Sio sehemu ya bajeti ya nchi, ni ufadhili wa kijeshi unaotolewa kila mwaka na serikali ya Marekani, sababu ni za kisiasa na zaidi sana ni kwa maslahi ya Marekani. Israel inachangia pakubwa sana katika sekta ya teknolojia hasa ya silaha nchini Marekani, sehemu kubwa ya biashara ya Silaha ya Israel inadhibitiwa na Marekani wakiwekewa vizingiti kutokuuza teknolojia kadhaa za silaha au kutoa utaalamu huo, Israel ni washirika wakubwa na wa uhakika wa US katika ujasusi Mashariki ya kati na uarabuni. Huo msaada wanaopewa ni kama malipo.Ok sawa why sehemu ya budget yao ya nchi inatolewa na marekani?
Ahaa ok sasa mbona GLOBAL INNOVATION INDEX(GII) inawarank namba 15 in terms of technology superiority?Sio sehemu ya bajeti ya nchi, ni ufadhili wa kijeshi unaotolewa kila mwaka na serikali ya Marekani, sababu ni za kisiasa na zaidi sana ni kwa maslahi ya Marekani. Israel inachangia pakubwa sana katika sekta ya teknolojia hasa ya silaha nchini Marekani, sehemu kubwa ya biashara ya Silaha ya Israel inadhibitiwa na Marekani wakiwekewa vizingiti kutokuuza teknolojia kadhaa za silaha au kutoa utaalamu huo, Israel ni washirika wakubwa na wa uhakika wa US katika ujasusi Mashariki ya kati na uarabuni. Huo msaada wanaopewa ni kama malipo.
Wanapima innovations za teknolojia zipi? Silaha zinahusika?Ahaa ok sasa mbona GLOBAL INNOVATION INDEX(GII) inawarank namba 15 in terms of technology superiority?
Taifa teule la Mungu haiwezi kuwa kama Rwanda. Hata uthibitisho wa kimaandiko Hilo Taifa ni la ASALI na Maziwa unakataa. Kwamba uzao wa Ibrahimu ni mwingi kama mchanga wa baharini halafu Leo Taifa lake liwe dogo Kama Rwanda halafu lipo Jangwani uthitisho unakataaGDP ya Israel taifa dogo lenye ukubwa sana na Rwanda na lilo jangwani ni kubwa kuliko jumla ya GDP ya mataifa yote ya Africa Mashariki.
Kama ushoga ungekuwa ndio tatizo sisi tusingukwa tunahangaika kujenga matundu ya choo mpaka leo huko wao wanatengeneza Iron dome na teknolojia za kila aina. Ni kweli pia Waisraeli wana akili ya kiwango cha juu sana kulinganisha na raia wa mataifa mengi ya dunia.
Mnawakuza sana haO taifa la WAAMERICA.GDP ya Israel taifa dogo lenye ukubwa sana na Rwanda na lilo jangwani ni kubwa kuliko jumla ya GDP ya mataifa yote ya Africa Mashariki.
Kama ushoga ungekuwa ndio tatizo sisi tusingukwa tunahangaika kujenga matundu ya choo mpaka leo huko wao wanatengeneza Iron dome na teknolojia za kila aina. Ni kweli pia Waisraeli wana akili ya kiwango cha juu sana kulinganisha na raia wa mataifa mengi ya dunia.
We hata wakikwambia wakufilhe unakubaliGDP ya Israel taifa dogo lenye ukubwa sana na Rwanda na lilo jangwani ni kubwa kuliko jumla ya GDP ya mataifa yote ya Africa Mashariki.
Kama ushoga ungekuwa ndio tatizo sisi tusingukwa tunahangaika kujenga matundu ya choo mpaka leo huko wao wanatengeneza Iron dome na teknolojia za kila aina. Ni kweli pia Waisraeli wana akili ya kiwango cha juu sana kulinganisha na raia wa mataifa mengi ya dunia.
Tupe takwimu za mataifa yote za viwango vya akili ambayo wao wameyazidi mataifa yote kwa kila nyanja ili tuone upekee wa hilo taifa lenu la mungu wenu.GDP ya Israel taifa dogo lenye ukubwa sana na Rwanda na lilo jangwani ni kubwa kuliko jumla ya GDP ya mataifa yote ya Africa Mashariki.
Kama ushoga ungekuwa ndio tatizo sisi tusingukwa tunahangaika kujenga matundu ya choo mpaka leo huko wao wanatengeneza Iron dome na teknolojia za kila aina. Ni kweli pia Waisraeli wana akili ya kiwango cha juu sana kulinganisha na raia wa mataifa mengi ya dunia.
