Kuna wimbi kubwa la vijana wa Kiislamu kushikiwa akili au mawazo bila kujitambua kuwa wanapotoshwa

Kuna wimbi kubwa la vijana wa Kiislamu kushikiwa akili au mawazo bila kujitambua kuwa wanapotoshwa

kwa nini mnapenda kushadidia kwa kutumia hoja za wahuni kuhalalisha uchafu wao? Uonapo mashoga wakishadidia kutaka kutambuliwa na maandiko matakatifu biblia iishakataa uchafu huo na kusema wafiraji hawataurithi ufalme wa mbinguni. Tena imepiga marufuku ulawiti, hao ni wanaharakati wa ushoga wanaochafua ukristo

Unaongelea biblia ipi? King James version, Queen James version au maelfu ya biblia tofauti?
 
Wanaharakati wana akili nyingi, waislam msifikiri kuwa kwa kuwa ukristo umechafuliwa na nyie mtabaki salama. Nyie wenyewe mtaingia kwenye ndoano wenyewe. Na tayari wamejipenyeza huko huko kwenye shina la uislam, ni suala la muda tu mtawatafuta wakristo muwe kitu kimoja kupambana na shetani huyo. Msicheke sana kuona ukristo ukichafuliwa na wahuni
Hakuna anae cheka ila wahuni mnaona wapo upande mmoja tu mpaka mkishikwa kooni ndio mnaanza kujifaradua

Mnaongoza kutukan uislamu kwa jambo analo fanya mtu mkiambiwa huyo kafanya kwa mapenzi yake na si dini mnakua wakali kama vile dini nyie ndio mnaijua

Narudia tena sasa zamu yenu mpaka heshima irudi
Mnalishwa mpaka nyasi kama sungura

Tena nyie ndio hakuna cha kujitetea maana mnaongozwa na roho mtakatifu kufanya upuuzi

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Unaongelea biblia ipi? King James version, Queen James version au maelfu ya biblia tofauti?
we unajua tafsiri ya biblia ipi? New international version, union version au today's english version? Tuanzie hapo kunyukana kihoja
 
we unajua tafsiri ya biblia ipi? New international version, union version au today's english version? Tuanzie hapo kunyukana kihoja
Jibu unaloulizwa

Unaongelea biblia ipi? King James version, Queen James version au maelfu ya biblia tofauti?
 
Hakuna anae cheka ila wahuni mnaona wapo upande mmoja tu mpaka mkishikwa kooni ndio mnaanza kujifaradua

Mnaongoza kutukan uislamu kwa jambo analo fanya mtu mkiambiwa huyo kafanya kwa mapenzi yake na si dini mnakua wakali kama vile dini nyie ndio mnaijua

Narudia tena sasa zamu yenu mpaka heshima irudi
Mnalishwa mpaka nyasi kama sungura

Tena nyie ndio hakuna cha kujitetea maana mnaongozwa na roho mtakatifu kufanya upuuzi

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
hao wanaolishwa nyasi ni waumini waliopotea, hawana mafundisho sahihi, wanaangamia kwa kukosa maarifa
 
Inawezekana waislamu ni wajinga ila hawajafikia kiwango cha wale waunga ushoga wale hata wakiambiwa leo hamna mtu kuingia bila kushikwa tako anakubali wanakubali maji ya uhai wanagombania wanaambiwa ni maji ya uzima mfalme zumaridi aliwafanya misekule kibwetele aliwapiga moto pale kawe watu wanakesha hakika kwa ujanja huu bora ni baki na ujinga wangu wa kiislamu.

Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
Kwani Zanzibar na mwambao wote wa pwani wako dini gan? Mbona ushoga uko wazi wazi???
 
Hakuna anae cheka ila wahuni mnaona wapo upande mmoja tu mpaka mkishikwa kooni ndio mnaanza kujifaradua

Mnaongoza kutukan uislamu kwa jambo analo fanya mtu mkiambiwa huyo kafanya kwa mapenzi yake na si dini mnakua wakali kama vile dini nyie ndio mnaijua

Narudia tena sasa zamu yenu mpaka heshima irudi
Mnalishwa mpaka nyasi kama sungura

Tena nyie ndio hakuna cha kujitetea maana mnaongozwa na roho mtakatifu kufanya upuuzi

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
tena huko unapopaamini ndio wamejipenyeza patamu, subirini zamu yenu ifike hakuna rangi mtaacha kuona
 
Kwani Zanzibar na mwambao wote wa pwani wako dini gan? Mbona ushoga uko wazi wazi???
Hao wako wazi kama hawa kanisani
42619.jpg


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23]ukimwangalia anayeambiwa hana amani (mwenye helmet)ana amani kuliko anayemsema.

Bro ana jazba ndani ya uislam na hajui.
Sikiliza wacha wewe jaziba

 
Back
Top Bottom