye mgogoro, mtu mmoja kuonana na Rais, tena kimya kimya, hatoi taarifa. Eti wafuasi wanaita maridhiano.
Huu ni utatuzi wa mgogoro binafsi wa Mbowe na serikali, sio CDM.