Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,074
- 20,608
Rushwa na police ni kama ulimi na mdomo. Sijui takukuru huwa hawawaoni Jeshi la polisi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TCRA hawana Msaada wote kwenye Wizi wa Simu. Watakuambia nenda Kwa Mobile Operator wakusaidie. Kuna Siku niliibiwa simu nikaenda hapo nikapata Hilo Jibu. Cybercrime watakuzungusha oh nenda huko uliokoripoti Wizi wakusaidie Sisi hatupokei mtu binafsi hapa. Siyo Rahisi hata kidogo kupata simu iliyoibiwa via cyber. Ndio maana Wezi wa Simu hawaishi.Mkuu ulijaribu kwenda TCRA? Labda wangekupa mwangaza na pia ungejaribu kwenda pale sayansi kwa madogo wa UD-CICT (University Of Daressalaam College Of Information and Communication Technology) wangeweza kukushauri utumie manoeuvre gani maana hayo ndio mambo yao
Sent using Jamii Forums mobile app
sio kweliTCRA hawana Msaada wote kwenye Wizi wa Simu. Watakuambia nenda Kwa Mobile Operator wakusaidie. Kuna Siku niliibiwa simu nikaenda hapo nikapata Hilo Jibu. Cybercrime watakuzungusha oh nenda huko uliokoripoti Wizi wakusaidie Sisi hatupokei mtu binafsi hapa. Siyo Rahisi hata kidogo kupata simu iliyoibiwa via cyber. Ndio maana Wezi wa Simu hawaishi.
Mkuu mimi niliibiwa Dodoma, toka May 2019 mpaka sasa hivi ni danadana tu.Dodoma wapo vizuri sanaaaaaa....
Watu wengi sana hua wanazipataa, nina ushuhuda.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Dogo wifi yako, jenga hoja so kuleta kashfaKwani TCRA wanakamata watuhumiwa? Acha uongo wewe dogo. Mimi nimeshuhudia watu wengi wameenda polisi na cm zao zimekamatwa. Labda mhusika hakwenda kwa wahusika halisi wa kitengo cha cyber crime
Sent using Jamii Forums mobile app
Cyber Crime uwezo wa kutrack na kuipata simu iliyoibiwa wanao na wameshakamata simu nyingi tu! my sister mwaka jana pale Ostabay aliweza saidiwa na akapata simu zake 2 zilizoibiwa! Tatizo mpaka wawe motivated[emoji16]
mama ako yeye aliwamotivate kwa nini?Aliwa motivate kwa quumer,thats clear!
Taratibu Mkuu, Bongo kuna kifaa cha Trace IMEI ya mtu mpaka wampate au walitumia icloud kuikamata hiyo simu?2016 niliibiwa simu yangu dodoma uhindini (iPhone 6s+) karibia na car wash mida ya saa2 usiku, within a two days nikaipata na cover lake tatizo system charge tu ndio walikua wameiharibu
Niliipata msalato mbele kabisa ndani ndani kuna sehem wanauza matofali ndio huko waliko kuwepo, na bahati nzuri ile tunafika tumewakuta nayo simu red handed kabisa wenyewe wamekaa nje wanapiga story[emoji16][emoji16] kwa msaada wa central police (nililipia kiasi) na Internet cafe kuna mkaka mtundu wa simu (nako nililipia)
Ilikua wanazima na kuwasha huku icloud inasoma, police wakafatilia kupitia imei jioni nikapigiwa simu niende na hela ya tax twende hiyo sehem (walichezea makofi hadi nikawaonea huruma) na simu yenyewe nikaiuza wiki hiyohiyo
Mkuu unataka unambie hata ukibadili IMEI number bado wana uwezo wa kuitrace?Mi niliibiwa tableti nikaripot polisi mwezi wa tano, wakaanza kuitrec kwa soft wear zao ....but kila nikoenda naambiwa niwatafuti e ya usafiri wakamkamate mwalifu
Mualifu kakakamatwa na aliyemuuzia ...!! Iliwashinda kuiflash wakaibadilishia IMEI NUMBER
TCRA na wao wakaingilia kati wanamtaka fundi wa cm aliyefanya mchezo huo
Nilijisomba mahakamani nikaona usenge tu bora nikubali tu nijichange nikanunua nyingine
Cyber unit hawasaidiii kbs miyeyusho ming mpk uwatangazie dau kubwa
sent from toyota Allex
Daah ulipoandika "madogo wa ud" nikaishia kuipuuza post yako.Mkuu ulijaribu kwenda TCRA? Labda wangekupa mwangaza na pia ungejaribu kwenda pale sayansi kwa madogo wa UD-CICT (University Of Daressalaam College Of Information and Communication Technology) wangeweza kukushauri utumie manoeuvre gani maana hayo ndio mambo yao
Sent using Jamii Forums mobile app
Na hiki ndicho hata mimi nakifahamu, wanaweza wakajua unaishi Mbagala Kibonde maji ila kujua kabisa nyumba ama sehemu ulipo ni mtihani.Tatizo watu hawako stationary,Wana move arround,hata mnara ukurekodi uko area,lakini haiwezi kupinpoint hasa ulipo tuseme Hadi mita 10,inabidi wawepo watu wa kufanya legwork kukuotea,
Sasa tuseme uko nagurukuru,wanaokufuatilia wako dsm,halafu huko nangurukuru sio ulikojiandikishia nida Hapo inakuaje Kama sio itahitajika human resource kukutrace?
Huu sasa ndo uanaume.Juzi kati nimekwapuliwa simu yangu na vijana wa bodaboda. Nilitaka kwenye cyber crime unit lakini kwa shuhuda hizi ngoja nipige kimya. Sitaki harasa mara 2.
Nimejipanga kwenda kurevenji kwa wale wezi. Nitakwenda eneo lile lile na wana wa kitaa kama 10 hivi then nitakaa kihasara hasara huku nikichekezea simu. Akijipendekeza mtu tutahitimisha safari yake hapa duniani.