Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utatoka na kiroho huko....Kama anauza mafuta take careJamapili ijayo taenda kanisani kwake
Na ndiyo wajasiliamali kwa hizo %Yupo apa mbeya, kanisa lake lipo maeneo ya isyesye , waumini asilimia 99 ni wanawake
Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app
Ya KunywaKitendo tu cha kufanya biashara ya maji na mafuta, hadi hapo kuna mashaka...
Uponyaji huwa hauuzwi kwa sababu tulipewa bure na Mungu mwenyewe
Kuna zaidi ya hapo Maishani Mkuu?Anaweza akamwambia mtu "nawaona watu watatu wamekaa kwenye kifua chako" kwenye kubwabwaja Kwake story zake kuu ni wachawi,makaburi,maiti,majini,waganga wa kienyeji na mambo mengine ya giza giza hana kabisa msisitizo wa watu kumfuata kristo bali msisitizo wake ni watu kukombolewa na kukombolewa kwenyewe ndio huko sijui kuombewa na kutumia maji na mafuta.
Atakua “mwenzio” tu huyu🤣.Nitamfuatilia napenda sana adventures
SijakuelewaKuna zaidi ya hapo Maishani Mkuu?
Wengi wamekengeukakwa jinsi nilivyojifunza mambo ya kiroho ni magumu sana,wito hasa wa Mungu unategemea na uwezo wa mtu wa kuelewa au elimu yake,mfano Mtume Paulo alikuwa na elimu kubwa sana tofauti na wakina Petro ndio maana akapewa nafasi ya kuandika karibu vitabu nusu kwenye biblia
kwa mfano Gwajima ana wito lakini ni ngumu sana kuelewa kwa akili ya kawaida inabidi utulie sana
Mungu anampamtu wito halafu mtu anaufanyia kazi kutokana na uelewa wake,kuna kiburi na majivuno na ujinga hayo nimeyaona kwa watumishi wengi wa Mungu
kama mkristo inabidi utumie akili sana kumwelewa mtu mwenye wito
Ndio itakuwa mara ya kwanza kwenda au umeshawahi kwendaJamapili ijayo taenda kanisani kwake
Hivi Mshana umejaribu kumfuatilia Nabii Suguye? Mi nikimpima kwenye maandiko naona ni tapeli mtupu!!!Nitamfuatilia napenda sana adventures
Haha pengine aliitwa akamtumikie bwanaMpanji alikuwa anauza mitumba mwanjelwa maisha yalivyompiga akaamia kwnye uchungaji ambako huduma zake kwa 100% ni zakiganga watu wanatoka vijijini huko wanaenda kukaa kanisani kwake wakisubiri huduma ya matibabu in short huyu jamaa ni mpigani hela tu hana jipya
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]Tusiingiliane kwenye kutafuta tonge