Kuna wengine hatujui tulipokosea

Zawadi pekee ya mtoto wako kama wewe unaona kabisa sina utajiri mkubwa kama wengine wakubwa basi ni kumpa malezi Bora ya baba na mama.
Kuna raha ya mtoto wako kuona anapendwa Toka akiwa mdogo
bila uwezo wa MUNGU peke yangu siwezi ila nina imani Mungu atanisaidia
 
Dav ananitamani leo kesho. mimi nimepita matatizo mengi hvyo hata wazo la kuolewa sina kabisa akilini mwangu.
 
Dav anasali au kuswali popote, Binadamu yeyote kama anamwamini Mungu na akawa serious na Mungu lazima afike mahali abadirike tabia, kwa Mungu hakuna lisilowezekana. Kumcha Mungu ni chanzo cha maarifa, maisha yetu haya hapa duniani hatuwezi lolote bila Mungu.

Kumcha Mungu, kwenda kanisani/msikitini ni njia bora ya kurekebisha tabia, pesa au elimu haviwezi kumsaidia mtu yeyote hapa duniani kama hana Mungu,

Vitabu vitakatifu vinasema Pesa no chanzo cha mabaya ya kila aina hapa duniani!!

Tumche Mungu, tutakuwa na hofu ya Mungu!!
 
Maisha ni maamuzi, ili mtu aishi hapa duniani sio lazima awe ameoa au ameolewa, mtu aishi vipi hapa duniani ni maamuzi yake na wala hakuna kanuni ya kuishi,

So kuishi single sio dhambi kwa mwanaume na
mwanamke, cha msingi usimkwaze mtu katika u-single wako!!
 
bila uwezo wa MUNGU peke yangu siwezi ila nina imani Mungu atanisaidia
Najua utafanikiwa mkuu tena sana pia najiuliza why umekimbia majukumu Yako kama mke. Kwa dav.

Fatilia kuhusu post moja ya huyu mtu anaitwa masai dada then utajua kuwa hata baadhi ya shida kwenye ndoa huwa zinafika ukomo na maisha yanarudi kama mwanzo.

Ungejipa mda tu then Kila kitu kingekaa sawa.
 
bila uwezo wa MUNGU peke yangu siwezi ila nina imani Mungu atanisaidia
Sisemi natetea kuhusu dav Wala usinifikirie hvyo ila hata Mimi leo nikikaribia kuoa lazima nimalize na vipengele vyangu Kwa show Kali ili niweke commitment na mambo yanaendelea.

Kuna story Moja huko Nigeria nafikiri ilitokea baba anachepuka na mama kazuia lkn mchepuko ulituma Hadi video ya mmewe akiwa anapiga yowe Kwa mauno ya mchepuko Kwa mkewe ili kukwambia kuwa hakuna lolote utakalo Fanya.

Mke aliomba sana Kwa imani yake na mambo yalirudi kama mwanzo na badae familia ilikuwa sawa.

Amani ya Mungu ni Amani ya kweli na Wala sio amani ya kuwa single mother.
 
asante
 
usaliti unauma sikia kwa mtu omba yasikukute. navyomfahamu Dav ingekuwa yeye ndo alinifumania. pale ningetolewa maiti. nilivumilia mengi. mpaka alitembea na mdogo wangu lakini bado nilisamehe. hapana kwakweli sina chuki nae ila pia kurudi kwake siwezi.
 
haha team Dav jamn mnataka akaniue
 
Sawa mkuu.
 
Dav ananitamani leo kesho. mimi nimepita matatizo mengi hvyo hata wazo la kuolewa sina kabisa akilini mwangu.

Kama wewe huna mume na yeye hana mke basi usiendelee kumkatalia. Kila mmoja wenu keshajifunza kwa yaliyomkuta.
Dunia ina mengi sana huyo ndio mumeo urudi sasa kwake. Kama ana mtoto alizaa huko nje chukua lea pamoja na huyo wa kwako. Kama hana basi umzalie kabisa muwe familia. mfunge ndoa lakini muache kuzini.

Atakuwa anajuta sana na kwa aliyopitia, atakuwa keshaacha utoto. sasa hivi akili zimekaa vizuri.

Hebu mpe nafasi akirudia ujinga tena basi nitakuwa upande wako.
 
realMamy njoo umuone team Dav mwenzako. πŸ˜›
 
Asante na mm nna mpenz Wang namsaliti sasa nmeamua kuacha kabsa ya dav yasje nkuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…