Rayns
JF-Expert Member
- Jul 29, 2023
- 3,620
- 7,818
Hii sababu ni 100%Kimazingira
•Upatikanaji wa Chakula Kingi: Katika mazingira ambapo chakula kinapatikana kwa urahisi na kwa wingi, watu huwa na uwezekano mkubwa wa kula kupita kiasi.
Wasukuma wamejaza nafaka ndani kuliko hela