Kuna watu wanamshindanisha Diamond Platnumz na Cristiano Ronaldo

Kuna watu wanamshindanisha Diamond Platnumz na Cristiano Ronaldo

Mi unajua hata kukujibu wewe naona uvivu.
Huwezi kujibu kwakuwa hujui body type za magari zinakuwaje umepuyanga kuiita G wagon ni SUV..Endelea na mambo yako mengine ila hapa umepuyanga kubali
 
Huwezi kujibu kwakuwa hujui body type za magari zinakuwaje umepuyanga kuiita G wagon ni SUV..Endelea na mambo yako mengine ila hapa umepuyanga kubali
Kwaiyo kwa akili yako G wagon ni station wagon kama toyota wish? Au subaru forester? Kweli wewe boya. G wagon ni Sport utility vehicle sawa na Range rover na Toyota V8. Hebu kabishaneni kwenye kurasa za washamba wenzako. Au hilo neno wagon kwenye G 63 ndo limekupeleka chaka?
Kuna majitu yanakuja kubishana na mtu mwenye akili ili yasifiwe yameweza kubishana kumbe mavilaza ya kutupwa.
 
Hivi mbona kuna watu Matajiri wengi tu hapa Tz ambao Wana Utajiri kushinda Hata Ronaldo, Wote hawa kina MO, Rostam, Marehemu mengi, Bakhresa etc Wana Utajiri kushinda vipesa vinavyozungumziwa humu kila siku.
Changanya hela za mo,bakhresa,rostam,gharibu hawamfikii ronaldo

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Tangu Mondi anunue Rolls-Royce kuna watu wamekuwa wanasema eti Mondi ndiyo next Bill Gates, wengine eti wametupia picha za Diamond na Rolls Royce yake culinan na kufananisha na Christian Ronaldo na Rolls-royce yake Phantom bila kujua kuwa phantom ni ghali zaidi ya culinan, na ukizingatia Ronaldo ya kwake lazima itakua special order hivyo itakua ghali maradufu kuliko phantom za kawaida, kuliko culinan la jamaa yetu la kuvizia nani anauza mtumba anunue.

Haya sasa kwakuwa umaarufu gharama Christiano Ronaldo kaposti gari mpya leo wiki moja baada ya kuposti Rolls Royce, leo kapost SUV la bei mbaya kuliko yote Mercedes Benz G63 Brabus, bei mara mbili ya culinan kiwandani achilia mbali special edition ya Ronaldo na ofa zake.

Nilisema huyu msanii kaingia cha kike unavunja kibubu cha miaka 10 unanunua gari la billioni wiki moja watu wananunua jingine la billioni tatu haya basi nenda na wewe ukanunue tunakuangalia kama una pumzi.

View attachment 1877966
Mondi hata iweje huwezi mfananisha na CR7 labda Mama yake azidi kuroga na kumuua Ronnie. Mondi anafananishwa na wasanii wa kibongo tu kwani hata hao wa Nigeria hajawafikia bado labda hawa wadogo kama kina Simi.
 
Mkuu instagram huna hoja. Af ni kama una ka roho flan kenye asili ya kichawi.
Wenzio wanapambana na kupiga hatua af ww ambae hata hujulikani, unajaribu kuwamisvalue....
Au umeishiwa mbinu mkuu,. Subiri siku mondi akipost kanunua passo au vitz ndo umsifu, hio rolls achana nayo bro.
 
Changanya hela za mo,bakhresa,rostam,gharibu hawamfikii ronaldo

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Huu[emoji116]utajiri wa Ronaldo ni pesa ndogo sana, na akiacha mpria endorsements na adverts vitakatika hivyo 2yrs after retirement ataanza kutafuta kazi nyingine ili aweze ku survive.
Lifestyle ya wachezaji huwagharimu sana na hata baada ya retirement huwa wataka kuikakamia, imagine running costs za private jet na hizo posh cars pate kibarua kitakapoisha, don't forget he is 35 na umri huo ki mpira ni mzee.
All in all pesa yake ni ndogo kwa hao matajiri mnaojaribu kumlinganisha nao.
Check his worth[emoji116]
IMG_20210803_180211.jpg
 
mkuu unajiaibisha tu kila unavyoongea, atapewa mkopo kiasi gani na hizo tv rights? atafanya biashara gani itakayomuingizia faida bilioni 200 miaka 10? club zote za ligi kuu zijumlishe hazina thamani ya huo mkataba ni benki gani itakayotoa mamia ya mabilioni ama trilioni kwa ajili ya club za ligi kuu?

