Kuna yeyote anamfahamu huyu nabii David Stefano Mpanji wa Mbeya?

Kuna yeyote anamfahamu huyu nabii David Stefano Mpanji wa Mbeya?

Huyu bwana nabii anaitwa david Stefano Mpanji ana unguruma sana huko Mbeya na anapigwa sana vita na watumishi wengi wa mungu huku na yeye akiwa ni mrusha madongo mzuri kwa wenzake.

Kanisa lake linaitwa GMCL pia ana radio ambayo pia inaitwa GMCL ambako huko ndio hubwabwaja sana na si kumhubiri kristo kama ambavyo tunategemea na hata lugha zake sio kama za kilokole kama tulivyozoea bali ni za kibabebabe.

Kanisa lake ni la miujiza miujiza ya ajabu ajabu pia yeye ni Muuza maji na mafuta kwa waumini wake ambapo uwa anasisitiza kuna uponyaji kwenye hayo maji na mafuta yake.

Kuna yeyote ana historia ya huyu bwana au ana mfahamu vizuri. Ninajua JF ina watu wengi na inafika mbali mno najua hawakosekani watu wanaomfahamu Huyu jamaa.
Hakuna unabii hapo,njia ya kutafuta ugari tu hiyo.
 
Soma hili gazeti labda utapata akili kuhusu hao wajanja



Nabii yeypte anaegawa maji ni hatari.
Manabii wote pia wanachumba maalum zile pesa unazotoa sadaka anaenda kuziwakilisha pale kwa mungu wake,kabla ya kupeleka benki, bada ya hapo inakuwa ngumu kwa mtu kukimbia unakuwa huambiliki.

Halafu wanakukaribisha kwa kutaka kukujua jina na namba za simu. Baadae watajua nani ana hela nani hamna kitu. Utashangaa utaona wale wenye mihela ndio wanatabiriwa sana. Baadae wanaitwa kwenye ofisi yake kwa kupewa maombi maalum hapo ndipo mpunga utatoa mwenyewe.

Kifupi wote wenye maji na mafuta na sijui cake wana vitu wamepewa na waganga wa kienyeji hasa conngo, mozambiq na Nigeria, Malawi n.k

Wanachimbia kitu kwenye jengo na pia ana kimungu chake kitunguri huko kwake kabla hajaingia job anasemea pale anataka nini kitokee kanisani.

Waongo wakubwa wote unaowaona hata hapa dsm.

Mchongo mzima aliutoa Nabii mmoja kula South Africa, aliacha hayo mambo baada ya mtu mmoja kutaka kumuuziza mkono wa mtu ili aongeze nguvu ya mvuto kwenye kujaza watu. Huyu zamani alikuwa mchungaji wa kawaida ila alishangaa pamoja na kufunga na kuomba aliona hela hapati na miujiza kanisani hamna ndipo alipowaendea manabii kuwauliza siri ni nini.

Kifupi yule aliyekuwa anauza ule mkono aliikamatwa na polisi na wote aliotaka kuwauzia walikamatwa.

Yeye polisi walimkamata ofisini kwake na watu kibao walikuwa wamepanga foleni nje wanasubiri wamwone awaombee ndipo wakamwona anatoka ma pingu.

Kule jela ndipi akili zilimrudia kwamba amepotea na amejiingiza kwenye kitu sio sabsbu yeye alikuwa ni mchungaji na mtoto wa mchungaji na pia alisomea bible school.

Alienda kwenye TV huko kwao kutubu wenye TV wengi walimkatalia sababu walisema manabii wanachangia pesa ndefu atavuruga biashara. Lakini TV nyingine aliongea na kuchapa vitabu.

Pia aliongea kwamba kila Nabii ana Jina lake halisi na aka. Jina la aka wanalichagua kwa mganga huko.

Achana na hao watu, ukila vitu vyao kuchomoa ni ngumu. Hata nabii wao wamkute na condom na chupi ya mwanamke bado watu watamtetea
Aisee mambo mazito haya mkuu.Wanavyotaja Jina la yesu na roho mtakatifu unaweza kudhani wanamaanisha.
 
