Kuna yeyote aliyeona mabadiliko yoyote katika uwanja wa Mkapa?

Watakula wapi, swali he taa zilizimika?
 
Umesahau hii nchi ni ruksa kufanya kwa vitendo neno "kula urefu wa kamba yako"
 
mara ya mwisho ilikuwa kwenye mechi na timu ya tunisia ambayo viti vilirushwa nuilikaa vip B viti vimechakaa kwa kifupi huu ni upigaji mwingine
 
View attachment 3249165
Jamaa wewe una ajenda binafsi na huu uwanja,hizi zote ni nyuzi zako na zote.umerudia rudia content na kuitaja Amahoro stadium kama mfano katika kila uzi.Kwa taarifa yako uwanja bado upo kwenye marekebisho mpaka so tulia kijana
Kuhoji ni dhambi?

Alichoandika sio kweli?

Ww umeona mabadiliko yepi kwenye huo uwanja?
 
Kuhoji ni dhambi?

Alichoandika sio kweli?

Ww umeona mabadiliko yepi kwenye huo uwanja?
ina maana hujui kwamba bado kuna marekebisho kwenye uwanja wataifa yanaendelea?!na hii ndio sababu hadi leo mechi a simba na yanga zinachezewa KMC na Chamazi,hujaona hata kuna sehemu mechi ya juzi Smba na Azam viti viling'olewa na vinatakiwa viwekwe vipya ambavyo mzigo wake upo bandarini'.?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…