na Ronaldo akimaliza mkataba wa juve hakuna club itakayotoa pesa ndefu kumlipa mshahara atakuwa na miaka 38, mchezaji mpira akipotea kwenye ulimwengu wa soka na pesa nayo inapotea, wengi hawana akili za maisha.

ukitaka kujua hilo google utajiri wa retired athletes, wengi wameporomoka vibaya mno, wawili tu toka dunia iumbwe ndio mabilionea na wao wenyewe ni wameanzisha biashara?michezo baada ya kustaafu, Mfano mc mahon ambae ni CEO wa WWE.

na ukitoa wamarekani ni Beckham ndio ana ukwasi zaidi, na si Bilionea ana around $640m, hapo bado anashikwa sana mkono wa mke wake.
Michael Jordan?
 
Huu[emoji116]utajiri wa Ronaldo ni pesa ndogo sana, na akiacha mpria endorsements na adverts vitakatika hivyo 2yrs after retirement ataanza kutafuta kazi nyingine ili aweze ku survive.
Lifestyle ya wachezaji huwagharimu sana na hata baada ya retirement huwa wataka kuikakamia, imagine running costs za private jet na hizo posh cars pate kibarua kitakapoisha, don't forget he is 35 na umri huo ki mpira ni mzee.
All in all pesa yake ni ndogo kwa hao matajiri mnaojaribu kumlinganisha nao.
Check his worth[emoji116]View attachment 1880470
Kwaiyo kwa mawazo yako hao unaowahusudu utajiri wao ndiyo una uhakika? Kwani kina bakhresa biashara zao haziyumbi? Unafikiri wao hawana running costs, hawalipi mishahara, material costs and scarcity, taxes, corona, umafikiri hayo makampuni ni kama yako mbinguni hayayumbi wala hayawapi stress ehh? Mmekalia kuorodhesha mabiashara ya wahindi ohh sijui korosho, mashamba sijui zimbabwe hivi mnazani kila biashara ina faida tu anzisheni basi na nyie. Hawa wahindi kuna makampuni hayawaingizii faida kabisa zaidi ya hasara sema wanakompesate mwenye zingine na zingine wanafunga na mihasara kama yote sema nyie mmekalio kuorodhesa mabiashara ya wahindi mnajaza kurasa nzima. Kama ni hivyo hao kina mo wangekua wamenunua ma private jets na ma private Yatch siku nyingi.

Manara kashakuambi Mo ni tapeli hana lolote anashindwa kuweka mzigo wanaume kina azam wanaweka mzigo anaishia kuona wivu tu na ubilionea wake wa kujipachika.
 
Kwaiyo kwa mawazo yako hao unaowahusudu utajiri wao ndiyo una uhakika? Kwani kina bakhresa biashara zao haziyumbi? Unafikiri wao hawana running costs, hawalipi mishahara, material costs and scarcity, taxes, corona, umafikiri hayo makampuni ni kama yako mbinguni hayayumbi wala hayawapi stress ehh? Mmekalia kuorodhesha mabiashara ya wahindi ohh sijui korosho, mashamba sijui zimbabwe hivi mnazani kila biashara ina faida tu anzisheni basi na nyie. Hawa wahindi kuna makampuni hayawaingizii faida kabisa zaidi ya hasara sema wanakompesate mwenye zingine na zingine wanafunga na mihasara kama yote sema nyie mmekalio kuorodhesa mabiashara ya wahindi mnajaza kurasa nzima. Kama ni hivyo hao kina mo wangekua wamenunua ma private jets na ma private Yatch siku nyingi.

