Kuna watu wanadhani Rais Samia yupo Ikulu kalala, kwa sababu walizoea 'show-off' na kelele

Kuna watu wanadhani Rais Samia yupo Ikulu kalala, kwa sababu walizoea 'show-off' na kelele

MAMA SAMIA ANAFANYA KAZI, MSIDHANI KALALA IKULU.

Na, Robert Heriel

Kuna watu wananifurahisha sana, yaani ukiwasikiliza ni kama wachekeshaji fulani hivi ambao hawajatambua vipaji vyao.
Wapo wanaosema Mama Samia hafanyi kazi, wapo wanaosema nchi inaongozwa na JK, wapo wanaosema Rais ni Mpole basi kila mtu ilimradi aseme ajualo kulingana na haki zake kikatiba.

Kundi hili linafikiri kuwa Rais Samia Suluhu yupo ikulu kajifungia chumbani amelala huku akijifunika shuka na kuota ndoto za abunuasi.
Kundi hili linafikiri kuwa Rais Samia akishachoka kulala anaamka, kisha anawasha luninga na kuanza kuangalia Tamthilia za KUFLI na THE CITY. Hahahah! Kundi lina vioja sana.

Wakati akiangalia tamthilia hizo kuna wakati huingia instagram na Facebook kuangalia yanayojiri huku mtandaoni, yaani hayo ndio mawazo ya kundi hili ambalo linafikiri kuwa Mama Samia hafanyi kazi.

Kitu kimoja ambacho kundi hili nitalitetea kufa na kupona ni kuwa lilizoea masuala ya showoff na kelele kwenye media. Kundi hili halina makosa kwa sababu lilizoea na likajua kuwa kufanya kazi kwa Rais ni kuonekana kwenye TV kila siku. Kundi hili halina makosa kwa sababu lilizoea na kujua kuwa Kufanya kazi kwa Rais ni kupiga makelele na kushushua wasaidizi wake ati hiyo ndio ishara ya uzalendo na kutetea rasilimali za taifa.

Kundi hili halina makosa kwa sababu lilizoea na kujua kuwa kuchapa kazi ni kupewa matumaini hewa yasiyo na kichwa wala miguu kwa kuambiwa nchi yetu ipo uchumi wa juu na ni nchi tajiri.

Kundi hili halina makosa kwa sababu lilizoea na kujua kuwa kuchapa kazi kwa Rais ni kumtaja taja Mungu hata bila msingi wowote. Utadhani Rais ni kasisi wa kanisa au sheikhe wa masjid. Hivyo Mama Samia kwa vile hana mazoea hayo anaonwa kuwa sio mpenzi wa Mungu, hahahah! Dunia ina vioja kweli.

Kundi hili halina makosa kwa sababu lilizoea na kujua kuwa Uchapakazi wa Rais ni kutoa matamko pasipo kujali sheria za nchi, kutoa tamko kwa jambo lolote hata lisilomhusu Rais.

Kundi hili halina makosa kwa sababu lilizoea na kujua kuwa uchapakazi wa Rais ni kuonekana yeye pekeake kwenye vyombo vya habari utadhani hakuna viongozi waandamizi.

Kundi hili halina makosa kwa sababu lilizoea na kujua kuwa uchapakazi wa Rais ni kuua na kutotoa nafasi kwa vyama vingine vya kisiasa kuwa huru kueneza itikadi zao na kutafuta wanachama wapya ndani ya chama chao.

Kundi halina makosa kwa sababu liliaminishwa na kuzoezwa kuwa uchapakazi wa Rais ni kutukana mabeberu na kujifanya kuwatunishia misuli wakati nyuma ya mgongo unawaita wahisani na kuwapigia magoti. Ati kuwatukana wazungu iliaminishwa kuwa kama ishara ya uzalendo, hahahaha! Daaah! Inachekesha sana.

Kundi hili halina makosa kwa sababu liliaminishwa kuwa uchapakazi wa Rais ni kuwatetea wanyonge hata kama wanavunja sheria, sio ajabu machinga ukamkuta anauza mbele ya duka lako kisa anakitambulisho chake cha elfu 20 wakati wewe unayatoa kodi ya malaki ya pesa ukibaki umebung'aa.