Namfahamu kitambo Sana. Ila naamini kama kuna political science, basi kubwa religious science. Huyu Bwana amefikisi wajane pale Mbeya hadi basi. Anauza let say nyumba ya marehemu hela zote kwa mpanji.
 
Dah
Na si picha tu anapokeaga hata nguo nadhani za walio mmbali ziombewe mfano ndugu wanataka ndugu yao mlevi aombewe aache ulevi na huyo ndugu mlevi hataki kuja hapo kwa mpanji,wanachofanya ndugu zake wanaweza kuchukua nguo yake na kuipeleka Kwake mpanji aiombee.
Dah kuwa na maarifa kwenye maswala ya Mungu ni muhimu sana sasa hyo ndugu ambaye hataki kuacha pombe,ikiwa mwenyewe hajalidhia kuacha unywaji wa pombe mtu hyo hata kwa maombi hawezi kuacha
 
Soma hili gazeti labda utapata akili kuhusu hao wajanja



Nabii yeypte anaegawa maji ni hatari.
Manabii wote pia wanachumba maalum zile pesa unazotoa sadaka anaenda kuziwakilisha pale kwa mungu wake,kabla ya kupeleka benki, bada ya hapo inakuwa ngumu kwa mtu kukimbia unakuwa huambiliki.

Halafu wanakukaribisha kwa kutaka kukujua jina na namba za simu. Baadae watajua nani ana hela nani hamna kitu. Utashangaa utaona wale wenye mihela ndio wanatabiriwa sana. Baadae wanaitwa kwenye ofisi yake kwa kupewa maombi maalum hapo ndipo mpunga utatoa mwenyewe.

Kifupi wote wenye maji na mafuta na sijui cake wana vitu wamepewa na waganga wa kienyeji hasa conngo, mozambiq na Nigeria, Malawi n.k

Wanachimbia kitu kwenye jengo na pia ana kimungu chake kitunguri huko kwake kabla hajaingia job anasemea pale anataka nini kitokee kanisani.

Waongo wakubwa wote unaowaona hata hapa dsm.

Mchongo mzima aliutoa Nabii mmoja kula South Africa, aliacha hayo mambo baada ya mtu mmoja kutaka kumuuziza mkono wa mtu ili aongeze nguvu ya mvuto kwenye kujaza watu. Huyu zamani alikuwa mchungaji wa kawaida ila alishangaa pamoja na kufunga na kuomba aliona hela hapati na miujiza kanisani hamna ndipo alipowaendea manabii kuwauliza siri ni nini.

Kifupi yule aliyekuwa anauza ule mkono aliikamatwa na polisi na wote aliotaka kuwauzia walikamatwa.

Yeye polisi walimkamata ofisini kwake na watu kibao walikuwa wamepanga foleni nje wanasubiri wamwone awaombee ndipo wakamwona anatoka ma pingu.

Kule jela ndipi akili zilimrudia kwamba amepotea na amejiingiza kwenye kitu sio sabsbu yeye alikuwa ni mchungaji na mtoto wa mchungaji na pia alisomea bible school.

Alienda kwenye TV huko kwao kutubu wenye TV wengi walimkatalia sababu walisema manabii wanachangia pesa ndefu atavuruga biashara. Lakini TV nyingine aliongea na kuchapa vitabu.

Pia aliongea kwamba kila Nabii ana Jina lake halisi na aka. Jina la aka wanalichagua kwa mganga huko.

Achana na hao watu, ukila vitu vyao kuchomoa ni ngumu. Hata nabii wao wamkute na condom na chupi ya mwanamke bado watu watamtetea
Uko sahihi mkuu! Haya mambo ni magumu sana!! Kuna siri nyingi sana juu ya haya mambo
 
kuna kiburi na majivuno na ujinga hayo nimeyaona kwa watumishi wengi wa Mungu
kama mkristo inabidi utumie akili sana kumwelewa mtu mwenye wito
Wengi wamefungwa na hiki kifungo cha dini/imani.
 