Manara kashakuambi Mo ni tapeli hana lolote anashindwa kuweka mzigo wanaume kina azam wanaweka mzigo anaishia kuona wivu tu na ubilionea wake wa kujipachika.
Take a chill pill and calm down, sijaongelea biashara yoyote ya MO au ya Bakhresa. Hata kama wana kampuni zinaingiza hasara lakini they're billionaires.
Maneno ya Manara ni maneno na mbwiga yoyote anaweza kuropoka kama Manara, pale Simba aliajiriwa kwa kazi ya kuropoka and he was the very right choice na bado yuko kwenye momentum ya kuropoka kama ilivyojidhirisha.
Umeshawahi kujiuliza kwa nini hakujawahi kutokea soccer player billionaire mpaka sasa? Mishahara yao, advertisements na endorsements zote lakini hajawahi kutokea billionaire. Kwanza kodi yaani kuna nchi kodi ni mpaka 40plus percent, gharama za maisha yao na makampuni mengi makubwa yanawaghilibu kwa kuwakopesha sports cars, private jets kwa kuwa nchi nyingi si kama Bongo mambo ya kununua hata vitu vya thamani kwa kulipa cash.
Kwa kifupi si sahihi kulinganisha utajiri wa billionaire na utajiri wa millionaire.
 
Take a chill pill and calm down, sijaongelea biashara yoyote ya MO au ya Bakhresa. Hata kama wana kampuni zinaingiza hasara lakini they're billionaires.
Maneno ya Manara ni maneno na mbwiga yoyote anaweza kuropoka kama Manara, pale Simba aliajiriwa kwa kazi ya kuropoka and he was the very right choice na bado yuko kwenye momentum ya kuropoka kama ilivyojidhirisha.
Umeshawahi kujiuliza kwa nini hakujawahi kutokea soccer player billionaire mpaka sasa? Mishahara yao, advertisements na endorsements zote lakini hajawahi kutokea billionaire. Kwanza kodi yaani kuna nchi kodi ni mpaka 40plus percent, gharama za maisha yao na makampuni mengi makubwa yanawaghilibu kwa kuwakopesha sports cars, private jets kwa kuwa nchi nyingi si kama Bongo mambo ya kununua hata vitu vya thamani kwa kulipa cash.
Kwa kifupi si sahihi kulinganisha utajiri wa billionaire na utajiri wa millionaire.
Kaa ujue mo siyo billionea ni tapeli tu kampuni siyo ya kwake peke yake ni biashara ya azim dewji na gulamhusein dewji na ndugu zao, mo ni mtoto tu wa moja wa real owners ambaye ni mtendaji sema ni kawaida yao kumfanya aonekane kama ya kwake ili aonekane billionea ila wakigawana hisa hachukui hata $100m sasa sijui unamfananishaje na ronaldo, we duniani kuna billionea gani hajui hata private jet ikoje ndani? Afadhali hata unitajie bakhresa au gsm kidogo nitakuelewa ila siyo mo, janja janja yule anaagiza hadi mchele mbovu tapeli yule, wafanyakazi hawalipi vizuri.
 
Eti LG , TCL , bajaji, sabuni, sukari, udalali tuuu angekua ana manufacture sawa ila dalali. Kabla hajapewa kampuni baba zake kina azim dewji walikua walikuwa wanaingiza hela zaidi yake ila hasemi. Unamlinganisha ronaldo na dewji mtu anasimamia mali za gulam, Azim na baba zake wadogo kama woote na vijukuuu na ukoo mzima. Mtu kashindwa kununua Ferrari eti kisa simba, uchafu ronaldo anakohoa tuu, hivi wabongo maduwanzi kiasi cha kumuamini dewji?
Mashamba?[emoji23][emoji23] anadai bilioni 8 miaka kumi hadi wakamteka na katani zake. Vinywaji yani energy, nguo zipi unavaa za mo? Kuwa na makampuni 100 ambayo wafanyakazi hawalipwi ni concept tu kujaza profile. Billionea anatembelea vogue la 2015 hadi wanemteka nalo.

