Kuna watu walikuwa wanafurahi CHADEMA kuumizwa, hawajapenda haya maridhiano

Kuna watu walikuwa wanafurahi CHADEMA kuumizwa, hawajapenda haya maridhiano

Wewe ni mmojawapo uliyekuwa unapenda uwaona Chadema wanaumizwa,pole sana subiria selikali ya mseto baada ya uchaguzi
Hapo kwenye mseto ndiyo unawaumiza sana watu wa CCM, watamchukia sana mama SSH.
 
Ila nimeanza kuamini Mbowe na CHADEMA yake wana tatizo mahala, mara tatu sasa Mbowe anakwenda Ikulu, hasemi hoja walizojadili, zenye mgogoro, mtu mmoja kuonana na Rais, tena kimya kimya, hatoi taarifa. Eti wafuasi wanaita maridhiano.
Huu ni utatuzi wa mgogoro binafsi wa Mbowe na serikali, sio CDM.
Kusema au kutozisema haina tija ,tija ni upande ule Kama Kuna nia ya kweli kuridhia yale wamepelekewa Hasa KATIBA MPYA hii ndo pilipili KWa CCM, je ipo tiyari ?????? Dalili zinaonesha kwao ni jambo la tano, hapa ndo kipengele Cha kua makini Kama wako mbali huna sababu ya kupoteza mda, bali ni kujikita kujenga chama na mipango mingine yenye tija ndani ya chama
 
2662F7AC-5C5A-41BA-A027-60189C342022.png
 
kwanini mlesema Zito kanunuliwa baada ya yeye kuwa wa kwanza kwenye maridhiano na serikali ya CCM?
Upenzi ni upofu lini Zitto kawa wa kwanza kwenye maridhiano, wa kwanza ni Seif chini ya CUF.
 
Ila nimeanza kuamini Mbowe na CHADEMA yake wana tatizo mahala, mara tatu sasa Mbowe anakwenda Ikulu, hasemi hoja walizojadili, zenye mgogoro, mtu mmoja kuonana na Rais, tena kimya kimya, hatoi taarifa. Eti wafuasi wanaita maridhiano.
Huu ni utatuzi wa mgogoro binafsi wa Mbowe na serikali, sio CDM.
Uzi unasema watu walionuna kwa hili na wewe unajitangaza live kuwa una roho mbaya.

Kweli dunia ina watu na viatu.
 
Kuna kundi kubwa la wabunge 90% hawawezi hata kujenga hoja na hawafai lkn wako bungeni kwasabb yule mwendawazimu aliikandamiza chadema na kuharibu uchaguzi. Hawa ndiyo wamenuna sana.

Maana wanajua kwa kinachoendelea hawarudi tena
🤣🤣🤣
 
Furaha yao ni kuona Mbowe anafungwa Lissu anaumizwa, wafuasi wanauawa, wanafilisiwa mali, viongozi wa Chadema kila siku wanakamatwa, wanashinda polisi. Wanapoona Chadema kinakwenda kuelewana na wenzao wa CCM kinyongo kimewajaa.

Wameanza kuleta maneno chonganishi mara Mbowe kanunuliwa mara kuna mgogoro ndani ya chama almradi tu wawakatishe tamaa.

Hongera Mbowe, ulipokuwa gerezani kuna watu walifurahi kuna vyama vilifurahi vikitegemea Chadema itakufa ili vichukue nafasi ya Chadema wakati havina hata base, kazi yao kubwa ni kuchonganisha vyama vigawanyike vichukue wafuasi, hata mgogoro wa NCCR wanafurahi uendelee ili wapate wafuasi kutoka bara. Shame on them.
act au?
 
Nimeona wanachama pendwa wa chama pendwa-chadema pamoja na Mapaka ya kijani😁😁😁
 
Kuna kundi kubwa la wabunge 90% hawawezi hata kujenga hoja na hawafai lkn wako bungeni kwasabb yule mwendawazimu aliikandamiza chadema na kuharibu uchaguzi. Hawa ndiyo wamenuna sana.

Maana wanajua kwa kinachoendelea hawarudi tena
Wanune na wapusuke, waliharibu nchi yetu kwa ulimbukeni wao hadi tulipopiga magoti kwa Mola wetu akaturehemu.
 
Kwa akili yako fupi unaamini hayo ni maridhiano! Wewe siyo chawa bali ni nyumbu kabisa.
Hivi lini vijana wa ccm; mtaandika kwa hoja na uelewa badala ya vioja na kejeli pasipo misingi ya kujenga hoja na kuitetea?
 
Ila nimeanza kuamini Mbowe na CHADEMA yake wana tatizo mahala, mara tatu sasa Mbowe anakwenda Ikulu, hasemi hoja walizojadili, zenye mgogoro, mtu mmoja kuonana na Rais, tena kimya kimya, hatoi taarifa. Eti wafuasi wanaita maridhiano.
Huu ni utatuzi wa mgogoro binafsi wa Mbowe na serikali, sio CDM.
Acha uzwazwa serikali nachama wamegundua mahitaji yaliyotumika kumfunga mbowe hayakutakiwa kumfunga Ila kukubaliana ,katiba niya wananchi sio ccm
 
Ila nimeanza kuamini Mbowe na CHADEMA yake wana tatizo mahala, mara tatu sasa Mbowe anakwenda Ikulu, hasemi hoja walizojadili, zenye mgogoro, mtu mmoja kuonana na Rais, tena kimya kimya, hatoi taarifa. Eti wafuasi wanaita maridhiano.
Huu ni utatuzi wa mgogoro binafsi wa Mbowe na serikali, sio CDM.
Yeye kaenda ikulu wewe nenda nyumbani kwake atakueleza walichokiongea.
 
Back
Top Bottom