Themann
JF-Expert Member
- Apr 15, 2022
- 3,842
- 16,058
Mkuu kuna swali hapa je kama ukijibiwa kuwa ukristo ni dini kwa usahihi nini kinafata kwanini umeng'ang'ania wathibitishe kuwa ukristo ni dini je neno dini lina maana gani kwa upande wa uislam?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa nini mnapenda kushadidia kwa kutumia hoja za wahuni kuhalalisha uchafu wao? Uonapo mashoga wakishadidia kutaka kutambuliwa na maandiko matakatifu biblia iishakataa uchafu huo na kusema wafiraji hawataurithi ufalme wa mbinguni. Tena imepiga marufuku ulawiti, hao ni wanaharakati wa ushoga wanaochafua ukristoSikulaumu itakuwa akili yako ni ya kuku , yaani nimekujibu mara mbili ukristo ni kitu gani basi . nakujibu mara ya tatu
Ukristo ni jina la kupanga walilolitumia wapagani wa Antokia Matendo 11:25
Hulaumiki labda ndio nyinyi Bwana yesu alisema
![]()
Hamuna mngekuwa sahizi mshakimblia kuku nyieAndiko kwa hawa kunguni la nini??hawa hawako kujifunza unaua kwa kubabua na ndala tu,paaa paaaa paaaa.
Ninacho taka hapa ni uthibitisho tuMkuu kuna swali hapa je kama ukijibiwa kuwa ukristo ni dini kwa usahihi nini kinafata kwanini umeng'ang'ania wathibitishe kuwa ukristo ni dini je neno dini lina maana gani kwa upande wa uislam?
Ila wanaharakati wanao uchafua uislamu hawapo si mnashadidia sana tu nyiekwa nini mnapenda kushadidia kwa kutumia hoja za wahuni kuhalalisha uchafu wao? Uonapo mashoga wakishadidia kutaka kutambuliwa na maandiko matakatifu biblia iishakataa uchafu huo na kusema wafiraji hawataurithi ufalme wa mbinguni. Tena imepiga marufuku ulawiti, hao ni wanaharakati wa ushoga wanaochafua ukristo
hawa jamaa huwa ni wabishi kukubali ukweli hata wakiwa live kwenye ile mihadhara ya kina ustaadh mazinge na kina mwinjilisti simbaulanga na wenzake. Ni wabishi balaa wanataka maandiko huku hawajui tafsiri zake zaidi kutoa rejea za kupotosha ukweliAcha kuwa kama mbwa mkuu.
Kwani uislam sio jina alilolipanga huyo sokomoko muhamad[emoji23][emoji23]???mbona pia husema Yesu na adam ni waislam ilhali hawaujui hata huo uislam ni kitu gani???
Sasa wewe unawashwa wapi nikukune,fafanua.
Maandiko ndio yanaongoza Dini au nyie mnaongozwa na nini kupinda pinda hakutakiwa weka mambo bayana hapahawa jamaa huwa ni wabishi kukubali ukweli hata wakiwa live kwenye ile mihadhara ya kina ustaadh mazinge na kina mwinjilisti simbaulanga na wenzake. Ni wabishi balaa wanataka maandiko huku hawajui tafsiri zake zaidi kutoa rejea za kupotosha ukweli
Muhamad alikuwa mjinga na mpumbavu. Ndo maana vijana wengi wanaomfatisha ni wajinga wajinga na wapuuzi. Eti yale mkorokocho yalishushwa wakati walikaa na genge lake huko wakabuni buni vitu. Wakatoka hapo wakaanzisha vita, kuchinja kuua na kubaka watoto eti wanasambaza dini. Ujinga wa hali ya juu.Nikikuita mpumbavu uwe unakubali[emoji23][emoji23]
Haya ni maandishi ndani ya quran,aliyoisoma kwa waandishi mwenye nia hiyo yaandikwe,leta chanzo nje ya qurani kuthibitisha hilo.
