Kuna wimbi kubwa la vijana wa Kiislamu kushikiwa akili au mawazo bila kujitambua kuwa wanapotoshwa


Unaongelea biblia ipi? King James version, Queen James version au maelfu ya biblia tofauti?
 
Hakuna anae cheka ila wahuni mnaona wapo upande mmoja tu mpaka mkishikwa kooni ndio mnaanza kujifaradua

Mnaongoza kutukan uislamu kwa jambo analo fanya mtu mkiambiwa huyo kafanya kwa mapenzi yake na si dini mnakua wakali kama vile dini nyie ndio mnaijua

Narudia tena sasa zamu yenu mpaka heshima irudi
Mnalishwa mpaka nyasi kama sungura

Tena nyie ndio hakuna cha kujitetea maana mnaongozwa na roho mtakatifu kufanya upuuzi

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Unaongelea biblia ipi? King James version, Queen James version au maelfu ya biblia tofauti?
we unajua tafsiri ya biblia ipi? New international version, union version au today's english version? Tuanzie hapo kunyukana kihoja
 
we unajua tafsiri ya biblia ipi? New international version, union version au today's english version? Tuanzie hapo kunyukana kihoja
Jibu unaloulizwa

Unaongelea biblia ipi? King James version, Queen James version au maelfu ya biblia tofauti?
 
hao wanaolishwa nyasi ni waumini waliopotea, hawana mafundisho sahihi, wanaangamia kwa kukosa maarifa
 
Kwani Zanzibar na mwambao wote wa pwani wako dini gan? Mbona ushoga uko wazi wazi???
 
tena huko unapopaamini ndio wamejipenyeza patamu, subirini zamu yenu ifike hakuna rangi mtaacha kuona
 
[emoji23][emoji23][emoji23]ukimwangalia anayeambiwa hana amani (mwenye helmet)ana amani kuliko anayemsema.

Bro ana jazba ndani ya uislam na hajui.
Sikiliza wacha wewe jaziba

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…