kwa jinsi nilivyojifunza mambo ya kiroho ni magumu sana,wito hasa wa Mungu unategemea na uwezo wa mtu wa kuelewa au elimu yake,mfano Mtume Paulo alikuwa na elimu kubwa sana tofauti na wakina Petro ndio maana akapewa nafasi ya kuandika karibu vitabu nusu kwenye biblia
kwa mfano Gwajima ana wito lakini ni ngumu sana kuelewa kwa akili ya kawaida inabidi utulie sana
Mungu anampamtu wito halafu mtu anaufanyia kazi kutokana na uelewa wake,kuna kiburi na majivuno na ujinga hayo nimeyaona kwa watumishi wengi wa Mungu
kama mkristo inabidi utumie akili sana kumwelewa mtu mwenye wito
Wengi wapigaji naulio mtaja akiwemo na mpanji
 
Mpanji Bana kunasehemu alikotokea mpaka kufika mbeya akawa mchinja nguruwe ukunakule hapa na pale mchungaji katengeneza katoo zakutosha ahaaa sasa sibaba wajinga ndio waliwao
 
Huyu bwana nabii anaitwa david Stefano Mpanji ana unguruma sana huko Mbeya na anapigwa sana vita na watumishi wengi wa mungu huku na yeye akiwa ni mrusha madongo mzuri kwa wenzake.

Kanisa lake linaitwa GMCL pia ana radio ambayo pia inaitwa GMCL ambako huko ndio hubwabwaja sana na si kumhubiri kristo kama ambavyo tunategemea na hata lugha zake sio kama za kilokole kama tulivyozoea bali ni za kibabebabe.

Kanisa lake ni la miujiza miujiza ya ajabu ajabu pia yeye ni Muuza maji na mafuta kwa waumini wake ambapo uwa anasisitiza kuna uponyaji kwenye hayo maji na mafuta yake.

Kuna yeyote ana historia ya huyu bwana au ana mfahamu vizuri. Ninajua JF ina watu wengi na inafika mbali mno najua hawakosekani watu wanaomfahamu Huyu jamaa.
Takataka tapeli hili, Yesu hakuja duniani kwaajili ya miujiza alikuja kubadilisha watu mioyo kwa kuwaokoa na kuwaonesha nuru mpya, miujiza ilikuwa ni nyongeza tu kudhihirisha uwezo wake

Sikuhizi miujiza ndio imekuwa sehemu muhimu ya kupigia pesa kwa hawa manabii wa uongo.
 
Huyu bwana nabii anaitwa david Stefano Mpanji ana unguruma sana huko Mbeya na anapigwa sana vita na watumishi wengi wa mungu huku na yeye akiwa ni mrusha madongo mzuri kwa wenzake.

Kanisa lake linaitwa GMCL pia ana radio ambayo pia inaitwa GMCL ambako huko ndio hubwabwaja sana na si kumhubiri kristo kama ambavyo tunategemea na hata lugha zake sio kama za kilokole kama tulivyozoea bali ni za kibabebabe.

Kanisa lake ni la miujiza miujiza ya ajabu ajabu pia yeye ni Muuza maji na mafuta kwa waumini wake ambapo uwa anasisitiza kuna uponyaji kwenye hayo maji na mafuta yake.

Kuna yeyote ana historia ya huyu bwana au ana mfahamu vizuri. Ninajua JF ina watu wengi na inafika mbali mno najua hawakosekani watu wanaomfahamu Huyu jamaa.
Wote wale wale, hata wanaompiga vita wale wale. Kuna mtu naishi naye akiamka ufungulia redio flani ya mahubiri sijui ni Wapo yani kila siku wanahubiri kuhusu sadaka na fungu la kumi kwa style mbalimbali.
Toa sadaka yako leo uone nguvu ya sadaka. Kuna mama alikuwa hapati ujauzito ila alitoa sadaka mwezi uliopita jana kanipigia analia anasema mtumishi nimeenda hspital nimepima nina ujauzito. Na wewe toa yako leo uone mguvu ya sadaka.
Kila siku sadaka na wanatoa namba.
 