Kuna watu wanadhani Mama Samia amelala ikulu kwa sababu hawamsikii sikii kama ilivyokuwa zamani.
Kuna watu hawajui kabisa kuwa Rais Samia Suluhu naye anafanya Ziara karibu kila siku lakini kwa vile yeye sio muumini wa showoff na kelele zisizo na maana yoyote, kelele zisizoleta chakula kwa wananchi anafanya kazi zake kama kawaida.

Kundi hili linadhani kuwa Rais kufanya kazi ni kuunda vipropaganda uchwara ambazo kimsingi hazisaidii wananchi wa tabaka la chini.

Wito wangu kwa kundi hili ambalo nimeshasema halina makosa, na kwa watanzania kwa ujumla ni kuwa Rais Samia Suluhu anafanya kazi sio kwa kelele zisizo na maana, na siku akipiga kelele ujue zinamaana, anafanya kazi bila showoff na siku akifanya showoff ujue zinamaana kwa kiasi kikubwa ndani ya nchi.

Sasa wewe danganywa kuwa upo uchumi wa kati wakati mfukoni mwako ni alfu lela ulela.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dodoma
mwendazake alikuwa kwenye kampeni miaka 5 is a sababu hakuwahi kushinda uchaguzi wowote. SSH hana pressure anajenga nchi kimya kimya
 
MAMA SAMIA ANAFANYA KAZI, MSIDHANI KALALA IKULU.

Na, Robert Heriel

Kuna watu wananifurahisha sana, yaani ukiwasikiliza ni kama wachekeshaji fulani hivi ambao hawajatambua vipaji vyao.
Wapo wanaosema Mama Samia hafanyi kazi, wapo wanaosema nchi inaongozwa na JK, wapo wanaosema Rais ni Mpole basi kila mtu ilimradi aseme ajualo kulingana na haki zake kikatiba.

Kundi hili linafikiri kuwa Rais Samia Suluhu yupo ikulu kajifungia chumbani amelala huku akijifunika shuka na kuota ndoto za abunuasi.
Kundi hili linafikiri kuwa Rais Samia akishachoka kulala anaamka, kisha anawasha luninga na kuanza kuangalia Tamthilia za KUFLI na THE CITY. Hahahah! Kundi lina vioja sana.

Wakati akiangalia tamthilia hizo kuna wakati huingia instagram na Facebook kuangalia yanayojiri huku mtandaoni, yaani hayo ndio mawazo ya kundi hili ambalo linafikiri kuwa Mama Samia hafanyi kazi.

Kitu kimoja ambacho kundi hili nitalitetea kufa na kupona ni kuwa lilizoea masuala ya showoff na kelele kwenye media. Kundi hili halina makosa kwa sababu lilizoea na likajua kuwa kufanya kazi kwa Rais ni kuonekana kwenye TV kila siku. Kundi hili halina makosa kwa sababu lilizoea na kujua kuwa Kufanya kazi kwa Rais ni kupiga makelele na kushushua wasaidizi wake ati hiyo ndio ishara ya uzalendo na kutetea rasilimali za taifa.

Kundi hili halina makosa kwa sababu lilizoea na kujua kuwa kuchapa kazi ni kupewa matumaini hewa yasiyo na kichwa wala miguu kwa kuambiwa nchi yetu ipo uchumi wa juu na ni nchi tajiri.

Kundi hili halina makosa kwa sababu lilizoea na kujua kuwa kuchapa kazi kwa Rais ni kumtaja taja Mungu hata bila msingi wowote. Utadhani Rais ni kasisi wa kanisa au sheikhe wa masjid. Hivyo Mama Samia kwa vile hana mazoea hayo anaonwa kuwa sio mpenzi wa Mungu, hahahah! Dunia ina vioja kweli.

Kundi hili halina makosa kwa sababu lilizoea na kujua kuwa Uchapakazi wa Rais ni kutoa matamko pasipo kujali sheria za nchi, kutoa tamko kwa jambo lolote hata lisilomhusu Rais.

Kundi hili halina makosa kwa sababu lilizoea na kujua kuwa uchapakazi wa Rais ni kuonekana yeye pekeake kwenye vyombo vya habari utadhani hakuna viongozi waandamizi.

