Kuna watu wanaamini Waisrael sio watu wa kawaida. Wanawakuza sana

Kuna watu wanaamini Waisrael sio watu wa kawaida. Wanawakuza sana

Huu ujinga wa kuitukuza israel kupitia kiasi upo hapa tanzania .. na inachangiwa zaidi na walokole na elim ya mkoloni
Hata satellite anayotumia azam ili uangalie kingamuzi eutsat 7w Mali ya myahudi. Unamzidi nini wewe. Hata wanaoichukia Israel asilimia kubwa ni kobasi lipo wazi tu. Hata wewe unazungumza ndani yako umejaa chuki tu za kikobazi
 
GDP ya Israel taifa dogo lenye ukubwa sana na Rwanda na lilo jangwani ni kubwa kuliko jumla ya GDP ya mataifa yote ya Africa Mashariki.

Kama ushoga ungekuwa ndio tatizo sisi tusingukwa tunahangaika kujenga matundu ya choo mpaka leo huko wao wanatengeneza Iron dome na teknolojia za kila aina. Ni kweli pia Waisraeli wana akili ya kiwango cha juu sana kulinganisha na raia wa mataifa mengi ya dunia.
Sawa
 
Wakishakuwa Wazungu basi ujue wana AKILI NA MAARIFA, Hawawezi kufanana na ninyi Weusi mnaoitwa Manyani huko duniani

Muisrael ana teknolojia kubwa sana na Exposure ya Dunia tangu enzi na enzi
Sawa
 
Yani kila linalotokea huko Gaza, wao watakwambia Israel inajua inachokifanya. Waliposhambuliwa na kuuwawa zaidi ya raia wao elf 1 pamoja na wengine zaidi ya miamoja kutekwa, wapo waliosema 'eti huo ni mtego'.

Wakajiapiza kurejesha mateka wote na kuwamaliza Hamas. Lkn baada ya vita ya zaidi ya Mwaka bila kufanikisha lengo lolote zaidi ya kuwaua raia wa kawaida (ambalo sio lengo), wameishia kufanya makubaloano ya kusitisha mapigano ili kuwapata wapendwa wao.

Cha kushangaza kuna watu bado wanasema 'Israel ilikuwa inajua walipo hao mateka'. Jaman hawa watu wameshindwa, ni watu wa kawaida tu na hawana lolote. Ukitaka kuthibitisha hili jiulize kwanini taifa hilo kuna mashoga wengi sana?

Ni wa kawaida sana mpaka wanakuwa miongoni mwa mataifa machache yenye kuongoza kwa huo uchafu. Tupunguze kuwakwezaaa
Kwanza nikusahihishe waliouwawa na magaidi wa Hamas Oct 07,2023 ni 1,200 na waliotekwa ni 251.
Pili Napenda pia kukujulisha kuwa mpaka sasa walioko Gaza kama mateka ni 98 tu wengine wote wamekombolewa kwa nią mbalimbali huo pia ni ushindi kwa Israel kutoka mateka 251 mpaka mateka 98 ni ushindi tosha. Pia ni uongo kusema hawajafanya lolote kuhusu kuuwawa wanawake na watoto hiyo ni jukumu la Hamas wali pasowa kuwa weka mbali na uwanja wa vita watoto ili wasidhurike lakini kwa kuwa wao ni Magaidi waliamua kuwafanya kuwa kinga yao na wao ndiyo furaha yao. None ni ukweli usiopingika ilikuwa unajua walipo kwa usalama wa mateka iliamua Isifanye kitu maana isingekuwa sahihi kuwaokoaa Katika hali hiyo. Kwa taarifa yako tu mkataba wa usitishwaji mapigano na magaidi wa Hamas ulipangwa na nchi za Kiara u na Marekani. Kwa taarifa yako tu wayahudi si wenzako wanauwezo zaidi yako Kwanza mitandao yote duniani kuna mkono wao,Hii Internet unayotumia kubwabwaja ovyo kuna mkono wao, Magaidi wa Hezbollah wanajua vizuri sana kuwa israel si wa kawaida kwa kutumia teknolojia yao Gaidi Hassan Nasrallah waliweza kumwangamiza na waliweza kuzigeuza Radio call na Pagers 📟 kuwa mabomu na kuwamaliza makamanda wengi wa Hezbollah. Kwa upande wa Hamas Ismail aliweza kuuwawa akiwa Tehran kwenye ulinzi mkubwa wa Iran lakini aliangamizwa kutumia teknolojia yao. Israel unayoiona wewe ya kawaida Ina mifumo ya ulinzi wa anga ambayo bila kuwa nayo wananchi wengi wa israel wangekuwa wamepoteza maisha yao kwa makombola yanayotoka nchi za kiarabu. Vilevile israel unayoidharau wewe wana Alarm System ambayo bomu likitoka Yemen Iran au nchi yoyote inatoa taarifa mapema hivyo kuruhusu watu kwenda kwenye mahandaki kujihifadhi mifumo hiyo imeokoa watu wengi sana huko Ukraine na nchi zingine.. israel unayoidharau wewe ndiyo walioanzisha JKT hata sasa kuna askari huenda huko kupata mafunzo. Tukija kwenye kiimo na ufugaji nenda Google utapata majibu!!
 
