Kuna watu wanaamini Waisrael sio watu wa kawaida. Wanawakuza sana

Kuna watu wanaamini Waisrael sio watu wa kawaida. Wanawakuza sana

canfi

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2022
Posts
1,368
Reaction score
1,477
Yani kila linalotokea huko Gaza, wao watakwambia Israel inajua inachokifanya. Waliposhambuliwa na kuuwawa zaidi ya raia wao elf 1 pamoja na wengine zaidi ya miamoja kutekwa, wapo waliosema 'eti huo ni mtego'.

Wakajiapiza kurejesha mateka wote na kuwamaliza Hamas. Lkn baada ya vita ya zaidi ya Mwaka bila kufanikisha lengo lolote zaidi ya kuwaua raia wa kawaida (ambalo sio lengo), wameishia kufanya makubaloano ya kusitisha mapigano ili kuwapata wapendwa wao.

Cha kushangaza kuna watu bado wanasema 'Israel ilikuwa inajua walipo hao mateka'. Jaman hawa watu wameshindwa, ni watu wa kawaida tu na hawana lolote. Ukitaka kuthibitisha hili jiulize kwanini taifa hilo kuna mashoga wengi sana?

Ni wa kawaida sana mpaka wanakuwa miongoni mwa mataifa machache yenye kuongoza kwa huo uchafu. Tupunguze kuwakwezaaa
 
GDP ya Israel taifa dogo lenye ukubwa sana na Rwanda na lilo jangwani ni kubwa kuliko jumla ya GDP ya mataifa yote ya Africa Mashariki.

Kama ushoga ungekuwa ndio tatizo sisi tusingukwa tunahangaika kujenga matundu ya choo mpaka leo huko wao wanatengeneza Iron dome na teknolojia za kila aina. Ni kweli pia Waisraeli wana akili ya kiwango cha juu sana kulinganisha na raia wa mataifa mengi ya dunia.
 
Blind acceptance is the enemy of knowledge.

Dini na imani zimepumbaza akili za waafrika wengi hasa watanzania.

These people need an urgent brain reset.

They need to restore their brains🧠 to factory settings.

Hasa wafia dini maskini choka mbaya.
 
Yani kila linalotokea huko Gaza, wao watakwambia Israel inajua inachokifanya. Waliposhambuliwa na kuuwawa zaidi ya raia wao elf 1 pamoja na wengine zaidi ya miamoja kutekwa, wapo waliosema 'eti huo ni mtego'.

Wakajiapiza kurejesha mateka wote na kuwamaliza Hamas. Lkn baada ya vita ya zaidi ya Mwaka bila kufanikisha lengo lolote zaidi ya kuwaua raia wa kawaida (ambalo sio lengo), wameishia kufanya makubaloano ya kusitisha mapigano ili kuwapata wapendwa wao.

Cha kushangaza kuna watu bado wanasema 'Israel ilikuwa inajua walipo hao mateka'. Jaman hawa watu wameshindwa, ni watu wa kawaida tu na hawana lolote. Ukitaka kuthibitisha hili jiulize kwanini taifa hilo kuna mashoga wengi sana?

Ni wa kawaida sana mpaka wanakuwa miongoni mwa mataifa machache yenye kuongoza kwa huo uchafu. Tupunguze kuwakwezaaa
Acha wivu.
 
Yani kila linalotokea huko Gaza, wao watakwambia Israel inajua inachokifanya. Waliposhambuliwa na kuuwawa zaidi ya raia wao elf 1 pamoja na wengine zaidi ya miamoja kutekwa, wapo waliosema 'eti huo ni mtego'.

Wakajiapiza kurejesha mateka wote na kuwamaliza Hamas. Lkn baada ya vita ya zaidi ya Mwaka bila kufanikisha lengo lolote zaidi ya kuwaua raia wa kawaida (ambalo sio lengo), wameishia kufanya makubaloano ya kusitisha mapigano ili kuwapata wapendwa wao.

Cha kushangaza kuna watu bado wanasema 'Israel ilikuwa inajua walipo hao mateka'. Jaman hawa watu wameshindwa, ni watu wa kawaida tu na hawana lolote. Ukitaka kuthibitisha hili jiulize kwanini taifa hilo kuna mashoga wengi sana?

Ni wa kawaida sana mpaka wanakuwa miongoni mwa mataifa machache yenye kuongoza kwa huo uchafu. Tupunguze kuwakwezaaa
Huu ujinga wa kuitukuza israel kupitia kiasi upo hapa tanzania .. na inachangiwa zaidi na walokole na elim ya mkoloni
 
Wakishakuwa Wazungu basi ujue wana AKILI NA MAARIFA, Hawawezi kufanana na ninyi Weusi mnaoitwa Manyani huko duniani

Muisrael ana teknolojia kubwa sana na Exposure ya Dunia tangu enzi na enzi
Kutuzidi sisi watu WEUSI labda.
 
Back
Top Bottom