Kuna yeyote aliyewahi kufanikiwa kupata simu yake iliyoibiwa kupitia Cyber Crime Unit?

Kuna yeyote aliyewahi kufanikiwa kupata simu yake iliyoibiwa kupitia Cyber Crime Unit?

Pisi kali, Hiyo ya kununua simu unakamatwa kuwa mmikiki alikabwa na mambo kama hayo huwa ni michezo ya baadhi ya police wasiokuwa waaminifu.

Iko hivi nakuuzia simu bei chee .... ukiondoka best yangu anatoa taharifa kakabwa nakuporwa simu na fedha....
Watu wanakuja kukudandia wanakutisha ili kumaliza kesi unachomolewa pesa kibao wao wanagawana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijawahi kuibiwa Simu, wala kudondosha Simu toka nianze kutumia Simu 2004!
Na nimekulia na kuishi Uswahilini kwenye Uhuni ni Vibaka tele.

Unawezaje mtu kupoteza/Kuibiwa Simu mfululizo namna hii?
 
Hiyo ya kununua simu unakamatwa kuwa mmikiki alikabwa na mambo kama hayo huwa ni michezo ya baadhi ya police wasiokuwa waaminifu.

Iko hivi nakuuzia simu bei chee .... ukiondoka best yangu anatoa taharifa kakabwa nakuporwa simu na fedha....
Watu wanakuja kukudandia wanakutisha ili kumaliza kesi unachomolewa pesa kibao wao wanagawana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sana yaani..walishanifanyia hii kitu but nilichowafanyia mpaka kesho wakiniona wanasema we jamaa wew pita hivi achana na sisi....jamaa wanapiga sana watu na huu mchezo mkuu....
 
mama ako yeye aliwamotivate kwa nini?

Hahahaha

Mama yangu alishapotelewa na simu?

Case in point hapa ni dada yako!

Kwani mwanamke kutoa quumer ni vibaya?Ni yako au yake?

Mama zetu walitoa ndio tukazaliwa,unapaniki nini?

Jeez
 
Cyber Crime uwezo wa kutrack na kuipata simu iliyoibiwa wanao na wameshakamata simu nyingi tu! my sister mwaka jana pale Ostabay aliweza saidiwa na akapata simu zake 2 zilizoibiwa! Tatizo mpaka wawe motivated😁
Unamaanisha rushwa ?
 
Iringa nako polisi wa hicho kitengo ni changamoto sana,
Nliibiwa simu na mwizi yupo hewan tunaongea nae maana alikua anadai pesa kiasi flan ili airudishe simu.
Askar wa kitengo husika ananiambia tusubir aitoe line yangu aweke yake ndo aanze kuitrace.
Nlimuangalia yule jamaa nkaona ngoja nkanunue tu simu nyingine.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo watu hawako stationary,Wana move arround,hata mnara ukurekodi uko area,lakini haiwezi kupinpoint hasa ulipo tuseme Hadi mita 10,inabidi wawepo watu wa kufanya legwork kukuotea,
Sasa tuseme uko nagurukuru,wanaokufuatilia wako dsm,halafu huko nangurukuru sio ulikojiandikishia nida Hapo inakuaje Kama sio itahitajika human resource kukutrace?

Kinachofanyika hapo Mkuu, ni kwamba wanaangalia namba gani huyo mwizi wa simu amewasiliana nayo kwa sana.. wanazitafuta namba 3 ambazo baada ya hapo wao kazi yao ni kuwatafuta hao.. Wnaweza kupigiwa simu na kampuni ya mtandao wako, kwamba either Wameshinda bahati nasibu, au kuna tatizo la laini yao so wanaombwa kufika Voda shop watakayowatajia.. Huyo mwizi wa simu acha akimbie, lkn kinachotakiwa sasa pale ni identity yake ni makazi, kazi.. Baada ya hapo atashikwa tuu, hata kama yuko Nangurukuru..
 
Taratibu Mkuu, Bongo kuna kifaa cha Trace IMEI ya mtu mpaka wampate au walitumia icloud kuikamata hiyo simu?

Sent using Jamii Forums mobile app

Yes waliikamata kupitia imei no, wa internet yeye alikua anacheza na icloud kule wakiiwasha inaonekana mahali ilipo so akawa ananiambia simu bado ipo dodoma ila haijawekwa line inasoma icloud tu, wakiizima haioneshi kitu

Polisi nikiwasiliana nao wananiambia kua mpole tu simu utaipata bado iko hapa hapa, basi jioni yake ndio nikapigiwa twende ili na mm nikaithibitishe hiyo simu, waliitrace imei no

Imei no inaonesha namba zote zilizotumika kwenye hiyo simu kuanzia line ya kwanza hadi inayotumika huo muda, pia inaonesha kupitia minara ya sehem husika kua simu ipo sehem flan according to maelezo yao

Kwa huyo ndugu yangu walimtrace kupitia imei no, Kwahiyo wakapata namba anayotumia kwenye hiyo simu wakawa wanasikiliza mawasiliano yake ya mara kwa mara mpaka wakajua anapoishi na namba anazowasiliana nazo sana
 
Pisi kali, Hiyo ya kununua simu unakamatwa kuwa mmikiki alikabwa na mambo kama hayo huwa ni michezo ya baadhi ya police wasiokuwa waaminifu.

Iko hivi nakuuzia simu bei chee .... ukiondoka best yangu anatoa taharifa kakabwa nakuporwa simu na fedha....
Watu wanakuja kukudandia wanakutisha ili kumaliza kesi unachomolewa pesa kibao wao wanagawana.

Sent using Jamii Forums mobile app

Inaweza kua kweli,

ila ndugu yangu alikua na michezo hiyo ananunua simu kwa wakabaji wanakua wanamletea kwa bei chee, alikoma!! Unakuta simu ya 1m+ ananunua kwa laki1 tu na yeye anaziuza sasa hiyo alikua anatumia mwenyewe
 
Sijawahi kuibiwa Simu, wala kudondosha Simu toka nianze kutumia Simu 2004!
Na nimekulia na kuishi Uswahilini kwenye Uhuni ni Vibaka tele.

Unawezaje mtu kupoteza/Kuibiwa Simu mfululizo namna hii?

Tatizo hakuna mtu atakaye kuibia hiyo Tekno au itel yako mkuu
 
Back
Top Bottom