Kundi hili halina makosa kwa sababu lilizoea na kujua kuwa uchapakazi wa Rais ni kuua na kutotoa nafasi kwa vyama vingine vya kisiasa kuwa huru kueneza itikadi zao na kutafuta wanachama wapya ndani ya chama chao.

Kundi halina makosa kwa sababu liliaminishwa na kuzoezwa kuwa uchapakazi wa Rais ni kutukana mabeberu na kujifanya kuwatunishia misuli wakati nyuma ya mgongo unawaita wahisani na kuwapigia magoti. Ati kuwatukana wazungu iliaminishwa kuwa kama ishara ya uzalendo, hahahaha! Daaah! Inachekesha sana.

Kundi hili halina makosa kwa sababu liliaminishwa kuwa uchapakazi wa Rais ni kuwatetea wanyonge hata kama wanavunja sheria, sio ajabu machinga ukamkuta anauza mbele ya duka lako kisa anakitambulisho chake cha elfu 20 wakati wewe unayatoa kodi ya malaki ya pesa ukibaki umebung'aa.

Kuna watu wanadhani Mama Samia amelala ikulu kwa sababu hawamsikii sikii kama ilivyokuwa zamani.
Kuna watu hawajui kabisa kuwa Rais Samia Suluhu naye anafanya Ziara karibu kila siku lakini kwa vile yeye sio muumini wa showoff na kelele zisizo na maana yoyote, kelele zisizoleta chakula kwa wananchi anafanya kazi zake kama kawaida.

Kundi hili linadhani kuwa Rais kufanya kazi ni kuunda vipropaganda uchwara ambazo kimsingi hazisaidii wananchi wa tabaka la chini.

Wito wangu kwa kundi hili ambalo nimeshasema halina makosa, na kwa watanzania kwa ujumla ni kuwa Rais Samia Suluhu anafanya kazi sio kwa kelele zisizo na maana, na siku akipiga kelele ujue zinamaana, anafanya kazi bila showoff na siku akifanya showoff ujue zinamaana kwa kiasi kikubwa ndani ya nchi.

Sasa wewe danganywa kuwa upo uchumi wa kati wakati mfukoni mwako ni alfu lela ulela.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dodoma
Upo sahihi sana mkuu 🙏 💯 perfect! Watu wamezoezwa kudanganywa ujinga. Magufuli aliteka tv zote ziwe zinamuonesha yeye tu anaongea ujinga.
 
Kunawatu wengine mnavisa vya ajabu eti uongozi wa kmya kimya... Unanilazamisha nikuamini... Halafu unaponda utawala ulio pita... Mama kisha feli wee subiri the time will tell wizi madawa ya kulevya uzembe kazini kudharauliana ujambazi n. k vinarudi kwa kasi akili ni yangu macho ni yangu na uamuzi ni wangu binafsi mama kapwaya sana. Hiyo siyo siri

Kama kashafeli kwa mtizamo wako kuna shida yoyote?
 
Mama sio mshamba
Ila mitandao inamshughulisha sana hadi anashindana au kuwakoa watu wa mitandaoni mfano issue ya waziri wa fedha, sasa sijajua kama huo ni ushamba nao,ujaja uliyopitiliza au ni tabia za kike tu.
 
Mama ni mama hana makuu hata kama hatujashiba hatulalamiki maana kwanza hatufokei, na anamaanisha kweli kwamba hana ubaya na mtu
 
Kwa mamlaka rais aliyopewa na katiba, hakuna sababu za yeye kubwata hovyo. Hizo ni dalili za kukosa mwelekeo
 
Pongezi kwake mama. Tanzania inajengwa kwa kufanya kazi na sio utapeli.Utapeli wa kodi.Utapeli wa mali za watu wasio na hatia. Utapeli na mali ya umma.
Ili Tanzania ikae sawa lazima wote tufuate sheria na taratibu tulizojiwekea
 
MAMA SAMIA ANAFANYA KAZI, MSIDHANI KALALA IKULU.