Kuna watu hawajui hata hela ikoje. Namshangaa sana jamaa anasema eti bongo kuna matajiri wengi tuu wana hela kuliko ronaldo[emoji23][emoji23][emoji23] kuna watu wanaishi Tanzania ya kufikirika siyo hii tunayoifahamu sisi ndani nje. Hata rostam mwenyewe akisoma huu uzi anaweza akaanguka [emoji23][emoji23]siyo kwa kilio kile alicholia mbele ya samia.
Eti mengi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haya basi jakline ntuybalike ana hela kuliko ronaldo na ma v8 yake ya 2010[emoji23][emoji23][emoji23]
Tumia akili hata kiduchu, Magu alivyokuwa mkatili hivi Mo ahonge kuitwa Trillionea alafu isifananie na tax records zake kule TRA??
 
Tumia akili hata kiduchu, Magu alivyokuwa mkatili hivi Mo ahonge kuitwa Trillionea alafu isifananie na tax records zake kule TRA??
Kwani mtu kuhonga uandikwe trillionaire kunahusiana vipi na kazi za TRA? Wao si wanakagua mahesabu ya kampuni kwani mo analipa kodi au kampuni Ltd ndo inalipa kodi? Alafu mo si anachangiaga kampeni ccm kwani aliwahi kusema haongei na mbwa anaongea na mwenye mbwa? Hata wewe ungetaka uende kuhonga uandikwe billionea sizani kama unakosa.

Hiyo billioni 20 tu ya simba tu kidogo imtoe roho miaka sita, akicheki wanaume wa Azam wanamwaga billioni 320, billioni 34, sijui kawapigia magoti baba zake?
 
Kaa ujue mo siyo billionea ni tapeli tu kampuni siyo ya kwake peke yake ni biashara ya azim dewji na gulamhusein dewji na ndugu zao, mo ni mtoto tu wa moja wa real owners ambaye ni mtendaji sema ni kawaida yao kumfanya aonekane kama ya kwake ili aonekane billionea ila wakigawana hisa hachukui hata $100m sasa sijui unamfananishaje na ronaldo, we duniani kuna billionea gani hajui hata private jet ikoje ndani? Afadhali hata unitajie bakhresa au gsm kidogo nitakuelewa ila siyo mo, janja janja yule anaagiza hadi mchele mbovu tapeli yule, wafanyakazi hawalipi vizuri.
Inaonekana unaifahamu familia ya kina dewji kwa undani sana. Umewazidi hadi Forbes kwa ufukunyuku.

Kwa hiyo kwenye list yako hapo ya matajiri wa bongo kati ya gsm, baresa, mo na diamond nani wa kwanza
 
Inaonekana unaifahamu familia ya kina dewji kwa undani sana. Umewazidi hadi Forbes kwa ufukunyuku.

Kwa hiyo kwenye list yako hapo ya matajiri wa bongo kati ya gsm, baresa, mo na diamond nani wa kwanza
Kamuulize babaako.

Wewe umeona kuna ofisi ya forbes hapa bongo? Forbes africa wana contributor moja Mfonobong Nsehe yuko south unamtumia nauli anakuja kuandika habari zako unamuweka Kempiski unamlipa posho anarudi zake kwao unategemea atoe wapi taarifa kama hakuna hata Info za walipa kodi TRA za uwazi. Ndo mana kina mengi na dewji wakatumia fursa kujipa umaarufu kwenye fontifedi za Forbes.

Utakua unamatatizo sana ya upofu kama unaamini kweli mo anahela kuzidi bakhresa.
 
Kodi ya watu wa Soka pia ni kubwa wanakatwa 35 mpaka 45% ya kipato chao wasichokitumia. Na kila hela wanayolipwa haimaaanishi ni Thamani yao wanalipa mishahara, wanatumia na wao kama binadamu wengine, wanalipa kodi ya Nyumba etc. There is a reason hakuna Mwanasoka Bilionea so far.

Kuhusu MO mkuu Hebu twende Taratibu.