Si ni muhamad mwenyewe anayedai kakutana na jibril,nani mwingine ana uthibitisho kwa madai yake??
Huna dini weweMuhamad alikuwa mjinga na mpumbavu. Ndo maana vijana wengi wanaomfatisha ni wajinga wajinga na wapuuzi. Eti yale mkorokocho yalishushwa wakati walikaa na genge lake huko wakabuni buni vitu. Wakatoka hapo wakaanzisha vita, kuchinja kuua na kubaka watoto eti wanasambaza dini. Ujinga wa hali ya juu.
hawa jamaa huwa ni wabishi kukubali ukweli hata wakiwa live kwenye ile mihadhara ya kina ustaadh mazinge na kina mwinjilisti simbaulanga na wenzake. Ni wabishi balaa wanataka maandiko huku hawajui tafsiri zake zaidi kutoa rejea za kupotosha ukweli
Ninacho taka hapa ni uthibitisho tu
Bibilia itwambie kua ukristo ni Dini maana inawezekana tukawa tunajadiliana na watu kumbe ni miongoni mwa wasio na dini
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
rejea kwenye post yangu hapo juu mwanzo, nimesema kwenye ukristo kuna uhuru mwingi, imefikia hatua watu wanajiita mitume, manabii, makuhani, makerubi, malaika, yesu na mungu, hakuna wa kuwashughulikia na wala wakristo hawaandamani kutetea ukuu wa Mungu. Hii ni tofauti na uislam, uislam uko kimwili zaidi akitokea wa kurudufu imani ya kiislam hatabaki salama, fatwa itamhusu. Watu wanaogopa sana hiyo dini ya mwilini. Angalia hata hata wasanii wa hapa wanaogoga kuigiza mambo ya kiislam kwa kuhofia usalama wao. Ila wanaharakati wanaulia timing uislamIla wanaharakati wanao uchafua uislamu hawapo si mnashadidia sana tu nyie
Hivi mnakuga hamjui au mnajizima data tu
Mue mnatumia akili watu wanafanya mavitu ya hovyo kanisani mnasema wanaharakati hao sio wakristo waislam wakisema mnakataa
Sasa kwa sasa hakuna atakae waelewa tena kuku nyie
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Naona povu lina kutoka kweli kweli yaniMudi alikuwa muuaji. Alitumia mauaji na ubakaji kusambaza dini ndo maana hata hawa wapuuzi wenzake siku hizi hawaoni tabu kuvaa mabomu na kwenda kujilipua huko ili waue watu eti wakipigania dini. Sasa kama mnyaazi ni mwenye nguvu na muweza wa kila kitu kwanini wewe ukampiganie? Si ajipiganie mwenyewe
Kwanini kiongozi haina vitu vingi kiasi hichoNafikiri swali lako linaweza jibiwa kama ikipatikana biblia ya agano la kale hii ya sasa haina vitu viingi sana.
Najadiliana na mwenye akili sasa fuatilia majadiliano kuku weweWewe na Allah nani mwenye dini[emoji28][emoji28]
Najadiliana na mwenye akili sasa fuatilia majadiliano kuku wewe
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hujajibu hoja twende taratibu kwanzarejea kwenye post yangu hapo juu mwanzo, nimesema kwenye ukristo kuna uhuru mwingi, imefikia hatua watu wanajiita mitume, manabii, makuhani, makerubi, malaika, yesu na mungu, hakuna wa kuwashughulikia na wala wakristo hawaandamani kutetea ukuu wa Mungu. Hii ni tofauti na uislam, uislam uko kimwili zaidi akitokea wa kurudufu imani ya kiislam hatabaki salama, fatwa itamhusu. Watu wanaogopa sana hiyo dini ya mwilini. Angalia hata hata wasanii wa hapa wanaogoga kuigiza mambo ya kiislam kwa kuhofia usalama wao. Ila wanaharakati wanaulia timing uislam