Msaada wa kijeshi anapewa na marekani.Sio sehemu ya bajeti ya nchi, ni ufadhili wa kijeshi unaotolewa kila mwaka na serikali ya Marekani, sababu ni za kisiasa na zaidi sana ni kwa maslahi ya Marekani. Israel inachangia pakubwa sana katika sekta ya teknolojia hasa ya silaha nchini Marekani, sehemu kubwa ya biashara ya Silaha ya Israel inadhibitiwa na Marekani wakiwekewa vizingiti kutokuuza teknolojia kadhaa za silaha au kutoa utaalamu huo, Israel ni washirika wakubwa na wa uhakika wa US katika ujasusi Mashariki ya kati na uarabuni. Huo msaada wanaopewa ni kama malipo.
Wale watu ni wazungu au ArabsWakishakuwa Wazungu basi ujue wana AKILI NA MAARIFA, Hawawezi kufanana na ninyi Weusi mnaoitwa Manyani huko duniani
Muisrael ana teknolojia kubwa sana na Exposure ya Dunia tangu enzi na enzi
Kumbe ni panyaroad tuHamas ni kikundi tu cha vijana wamejikusanya mtaani hata mgambo hawajacheza wanawezaje kupambana na marekani na israel? We Tanzania yako inaweza?
Sio kikundi cha vijana ni magaidi ya kidini yaliyojificha kwa mlengo wa kupigania ardhi.Hamas ni kikundi tu cha vijana wamejikusanya mtaani hata mgambo hawajacheza wanawezaje kupambana na marekani na israel? We Tanzania yako inaweza?
Unamaanisha Wazungu wapi? Germanic, Gaelic au Latins?Wale watu ni wazungu au Arabs
Wenyewe walidanganywa kuwatukuuza waisrael kunafaida kupitia mungu wao asioshindika atawabariki lkn pia kunatatizo kubwa zaid ktk Est Africa waisrael kuna watu wanawatumia kama mtaji wakudhihilisha ukubwa wa mungu wao ndio mana awataki kabisa kusikia waisrael wakibezwa au kuwashusha hadhi yao kwao mwiko amtoelewana apo! utasikia mungu wa Israel!!!Saitakuaje...🤔
ACHA MIHEMKOOO WEWE MVAA KOBASINi uzwazwa kuamini hivyo
Hii inategemea na mazingira uliyokulia. Hapo hapo kuna watu wanaamini waarabu ni watu wasio wa kawaida na pengine wao wako karibu zaidi na mtume.Yani kila linalotokea huko Gaza, wao watakwambia Israel inajua inachokifanya. Waliposhambuliwa na kuuwawa zaidi ya raia wao elf 1 pamoja na wengine zaidi ya miamoja kutekwa, wapo waliosema 'eti huo ni mtego'.
Wakajiapiza kurejesha mateka wote na kuwamaliza Hamas. Lkn baada ya vita ya zaidi ya Mwaka bila kufanikisha lengo lolote zaidi ya kuwaua raia wa kawaida (ambalo sio lengo), wameishia kufanya makubaloano ya kusitisha mapigano ili kuwapata wapendwa wao.
Cha kushangaza kuna watu bado wanasema 'Israel ilikuwa inajua walipo hao mateka'. Jaman hawa watu wameshindwa, ni watu wa kawaida tu na hawana lolote. Ukitaka kuthibitisha hili jiulize kwanini taifa hilo kuna mashoga wengi sana?
Ni wa kawaida sana mpaka wanakuwa miongoni mwa mataifa machache yenye kuongoza kwa huo uchafu. Tupunguze kuwakwezaaa
Kwahiyo Nan kala hasara zaidi kati ya hamas na Israel na IranYani kila linalotokea huko Gaza, wao watakwambia Israel inajua inachokifanya. Waliposhambuliwa na kuuwawa zaidi ya raia wao elf 1 pamoja na wengine zaidi ya miamoja kutekwa, wapo waliosema 'eti huo ni mtego'.
Wakajiapiza kurejesha mateka wote na kuwamaliza Hamas. Lkn baada ya vita ya zaidi ya Mwaka bila kufanikisha lengo lolote zaidi ya kuwaua raia wa kawaida (ambalo sio lengo), wameishia kufanya makubaloano ya kusitisha mapigano ili kuwapata wapendwa wao.
Cha kushangaza kuna watu bado wanasema 'Israel ilikuwa inajua walipo hao mateka'. Jaman hawa watu wameshindwa, ni watu wa kawaida tu na hawana lolote. Ukitaka kuthibitisha hili jiulize kwanini taifa hilo kuna mashoga wengi sana?
Ni wa kawaida sana mpaka wanakuwa miongoni mwa mataifa machache yenye kuongoza kwa huo uchafu. Tupunguze kuwakwezaaa