Kuna watu wana upendeleo humu

la muhimu tu ujue members wote humu wana degree, wanaishi Dar na wana magari!!
Mimi sina degree. Naishi Dar Ila nimegraduet na akili aliyonijalia mungu ndio inanifanya nisimamie Mali za urithi nilizoachiwa. Mkuu unaweza kujua lipi nibora kati ya Mali na degree.
 
Mimi sina degree. Naishi Dar Ila nimegraduet na akili aliyonijalia mungu ndio inanifanya nisimamie Mali za urithi nilizoachiwa. Mkuu unaweza kujua lipi nibora kati ya Mali na degree.
pesa safi nitakupm
 
anataka ushirikiano ajue Pm zinatumikaje, anafikaje, na mitongozo isimpitie mbali...
mimi nimemuelewa sana tu!
 
Tatizo sina ninalojua yani ndio kwanza. Hata hiyo private messages Sifaham inafungwa vipi au kufunguliwa vipi[emoji26][emoji15]
[emoji87] Lahaula kaulizwa miss chaga nimejibu mimi. Yani huu ni ulena wahali ya monchwar. Nisameheni tu ntajua kidogodogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…