Na, Robert Heriel

Kuna watu wananifurahisha sana, yaani ukiwasikiliza ni kama wachekeshaji fulani hivi ambao hawajatambua vipaji vyao.
Wapo wanaosema Mama Samia hafanyi kazi, wapo wanaosema nchi inaongozwa na JK, wapo wanaosema Rais ni Mpole basi kila mtu ilimradi aseme ajualo kulingana na haki zake kikatiba.

Kundi hili linafikiri kuwa Rais Samia Suluhu yupo ikulu kajifungia chumbani amelala huku akijifunika shuka na kuota ndoto za abunuasi.
Kundi hili linafikiri kuwa Rais Samia akishachoka kulala anaamka, kisha anawasha luninga na kuanza kuangalia Tamthilia za KUFLI na THE CITY. Hahahah! Kundi lina vioja sana.

Wakati akiangalia tamthilia hizo kuna wakati huingia instagram na Facebook kuangalia yanayojiri huku mtandaoni, yaani hayo ndio mawazo ya kundi hili ambalo linafikiri kuwa Mama Samia hafanyi kazi.

Kitu kimoja ambacho kundi hili nitalitetea kufa na kupona ni kuwa lilizoea masuala ya showoff na kelele kwenye media. Kundi hili halina makosa kwa sababu lilizoea na likajua kuwa kufanya kazi kwa Rais ni kuonekana kwenye TV kila siku. Kundi hili halina makosa kwa sababu lilizoea na kujua kuwa Kufanya kazi kwa Rais ni kupiga makelele na kushushua wasaidizi wake ati hiyo ndio ishara ya uzalendo na kutetea rasilimali za taifa.

Kundi hili halina makosa kwa sababu lilizoea na kujua kuwa kuchapa kazi ni kupewa matumaini hewa yasiyo na kichwa wala miguu kwa kuambiwa nchi yetu ipo uchumi wa juu na ni nchi tajiri.

Kundi hili halina makosa kwa sababu lilizoea na kujua kuwa kuchapa kazi kwa Rais ni kumtaja taja Mungu hata bila msingi wowote. Utadhani Rais ni kasisi wa kanisa au sheikhe wa masjid. Hivyo Mama Samia kwa vile hana mazoea hayo anaonwa kuwa sio mpenzi wa Mungu, hahahah! Dunia ina vioja kweli.

Kundi hili halina makosa kwa sababu lilizoea na kujua kuwa Uchapakazi wa Rais ni kutoa matamko pasipo kujali sheria za nchi, kutoa tamko kwa jambo lolote hata lisilomhusu Rais.

Kundi hili halina makosa kwa sababu lilizoea na kujua kuwa uchapakazi wa Rais ni kuonekana yeye pekeake kwenye vyombo vya habari utadhani hakuna viongozi waandamizi.

Kundi hili halina makosa kwa sababu lilizoea na kujua kuwa uchapakazi wa Rais ni kuua na kutotoa nafasi kwa vyama vingine vya kisiasa kuwa huru kueneza itikadi zao na kutafuta wanachama wapya ndani ya chama chao.

Kundi halina makosa kwa sababu liliaminishwa na kuzoezwa kuwa uchapakazi wa Rais ni kutukana mabeberu na kujifanya kuwatunishia misuli wakati nyuma ya mgongo unawaita wahisani na kuwapigia magoti. Ati kuwatukana wazungu iliaminishwa kuwa kama ishara ya uzalendo, hahahaha! Daaah! Inachekesha sana.

Kundi hili halina makosa kwa sababu liliaminishwa kuwa uchapakazi wa Rais ni kuwatetea wanyonge hata kama wanavunja sheria, sio ajabu machinga ukamkuta anauza mbele ya duka lako kisa anakitambulisho chake cha elfu 20 wakati wewe unayatoa kodi ya malaki ya pesa ukibaki umebung'aa.

Kuna watu wanadhani Mama Samia amelala ikulu kwa sababu hawamsikii sikii kama ilivyokuwa zamani. Kuna watu hawajui kabisa kuwa Rais Samia Suluhu naye anafanya Ziara karibu kila siku lakini kwa vile yeye sio muumini wa showoff na kelele zisizo na maana yoyote, kelele zisizoleta chakula kwa wananchi anafanya kazi zake kama kawaida.

