Kuna wimbi kubwa la vijana wa Kiislamu kushikiwa akili au mawazo bila kujitambua kuwa wanapotoshwa

Hoja yangu ilikuwa mnapotuita wavaa kobazi basi ujuwe pia ujuwe yesu nae alikuwa mvaa kobazi na kanzu,, hata iwe utamaduni wao wa kale,, hayo mengine fungulia uzi wako tujadili
 
Hao ni wajinga na wapumbavu sana. Mazezeta. Mpaka leo hii wanaamini jua linazama kwenye matope na wakifa watapewa mito ya wine na mabikra 72
 

Ugomvi wa Urusi na Ukraine ni wandugu wawili, sasa mmatumbi anaenda kuingilia akidai unakuhusu, waende tu
 
Kuna yule Shehe wa hapa Mwanza alikuaga anaitwa nani sijui, alikua anatumia nguvu kubwa kuwaaminisha kua Tanzania inaendeshwa Kwa mfumo Kristo, akiwaasa waZanzibar kukataa hilo
 
Kumbe tatizo linawezakuwa kiswahili cha muuliza swali au hajui maana ya kitu anachouliza"OK"

Sina shaka kwamba unaelewa kiswahili,neno dini unalielewa,haya umeuliza dini yangu.

Nataka unieleze nini maana ya dini.
Utaendelea kua mpumbavu mpaka siku utakapo leta uthibitisho

Na kama lugha hujui sema tukufundishe

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Ukifuatilia kwa makini Zanzibar ndio inaongoza kwa ushoga na ufiranaji kuliko bara......
 
Hawa wapo tangu zama za Yesu, ndiyo masadukayo na mafarisayo, hawa marabi walipinga sana utume wa Yesu na mpaka sasa ni wapinzani na ndio maana wakaongeza upinzani kwa kuleta uislam upingane na ukristo. Ukristo umepitia changamoto nyingi kutoka kwa dini za kipagani na upo hauterereki. Daima ukristo hushinda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…