Kuna watu wanampinga Mwamposa wakati nabii wao alikabwa mapangoni na wengine wanaabudu sanamu la bikira mwenye watoto watano

Ushajipigia visungura na sigara kali unakuja kutuandikia ujinga
 
Naziheshimu Dini.

BILA YA DINI DUNIA SIO SALAMA.

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Dini hizo ndio zimeleta machafuko makubwa duniani na kuvuruga Amani ya dunia.

Bila dini dunia ni salama.

Angalia hao waisraeli waliovamia ardhi ya watu wakidai na kuamini maandiko ya kidini yanasema baba yao Abrahamu alikabidhiwa ardhi hiyo na Mungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…