GDP ya Israel ni $dola bilioni 564 wakati jumla ya GDP ya nchi zote za 8 za Africa
Mashariki ni $dola bilioni 350.
Ndo unataka kusemaje
Hata satellite anayotumia azam ili uangalie kingamuzi eutsat 7w Mali ya myahudi. Unamzidi nini wewe. Hata wanaoichukia Israel asilimia kubwa ni kobasi lipo wazi tu. Hata wewe unazungumza ndani yako umejaa chuki tu za kikobazi
sawa muisraeli wa kupaso ww najua unamahaba na isreali
 
Kwanza nikusahihishe waliouwawa na magaidi wa Hamas Oct 07,2023 ni 1,200 na waliotekwa ni 251.
Pili Napenda pia kukujulisha kuwa mpaka sasa walioko Gaza kama mateka ni 98 tu wengine wote wamekombolewa kwa nią mbalimbali huo pia ni ushindi kwa Israel kutoka mateka 251 mpaka mateka 98 ni ushindi tosha. Pia ni uongo kusema hawajafanya lolote kuhusu kuuwawa wanawake na watoto hiyo ni jukumu la Hamas wali pasowa kuwa weka mbali na uwanja wa vita watoto ili wasidhurike lakini kwa kuwa wao ni Magaidi waliamua kuwafanya kuwa kinga yao na wao ndiyo furaha yao. None ni ukweli usiopingika ilikuwa unajua walipo kwa usalama wa mateka iliamua Isifanye kitu maana isingekuwa sahihi kuwaokoaa Katika hali hiyo. Kwa taarifa yako tu mkataba wa usitishwaji mapigano na magaidi wa Hamas ulipangwa na nchi za Kiara u na Marekani. Kwa taarifa yako tu wayahudi si wenzako wanauwezo zaidi yako Kwanza mitandao yote duniani kuna mkono wao,Hii Internet unayotumia kubwabwaja ovyo kuna mkono wao, Magaidi wa Hezbollah wanajua vizuri sana kuwa israel si wa kawaida kwa kutumia teknolojia yao Gaidi Hassan Nasrallah waliweza kumwangamiza na waliweza kuzigeuza Radio call na Pagers 📟 kuwa mabomu na kuwamaliza makamanda wengi wa Hezbollah. Kwa upande wa Hamas Ismail aliweza kuuwawa akiwa Tehran kwenye ulinzi mkubwa wa Iran lakini aliangamizwa kutumia teknolojia yao. Israel unayoiona wewe ya kawaida Ina mifumo ya ulinzi wa anga ambayo bila kuwa nayo wananchi wengi wa israel wangekuwa wamepoteza maisha yao kwa makombola yanayotoka nchi za kiarabu. Vilevile israel unayoidharau wewe wana Alarm System ambayo bomu likitoka Yemen Iran au nchi yoyote inatoa taarifa mapema hivyo kuruhusu watu kwenda kwenye mahandaki kujihifadhi mifumo hiyo imeokoa watu wengi sana huko Ukraine na nchi zingine.. israel unayoidharau wewe ndiyo walioanzisha JKT hata sasa kuna askari huenda huko kupata mafunzo. Tukija kwenye kiimo na ufugaji nenda Google utapata majibu!!
Waache ushoga basi hao ndugu zako
 
Unamaanisha Wazungu wapi? Germanic, Gaelic au Latins?

