DOKEZO Kuna wizi unafanyika kwenye mifumo ya control number, sijui nani atachunguza labda Rais kuagiza watu wa usalama wa Taifa wachunguze

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Hizo ni micromanagement siyo kazi ya Rais. Muacheni Rais a deal na strategic issues
Strategic issues ndo kama ule uzinduzi albam ya Harmonize eti??
Hata hayo masafari yake ya kila siku sijawahi kuona impact yake kwa nchi zaidi ya kuneemesha wahuni wachache wanaompeleka kama lile robot Eunice la Nape!!!.
 
Kwa kweli tunahitaji katiba mpya.
Haya mambo ya kurithishana haya, Chalamila alishasema "siku moja atajitokeza mroho wa madaraka akamloga Rais ili yeye arithi madaraka". Sasa ogopa sana kuongozwa na kiongozi mchawi!
 
Hapa ndipo uzi wako wote ulipoharibikia
 
Dada Watanzania kwa asili tunawapenda sana viongozi wetu.
Hivyo ukiona wengi wanafanya hivyo unavyolalamikia, basi ujue uvumilivu unaelekea kuwashindawalio wengi
 
Kwa hiyo wewe kila kitu unataka afanye Rais hao wasaidizi wanakazi gani mzee
 
Kama yule mfanyabiashara wa utalii Arusha aliyepewa control number ya milioni 24 akalipa ila ikaja kusoma amelipa milioni 3....WAPIGAJI KILA PAHALA.
 
Strategic issues ndo kama ule uzinduzi albam ya Harmonize eti??
Hata hayo masafari yake ya kila siku sijawahi kuona impact yake kwa nchi zaidi ya kuneemesha wahuni wachache wanaompeleka kama lile robot Eunice la Nape!!!.
Makonda alishasema kuna Mawaziri wanawafadhili wanaomtukana Rais.
Sasa sijui maana ya hilo Roboti Eunice ilikuwa ni kudhihirisha ilo au vipi?!
 
Kuwa serious bas!
Hao mafisi unaita 'mwanamke mwenziye'!
Ujinsia na uchama unawafumba macho kwa miwani ya mbao kumbe!
 
Kwa CCM ilivyo nani atachunguza? Hata hao 'usalama' huenda wapo ndani yake!
The whole system has rotten labda tuibinafsishe tutafute wawekezaji wa kuindesha ila mikataba isimamiwe na TLS siyo hawa watu wa ccm
 
Mama zetu wapo bwana, wako strong wametukuza, wametulinda na walijali maslah ya familia.
 
Strategic issues ndo kama ule uzinduzi albam ya Harmonize eti??
Hata hayo masafari yake ya kila siku sijawahi kuona impact yake kwa nchi zaidi ya kuneemesha wahuni wachache wanaompeleka kama lile robot Eunice la Nape!!!.
Kuna ubaya gani Rais kuhudhuria uzinduzi wa album? Hizi akili zenu sijui zikoje
 
Facts
 
βœ‰οΈπŸ”—βš–οΈβš’οΈβš™οΈπŸš¬πŸ”­πŸ”¬
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…