Kuna Watumishi walitakiwa kupanda madaraja yao mwenzi huu Mei, mara ya mwisho walipanda mei 2021. Rais Samia Kulikoni?

Kuna Watumishi walitakiwa kupanda madaraja yao mwenzi huu Mei, mara ya mwisho walipanda mei 2021. Rais Samia Kulikoni?

Mzee Ngonyani

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2022
Posts
1,049
Reaction score
2,242
Baada ya kuingia Mama Samia kwenye usukani mengi yamefanyika likiwemo la kuwajali watumishi hasa upande wa madaraja,. Sasa leo badhi ya watumishi walioenda kwenye ATM kutoa chochote ikawa ndivyo sivyo.

Nikasikia malalamiko mbona nilikuwa napanda mwezi huu lakini sijaona mabadiliko kwenye mshahara, eti wadau kunani huko kuserikali mbona walisema mama hana shida na swala la madaraja ya watumishi?
 
Unawza madaraja tu boss, ushaambiwa Kuna vita ya Ukraine na Russia!


Unakumbushwa pia Mozambique hapaeleweki, noti za ziada zinaelekes kulinda mpaka wa km900 ili wahuni wanaosumbua Mozambique wasiingie kwetu.

Mtumishi wa umma jipange sawa sawa, punguza kuwaza sana.

NB. Theruthi ya watumishi mtapanda July 1, 2024 to June 30, 2025!

Wanaopanda baada ya mafunzo tayari wapo mafunzoni, wanaopanda Kwa barua maofisa utumishi wanazo barua za Siri na vibarua na majobkess wenzangu tuendekee kujiajiri
 
Hivi haya mambo ya ajira yanaongozwa kwa sheria, taratibu na kanuni au utashi wa Rais!

Kweli watumishi wa serikalini mna tabu. Kwa hiyo jambo la kupanda daraja linasubiri hisani ya Rais? Asiposema chochote mei mosi unaweza kustaafu na mshahara ulioajiriwa nao.
 
Back
Top Bottom