Kundi hili linadhani kuwa Rais kufanya kazi ni kuunda vipropaganda uchwara ambazo kimsingi hazisaidii wananchi wa tabaka la chini.

Wito wangu kwa kundi hili ambalo nimeshasema halina makosa, na kwa watanzania kwa ujumla ni kuwa Rais Samia Suluhu anafanya kazi sio kwa kelele zisizo na maana, na siku akipiga kelele ujue zinamaana, anafanya kazi bila showoff na siku akifanya showoff ujue zinamaana kwa kiasi kikubwa ndani ya nchi.

Sasa wewe danganywa kuwa upo uchumi wa kati wakati mfukoni mwako ni alfu lela ulela.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dodoma
Wachawi huwa wana tabia ya kulia kwa makelele sana misibani ili waoneshe uchungu na wema wao kwa wafiwa!! Wachawi hulia na kuapiza katika misiba ili mtu mwingine ashikwe mchawi mbadala wao!! Wachawi hujua kuchonganisha matajiri na maskini...
 
MAMA SAMIA ANAFANYA KAZI, MSIDHANI KALALA IKULU.

Na, Robert Heriel

Kuna watu wananifurahisha sana, yaani ukiwasikiliza ni kama wachekeshaji fulani hivi ambao hawajatambua vipaji vyao.
Wapo wanaosema Mama Samia hafanyi kazi, wapo wanaosema nchi inaongozwa na JK, wapo wanaosema Rais ni Mpole basi kila mtu ilimradi aseme ajualo kulingana na haki zake kikatiba.

Kundi hili linafikiri kuwa Rais Samia Suluhu yupo ikulu kajifungia chumbani amelala huku akijifunika shuka na kuota ndoto za abunuasi.
Kundi hili linafikiri kuwa Rais Samia akishachoka kulala anaamka, kisha anawasha luninga na kuanza kuangalia Tamthilia za KUFLI na THE CITY. Hahahah! Kundi lina vioja sana.

Wakati akiangalia tamthilia hizo kuna wakati huingia instagram na Facebook kuangalia yanayojiri huku mtandaoni, yaani hayo ndio mawazo ya kundi hili ambalo linafikiri kuwa Mama Samia hafanyi kazi.

Kitu kimoja ambacho kundi hili nitalitetea kufa na kupona ni kuwa lilizoea masuala ya showoff na kelele kwenye media. Kundi hili halina makosa kwa sababu lilizoea na likajua kuwa kufanya kazi kwa Rais ni kuonekana kwenye TV kila siku. Kundi hili halina makosa kwa sababu lilizoea na kujua kuwa Kufanya kazi kwa Rais ni kupiga makelele na kushushua wasaidizi wake ati hiyo ndio ishara ya uzalendo na kutetea rasilimali za taifa.

Kundi hili halina makosa kwa sababu lilizoea na kujua kuwa kuchapa kazi ni kupewa matumaini hewa yasiyo na kichwa wala miguu kwa kuambiwa nchi yetu ipo uchumi wa juu na ni nchi tajiri.

Kundi hili halina makosa kwa sababu lilizoea na kujua kuwa kuchapa kazi kwa Rais ni kumtaja taja Mungu hata bila msingi wowote. Utadhani Rais ni kasisi wa kanisa au sheikhe wa masjid. Hivyo Mama Samia kwa vile hana mazoea hayo anaonwa kuwa sio mpenzi wa Mungu, hahahah! Dunia ina vioja kweli.

Kundi hili halina makosa kwa sababu lilizoea na kujua kuwa Uchapakazi wa Rais ni kutoa matamko pasipo kujali sheria za nchi, kutoa tamko kwa jambo lolote hata lisilomhusu Rais.

Kundi hili halina makosa kwa sababu lilizoea na kujua kuwa uchapakazi wa Rais ni kuonekana yeye pekeake kwenye vyombo vya habari utadhani hakuna viongozi waandamizi.

Kundi hili halina makosa kwa sababu lilizoea na kujua kuwa uchapakazi wa Rais ni kuua na kutotoa nafasi kwa vyama vingine vya kisiasa kuwa huru kueneza itikadi zao na kutafuta wanachama wapya ndani ya chama chao.