-MO ni exporter mkubwa wa mitiki, quality ndogo ya mitiki cubic meter ni $900 quality kubwa mpaka $1500 kontena la futi 20 ni Cubic meter 33, so tunaongelea milioni 60 mpaka 120 hivi kwa Container. Jamaa ana Yard nzima, kuna kipindi kila wiki zinaingia gari kama 10 toka mashambani huko Tanga ama Morogoro, so easily tunaongelea Mamia ya macontainer na Revenue makumi ya Bilioni.

-kwenye Katani jamaa ana Heka 40,000 na production yale ni Tani 10,000 kwa mwaka, bei ya Tani sasa hivi ni $850 mpaka $900 hivyo tunaongelea Dola milioni 8 ama 9 hivi ambayo ni zaidi ya bilioni 20.

-Njoo Pamba hapa napo tunaongelea Tani 30,000 mpaka 45,000 ambayo roughly ni hizo Bilioni 30 mpaka 45 haijakuja processed hapo, kiwanda cha nguo cha MO kina capacity ya kutengeneza Mita milioni 100 kwa mwaka, mita moja ya Fabric inategemea ya nini at minimum sokoni ni 1000 ila inaenda mpaka 8000 hivyo tunaongelea market ya mamia ya Bilioni.

Nikupe tu comparison moja hapa, Tanzania Nzima ina heka milioni 86, Metl mashamba wanayohudumia kwenye Pamba tu heka milioni 5.

-kwenye Mawese/crude oil jamaa anaingiza Tani 120,000 kwa mwaka bei ya Tani ni Around $600 hivyo anaspend around $72m kwenye hili, hii ni raw Material tu ya kiwanda ni around bilioni 200 bado haijatoka Final product ambayo ina Thamani zaidi.

Hivi Vyote mkuu, nimebase Kwenye kitu kimoja tu Agriculture, na sijamaliza mazao yote, kuna Korosho hapo, mbaazi, dengu na mengine mengi hata Sina ya Angalia ila tayari tunavuka Bilioni 500 tayari. Bado kuna viwanda na biashara etc. Na hio ni Tanzania tu jamaa yupo Nchi 12.

Naona uvivu kuweka source ya kila kitu, ukihitaji source ya data yoyote unayoitilia mashaka niambie nitakuekea.
Sijui hayo mengine ila mo revenue kubwa ingharamikia mikopo na assets ambazo anaweka ni zile anazoomba bure serikalini huu ugomvi wake mkubwa na magufuli alipewa onyo akatishiwa kuchukuliwa mali zote za metl group kama mali za serikali zitachukuliwa na Bank za njee anakokopa ndio family yake ikaanza jikomba jikomba
 
Kamuulize babaako.

Wewe umeona kuna ofisi ya forbes hapa bongo? Forbes africa wana contributor moja Mfonobong Nsehe yuko south unamtumia nauli anakuja kuandika habari zako unamuweka Kempiski unamlipa posho anarudi zake kwao unategemea atoe wapi taarifa kama hakuna hata Info za walipa kodi TRA za uwazi. Ndo mana kina mengi na dewji wakatumia fursa kujipa umaarufu kwenye fontifedi za Forbes.

Utakua unamatatizo sana ya upofu kama unaamini kweli mo anahela kuzidi bakhresa.
Mbona unakuja juu mzee. Kam dawni[emoji1787]

Forbes waongo, hawawezi kuwa accurate.

Wewe mkweli sasa ndio nakuuliza kwenye list yako nani wa kwanza nani wa mwisho kati ya baresa mo lonado na diamond bila kusahau na jieshiemu
 
Sijui hayo mengine ila mo revenue kubwa ingharamikia mikopo na assets ambazo anaweka ni zile anazoomba bure serikalini huu ugomvi wake mkubwa na magufuli alipewa onyo akatishiwa kuchukuliwa mali zote za metl group kama mali za serikali zitachukuliwa na Bank za njee anakokopa ndio family yake ikaanza jikomba jikomba
Mo anapenda kujibrand kama billionea ili apate mikopo kirahisi benki za nje kunamtu aliuliza kuhusu magu atakua amepata jibu lake hapo.
 
Back
Top Bottom