Kuna watu wanaamini kuwa upinzani ni utakatifu na kuwa CCM ni unajisi. Ukweli ni kuwa chama hakimfanyi mtu kuwa Mtakatifu au najisi

Hapo kuna watu 2 katika vyama,kuna viongozi na wananchama.wanachama wengi wema wapo but hakuna kiongozi yoyote mwema kwenye vyama either CCM or CDM na sio kwa vyama vyetu tu ni Duniani kote.
Politics ni mchezo mchafu.
 
Kwani hapa Duniani uliona chama gani hakitumii hilarious na mbinu chafu kubaki madarakani???
Nitaanza europe haswa UK na ireland, omna uzoefu napo huku. Siasa za kwa asilimia kubwa very clean, kurushiana maneno kupo but hawajafika magnitude ya kuuana na kufanyiana hila chafu, utashinda kwa hoja na sera tu
i am not say ni watakatifu but wako far above kulinganisha na siasa za tanzania
 
Wema wa upinzani utapimwa siku ukishika madaraka na sio sasa wakiwa hawana hayo madaraka.

Sikatai kuwa CHADEMA wapo watu wema Pia lakini kulinganisha wema wa CCM na CHADEMA haipo Sawa kabisa kwa sababu hawajawahi kuwa katika nafasi na kiwango Sawa
Kwani nini lengo la post yako,mbona inamwelekeo wa kulinganisha mema na mabaya ya pande zote mbili upande wa chama tawala na upande wa upinzani?.
 
Watu wema popote pale hapa duniani ni Wachache.
Sio kwenye vyama vya siasa tuu Bali hata kwenye taasisi zingine za kidini.

Mtu mwema chamani inategemewa na majukumu yake.
Katiba ya chama ndio muongozo WA wanachama na sio Tabia za wanachama
Kwa sababu ya ujinga na upuuzi wa halaiki, katiba haziheshimiwi, kuanzia kwenye vyama hadi taifa. Matokeo yake tabia za viongozi huongoza kwa asilimia zaidi ya 90.
Viongozi wakiwa waovu, uovu huongezeka, wakiwa wema vivyo hivyo tabia hiyo hutawala.
 
Ila kiukweli kuna chama ni najisi kabisa hata Mola anakijua!
Kipo tyr hata kuua achilia mbalia wizi, dhuluma na unyanyasaji!
 

..hoja yako haina uhalisia.

..kundi la WAOVU / WAHUNI ndio limeshika hatamu huko CCM.

..watu wema, waadilifu, hawana sauti wala ushawishi ndani ya CCM.

..Mazingira hayo ndiyo yanayochochea imani kwamba ukiwa CCM wewe ni muovu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…