Kundi halina makosa kwa sababu liliaminishwa na kuzoezwa kuwa uchapakazi wa Rais ni kutukana mabeberu na kujifanya kuwatunishia misuli wakati nyuma ya mgongo unawaita wahisani na kuwapigia magoti. Ati kuwatukana wazungu iliaminishwa kuwa kama ishara ya uzalendo, hahahaha! Daaah! Inachekesha sana.

Kundi hili halina makosa kwa sababu liliaminishwa kuwa uchapakazi wa Rais ni kuwatetea wanyonge hata kama wanavunja sheria, sio ajabu machinga ukamkuta anauza mbele ya duka lako kisa anakitambulisho chake cha elfu 20 wakati wewe unayatoa kodi ya malaki ya pesa ukibaki umebung'aa.

Kuna watu wanadhani Mama Samia amelala ikulu kwa sababu hawamsikii sikii kama ilivyokuwa zamani. Kuna watu hawajui kabisa kuwa Rais Samia Suluhu naye anafanya Ziara karibu kila siku lakini kwa vile yeye sio muumini wa showoff na kelele zisizo na maana yoyote, kelele zisizoleta chakula kwa wananchi anafanya kazi zake kama kawaida.

Kundi hili linadhani kuwa Rais kufanya kazi ni kuunda vipropaganda uchwara ambazo kimsingi hazisaidii wananchi wa tabaka la chini.

Wito wangu kwa kundi hili ambalo nimeshasema halina makosa, na kwa watanzania kwa ujumla ni kuwa Rais Samia Suluhu anafanya kazi sio kwa kelele zisizo na maana, na siku akipiga kelele ujue zinamaana, anafanya kazi bila showoff na siku akifanya showoff ujue zinamaana kwa kiasi kikubwa ndani ya nchi.

Sasa wewe danganywa kuwa upo uchumi wa kati wakati mfukoni mwako ni alfu lela ulela.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dodoma
Naona ,bila mipasho ya kike ,haujatulia.Naona umebakiza jina tu ,namba ya simu umeacha baada ya kuona hauteuliwi .Na utaendelea kupoteza muda kujaza page huku ukiandika upupu tupu bila kuteuliwa.
 
Style zote zilizowahi kutumiwa na Watawala wetu, Hakuna hata style moja ambayo kwayo, tuliipenda kuikubali!

Awe mtu alijifungia huku akichapa kazi, hatukuwai kuona kuwa inatufaa, iwe kutokuwepo nchini Kwa siku nyingi kuliko siku za yeye kuwepo nchini, tuliona ni wizi tupu, style ya kuonekana kwenye luninga kila wakati, Nayo hatukuipenda, tuliona ni kama mtu anataka aonekane yeye tu...!

Mwandishi, unataka kutuletea wimbo uleule ambao hatukuwahi kuiona kama ulitufaa, hakuna wimbi mpya hapa,

Kwa sasa tunataka style mpya na namna nyingine ya kudili na vichwa vya kibongo
 
K
MAMA SAMIA ANAFANYA KAZI, MSIDHANI KALALA IKULU.

Na, Robert Heriel

Kuna watu wananifurahisha sana, yaani ukiwasikiliza ni kama wachekeshaji fulani hivi ambao hawajatambua vipaji vyao.
Wapo wanaosema Mama Samia hafanyi kazi, wapo wanaosema nchi inaongozwa na JK, wapo wanaosema Rais ni Mpole basi kila mtu ilimradi aseme ajualo kulingana na haki zake kikatiba.

Kundi hili linafikiri kuwa Rais Samia Suluhu yupo ikulu kajifungia chumbani amelala huku akijifunika shuka na kuota ndoto za abunuasi.
Kundi hili linafikiri kuwa Rais Samia akishachoka kulala anaamka, kisha anawasha luninga na kuanza kuangalia Tamthilia za KUFLI na THE CITY. Hahahah! Kundi lina vioja sana.

Wakati akiangalia tamthilia hizo kuna wakati huingia instagram na Facebook kuangalia yanayojiri huku mtandaoni, yaani hayo ndio mawazo ya kundi hili ambalo linafikiri kuwa Mama Samia hafanyi kazi.

