Kuna watu wanakula utadhani wanahamisha upande wa pili.

Kimazingira
•Upatikanaji wa Chakula Kingi: Katika mazingira ambapo chakula kinapatikana kwa urahisi na kwa wingi, watu huwa na uwezekano mkubwa wa kula kupita kiasi.
Hii sababu ni 100%
Wasukuma wamejaza nafaka ndani kuliko hela
 
Habari.
Juzi nilikuwa kwenye harusi ya ndugu. Wakati wa kupata chakula kuna jamaa alikuwa anakula hatarii alikula sahani saba hadi kamati ya chakula wakakataa kumpa chakula kingine alikuwa bado anadai. Nini kinasababisha mtu kula sana wataalam??
Ulafi,ama wengine wanatia kwenye fuko chini ya meza ili baadae abebe.
 
.mhhhmh.! mkuu hapa umezidisha chumvi acha kutufunga kamba bhana duuuh.!
 
.mhhhmh.! mkuu hapa umezidisha chumvi acha kutufunga kamba bhana duuuh.!
Wapi palipozidi nipunguze?

Ubebaji wa mzega au kuzuia magari?

Basi tuyaondoe hayo, lakini kwa upande wa kula tumwachie.
 
Njoo huku shinyanga uone watu wanavyokupigia ugali
 
Habari.
Juzi nilikuwa kwenye harusi ya ndugu. Wakati wa kupata chakula kuna jamaa alikuwa anakula hatarii alikula sahani saba hadi kamati ya chakula wakakataa kumpa chakula kingine alikuwa bado anadai. Nini kinasababisha mtu kula sana wataalam??
Siyo rahisi sahani 7.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…