Waisrael halisi wana vinasaba vya karibu na Uarabu kuliko Wazungu lakini sio Waarabu, kwasababu wana nywele nyekundu au za gold , ila kwa ujumla ni Watu weupe
Nywele nyeusi wanazo.....ukikutana nao kama hawajakusemesha ni waarabu piwaaa
 
Yani kila linalotokea huko Gaza, wao watakwambia Israel inajua inachokifanya. Waliposhambuliwa na kuuwawa zaidi ya raia wao elf 1 pamoja na wengine zaidi ya miamoja kutekwa, wapo waliosema 'eti huo ni mtego'.

Wakajiapiza kurejesha mateka wote na kuwamaliza Hamas. Lkn baada ya vita ya zaidi ya Mwaka bila kufanikisha lengo lolote zaidi ya kuwaua raia wa kawaida (ambalo sio lengo), wameishia kufanya makubaloano ya kusitisha mapigano ili kuwapata wapendwa wao.

Cha kushangaza kuna watu bado wanasema 'Israel ilikuwa inajua walipo hao mateka'. Jaman hawa watu wameshindwa, ni watu wa kawaida tu na hawana lolote. Ukitaka kuthibitisha hili jiulize kwanini taifa hilo kuna mashoga wengi sana?

Ni wa kawaida sana mpaka wanakuwa miongoni mwa mataifa machache yenye kuongoza kwa huo uchafu. Tupunguze kuwakwezaaa
Wapumbavu wengi wanaamini hivyo sawa na wabongo wanavyowachulia magabacholi wakati ni majizi na matapeli ya kawaida.
 
Nywele nyeusi wanazo.....ukikutana nao kama hawajakusemesha ni waarabu piwaaa
Hao ni wale waliointeract na Ethiopians au Arabs, ila Ukizungumzia Pure Jews ni dizain kama yule Petro au Yuda waliyeigiza kwenye filamu ya Maisha ya Yesu....nywele laini na zina wekundu
 
Cha kushangaza kuna watu bado wanasema 'Israel ilikuwa inajua walipo hao mateka'. Jaman hawa watu wameshindwa, ni watu wa kawaida tu na hawana lolote. Ukitaka kuthibitisha hili jiulize kwanini taifa hilo kuna mashoga wengi sana?
Kama unahusisha kushindwa na ushoga basi wapalestina, Iran ni mishoga kupindukia maana safu ya uongozi ya Hamas, na Hezbollah imefyekwa hii ni kudhihirika walivyokuwa mishoga tena ya kiwango cha juu sana ambacho hakijaweza kuwepo duniani.
Vilevile Iran ni mishoga tena ile michafu mnoo ya kizenj maana ameshindwa kuwalinda anaowadhili mpaka Haniya anauwawa Tehran tena kwenye majengo nyeti sana ya serikali. Iran imeshindwa kuwalinda wapiganaj wa hezbollah mpaka wakalipukiwa na pagers na kukaangwa makalio ka nguruwe.
 
Kama unahusisha kushindwa na ushoga basi wapalestina, Iran ni mishoga kupindukia maana safu ya uongozi ya Hamas, na Hezbollah imefyekwa hii ni kudhihirika walivyokuwa mishoga tena ya kiwango cha juu sana ambacho hakijaweza kuwepo duniani.
Vilevile Iran ni mishoga tena ile michafu mnoo ya kizenj maana ameshindwa kuwalinda anaowadhili mpaka Haniya anauwawa Tehran tena kwenye majengo nyeti sana ya serikali. Iran imeshindwa kuwalinda wapiganaj wa hezbollah mpaka wakalipukiwa na pagers na kukaangwa makalio ka nguruwe.
Elewa mada. Wao ni watu wa kawaida tu. Mnawakuza sana. Ni wa kawaida kama wengine ndio maana hata kwenye mambo ya machafu ya kubinuliwa wanafanya tena wapo katika rank za juu
 
Back
Top Bottom