Strategic issues ndo kama ule uzinduzi albam ya Harmonize eti??Hizo ni micromanagement siyo kazi ya Rais. Muacheni Rais a deal na strategic issues
Hata hayo masafari yake ya kila siku sijawahi kuona impact yake kwa nchi zaidi ya kuneemesha wahuni wachache wanaompeleka kama lile robot Eunice la Nape!!!.