byeyombo
JF-Expert Member
- Sep 3, 2015
- 2,647
- 4,184
acha wivuDah, wa kishua halafu kwenda shule unakutana na mbwa mwitu 10?
Nwei tuendelee kustorika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
acha wivuDah, wa kishua halafu kwenda shule unakutana na mbwa mwitu 10?
Nwei tuendelee kustorika
namaanisha tulikuwa tunaonekana wakishua. sababu watu walikuwa wanakuja kwetu kufanya kazi za vipande wanapewa hela, wakati mwingine chakula. pili babu yangu alikuwa hali chakula bila mboga wala alikuwa hali dagaa. tatu shule ya msingi tulokuwa tunaenda na viatu shuleni tunapewa na hela ya kutumia tulikuwa tunahesabika.nne kipindi hicho hapakuwepo na usafiri kama daladala au bodaboda hivyo ilibidi tutembee kwa mguu tu. asanteDah, wa kishua halafu kwenda shule unakutana na mbwa mwitu 10?
Nwei tuendelee kustorika
Kwa aliye chini ya miaka 40 na hakukulia kijijini hawezi elewa unamaanisha nini, enzi zetu za primary kuvaa viatu ilikuwa indicator mojawapo ya kutokea familia ya kishua.Uko sahihi madamnamaanisha tulikuwa tunaonekana wakishua. sababu watu walikuwa wanakuja kwetu kufanya kazi za vipande wanapewa hela, wakati mwingine chakula. pili babu yangu alikuwa hali chakula bila mboga wala alikuwa hali dagaa. tatu shule ya msingi tulokuwa tunaenda na viatu shuleni tunapewa na hela ya kutumia tulikuwa tunahesabika.nne kipindi hicho hapakuwepo na usafiri kama daladala au bodaboda hivyo ilibidi tutembee kwa mguu tu. asante
Nadhani labda anafupisha tu hiyo 'make' anamaanisha 'maana yake'Nje ya mada kidogo, hivi "make" kama ilivyotumika kwenye sentensi nyingi za Lisa ni neno la Kiswahili?
Hapana haujamuelewa, swali lake linalenga kwenye neno 'make' ambalo unalitumia sana ndani ya sentensi za kwenye simulizi yako..anauliza, hilo ni neno la kiswahili?nimetumia kama utambulisho wangu japo si halisi
mimi wasukuma ni majirani zanguWao wanajua kanda ya ziwa ni wasukuma tu!!
Nime-scroll hadi mwisho kuna kama utasema ITAENDELEA ili nisijisumbue kusomaEndelea kuwa na mimi nitarudi.
tuacheni ndo kiswahili chetu kanda ya ziwa narudia sio msukumaHii ep 2 hapo mwsho mwsho umekipiga kabisa chenyew kisukuma ingawaje unasema wew sio msukuma
Wakuache kabisaatuacheni ndo kiswahili chetu kanda ya ziwa narudia sio msukuma
Mungu ni mwema tumefanya mtihani wa kuingia kidato cha tatu nafaulu na kuingia kidato cha nne na hatimae namaliza kidato cha nne matokeo yanatoka bahati haikuwa upande wangu naambulia Four ya 31.tuacheni ndo kiswahili chetu kanda ya ziwa narudia sio msukuma
asante mwalimuMungu ni mwema tumefanya mtihani wa kuingia kidato cha tatu nafaulu na kuingia kidato cha nne na hatimae namaliza kidato cha nne matokeo yanatoka bahati haikuwa upande wangu naambulia Four ya 31.
Mjita huyu: Kaprima bwacha sugutuacheni ndo kiswahili chetu kanda ya ziwa narudia sio msukuma
mnanilazimisha ili nitaje kabila langu sitaji ng'o. ndio mimi ni msukuma, ndio ni mjita madam wote tu watanzania.Mjita huyu
vidole vimechoka mkuu kumbuka nina majukumu na mimi. ya kutafuta riziki hivyo tuvumiliane.Asee jitahid ufikie lengo sawa Lisa ila kama hutojali ......