Namfahamu kitambo Sana. Ila naamini kama kuna political science, basi kubwa religious science. Huyu Bwana amefikisi wajane pale Mbeya hadi basi. Anauza let say nyumba ya marehemu hela zote kwa mpanji.
Kufiksi unamaanisha nini mkuu
 
Wote wale wale, hata wanaompiga vita wale wale. Kuna mtu naishi naye akiamka ufungulia redio flani ya mahubiri sijui ni Wapo yani kila siku wanahubiri kuhusu sadaka na fungu la kumi kwa style mbalimbali.
Toa sadaka yako leo uone nguvu ya sadaka. Kuna mama alikuwa hapati ujauzito ila alitoa sadaka mwezi uliopita jana kanipigia analia anasema mtumishi nimeenda hspital nimepima nina ujauzito. Na wewe toa yako leo uone mguvu ya sadaka.
Kila siku sadaka na wanatoa namba.
Haya makanisa ya kilokole huwa wananena kwa lugha na mpanji anaponda sana mambo ya kunena kwa lugha.Mpanji msisitizo wake watu wakombolewe kutoka kwenye vifungo kwa kutumia bidhaa zake(maji na mafuta na chumvi).Walokole msisitizo wao watu wampokee yesu kuwa bwana na mwokozi wa maisha yao.Hapa unaweza kuuona mpishano fulani ndio maana hawaishi kupigana vijembe.Mpanji hana kabisa mafundisho ya kuwajenga waumini yeye muda wote ni kelele tu fire! fire!
 
Takataka tapeli hili, Yesu hakuja duniani kwaajili ya miujiza alikuja kubadilisha watu mioyo kwa kuwaokoa na kuwaonesha nuru mpya, miujiza ilikuwa ni nyongeza tu kudhihirisha uwezo wake

Sikuhizi miujiza ndio imekuwa sehemu muhimu ya kupigia pesa kwa hawa manabii wa uongo.
Dah anasisitiza sana wakombolewe kwa kuombewa na kwa maji,mafuta na chumvi,lakini mambo ya kuwajenga watu kiimani hanaga kabisa huyu mtu,hata yale mambo ya kunena kwa lugha hataki kabisa kusikia.Nahisi mtu akinena kwa lugha anaweza hata kumfukuza kanisani kwake.
Nini msimamo wako mkuu kuhusu kunena kwa lugha?
 
Mpanji Bana kunasehemu alikotokea mpaka kufika mbeya akawa mchinja nguruwe ukunakule hapa na pale mchungaji katengeneza katoo zakutosha ahaaa sasa sibaba wajinga ndio waliwao
Anasimuliaga maisha yake ameshaeaho kufanya kazi hizi ulinzi,machinga, na uvuvi
 
Ikiwa anauza maji na mafuta mkwepe isikuchanganye.

Kila anayeuza nguvu za mungu Kuna mahali anapozinunua

Kwenye Bible hatukuona nguvu za mungu Yesu zikiuzwa

Ujue nguvu zinazouzwa ni za mungu mwingine sio mungu Yesu
We ni liongo unataka kanisa aliendesheje sasa na kununua si lazma hata mwamposa huwa mnasema hivyo lakn nilienda nikaona asilimia kubwa maji na mafuta wanaenda nayo wananyanyua juu yanaombewa mwny kununua anunue ili kuchangia kanisa uendeshaji
 
Ikiwa Mungu amemwelekeza mtu aponye kwa maji au mafuta, huyo huyo MUNGU lazma atoe njia ya kupatikana bure.

Ila Kama ulivyosema uliambiwa maji shilingi 100 ya uponyaji ujue wazi so MUNGU Yesu ni formula ya MUNGU mwingine
We unaZjua fomula za Mungu ww ? We unamjua Mungu ww tatzo mnaleta fomula za madhehebu yenu kwny mambo ya Mungu.

Mungu hana fomula hata shetan anaweza kumfanya kuwa mtumishi wake kwa malengo fulani hujui aliufanya moyo farao kuwa mgumu kwa makusudi ili awaonyeshee israel

Hapa potosha wajinga tu japo mi si muumini wa mwamposa wala hawa manabii mi ni mshrika wa KLPT bt sina unyumbu wa kukashifu huduma za watu eti ksa tu hawafanyi kama dhehebu langu huo ni unyumbu
 
Back
Top Bottom