Kitu kimoja ambacho kundi hili nitalitetea kufa na kupona ni kuwa lilizoea masuala ya showoff na kelele kwenye media. Kundi hili halina makosa kwa sababu lilizoea na likajua kuwa kufanya kazi kwa Rais ni kuonekana kwenye TV kila siku. Kundi hili halina makosa kwa sababu lilizoea na kujua kuwa Kufanya kazi kwa Rais ni kupiga makelele na kushushua wasaidizi wake ati hiyo ndio ishara ya uzalendo na kutetea rasilimali za taifa.

Kundi hili halina makosa kwa sababu lilizoea na kujua kuwa kuchapa kazi ni kupewa matumaini hewa yasiyo na kichwa wala miguu kwa kuambiwa nchi yetu ipo uchumi wa juu na ni nchi tajiri.

Kundi hili halina makosa kwa sababu lilizoea na kujua kuwa kuchapa kazi kwa Rais ni kumtaja taja Mungu hata bila msingi wowote. Utadhani Rais ni kasisi wa kanisa au sheikhe wa masjid. Hivyo Mama Samia kwa vile hana mazoea hayo anaonwa kuwa sio mpenzi wa Mungu, hahahah! Dunia ina vioja kweli.

Kundi hili halina makosa kwa sababu lilizoea na kujua kuwa Uchapakazi wa Rais ni kutoa matamko pasipo kujali sheria za nchi, kutoa tamko kwa jambo lolote hata lisilomhusu Rais.

Kundi hili halina makosa kwa sababu lilizoea na kujua kuwa uchapakazi wa Rais ni kuonekana yeye pekeake kwenye vyombo vya habari utadhani hakuna viongozi waandamizi.

Kundi hili halina makosa kwa sababu lilizoea na kujua kuwa uchapakazi wa Rais ni kuua na kutotoa nafasi kwa vyama vingine vya kisiasa kuwa huru kueneza itikadi zao na kutafuta wanachama wapya ndani ya chama chao.

Kundi halina makosa kwa sababu liliaminishwa na kuzoezwa kuwa uchapakazi wa Rais ni kutukana mabeberu na kujifanya kuwatunishia misuli wakati nyuma ya mgongo unawaita wahisani na kuwapigia magoti. Ati kuwatukana wazungu iliaminishwa kuwa kama ishara ya uzalendo, hahahaha! Daaah! Inachekesha sana.

Kundi hili halina makosa kwa sababu liliaminishwa kuwa uchapakazi wa Rais ni kuwatetea wanyonge hata kama wanavunja sheria, sio ajabu machinga ukamkuta anauza mbele ya duka lako kisa anakitambulisho chake cha elfu 20 wakati wewe unayatoa kodi ya malaki ya pesa ukibaki umebung'aa.

Kuna watu wanadhani Mama Samia amelala ikulu kwa sababu hawamsikii sikii kama ilivyokuwa zamani. Kuna watu hawajui kabisa kuwa Rais Samia Suluhu naye anafanya Ziara karibu kila siku lakini kwa vile yeye sio muumini wa showoff na kelele zisizo na maana yoyote, kelele zisizoleta chakula kwa wananchi anafanya kazi zake kama kawaida.

Kundi hili linadhani kuwa Rais kufanya kazi ni kuunda vipropaganda uchwara ambazo kimsingi hazisaidii wananchi wa tabaka la chini.

Wito wangu kwa kundi hili ambalo nimeshasema halina makosa, na kwa watanzania kwa ujumla ni kuwa Rais Samia Suluhu anafanya kazi sio kwa kelele zisizo na maana, na siku akipiga kelele ujue zinamaana, anafanya kazi bila showoff na siku akifanya showoff ujue zinamaana kwa kiasi kikubwa ndani ya nchi.

Sasa wewe danganywa kuwa upo uchumi wa kati wakati mfukoni mwako ni alfu lela ulela.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dodoma
Kazi iendelee!Kufanyakazi kwa vitendo ndo ufsnyaji kazi wa makini,watu wanaona matokeo.
 
Back
Top Bottom