Kuna yeyote anamfahamu huyu nabii David Stefano Mpanji wa Mbeya?

Kuna yeyote anamfahamu huyu nabii David Stefano Mpanji wa Mbeya?

Anapo niacha mdomo wazi ni kua mda mwingine anaombea mtu hata akiwa mbali, ila tu upeleke picha ya mhusika.

Hapo Ndo natosha kabisa
Kwan kuna tatzo gani hapo aisee [emoji848] madhehebu yamepotosha watu sn yaan mtu akiombea pcha ya mtu na akapona hilo ni tatzo eti eeh hayo si ni mambo ya imani au
 
Kuna mtu siku moja redioni alipiga simu kwenye kipindi kuuliza hilo jambo sina kumbukumbu huyu bwana nabii alijibu nini ila nakumbuka alitetea hayo maji yake. Huwa anayaita damu ya Yesu.
Kwahiyo maji ni dhambi kuyaombea na kuyatumia et eeeh
 
Na si picha tu anapokeaga hata nguo nadhani za walio mmbali ziombewe mfano ndugu wanataka ndugu yao mlevi aombewe aache ulevi na huyo ndugu mlevi hataki kuja hapo kwa mpanji,wanachofanya ndugu zake wanaweza kuchukua nguo yake na kuipeleka Kwake mpanji aiombee.
Kwahiyo nalo ni tatzo? Na yule mwanamke aliyeshka pindo la nguo ya Yesu akapona unadhan n nn kama si imani tu
 
Utatoka na kiroho huko....Kama anauza mafuta take care
Ustishe watu hapa mafuta kununua si lazma aende na ya kwake yaombewe hayo atumie achen kupotosha watu bhana. Hata mi nikiwa na huduma naweza weka mafuta niliyoyaombea mtu akitaka kwa lengo la kuchangia huduma isonge mbele ananunua si lazma
 
Dah anasisitiza sana wakombolewe kwa kuombewa na kwa maji,mafuta na chumvi,lakini mambo ya kuwajenga watu kiimani hanaga kabisa huyu mtu,hata yale mambo ya kunena kwa lugha hataki kabisa kusikia.Nahisi mtu akinena kwa lugha anaweza hata kumfukuza kanisani kwake.
Nini msimamo wako mkuu kuhusu kunena kwa lugha?
Ww una ushahidi gani hataki watu wanene kwa lugha na ulivyo mbumbu unasema unahisi mtu akinena atamfukuza maana yake huna uhakika wa kwmb hataki mtu anene

Mi nipo klpt nilikuwa eagt nyakati fulan unakuta mdada au mmama ananena mpk unaogopa lakin ni ana matusi huyo ana roho mbaya huyo ni mzinzi huyo je huyo ambaye huwa ananena ni nani sasa ikiwa kunena ndko unakupgia kelele hapa ukute we mwny ni lizinzi likubwa liongo hatari lakin unanena mpk bs sjui una Roho Mtakatifu au una pepo ndo linanena
 
Ustishe watu hapa mafuta kununua si lazma aende na ya kwake yaombewe hayo atumie achen kupotosha watu bhana. Hata mi nikiwa na huduma naweza weka mafuta niliyoyaombea mtu akitaka kwa lengo la kuchangia huduma isonge mbele ananunua si lazma
Vyovyote ongea hakuna nguvu za MUNGU YESU kuuzwa, labda mungu mwingine
 
Vyovyote ongea hakuna nguvu za MUNGU YESU kuuzwa, labda mungu mwingine
Hayo yako hayanihusu hata mm utajijua huko huko wanaojielewa hata hawahangaiki na upuuzi wako wa kujidai unamjua Mungu kumbe ni taratibu za dhehebu lako tu
 
Huyu bwana nabii anaitwa david Stefano Mpanji ana unguruma sana huko Mbeya na anapigwa sana vita na watumishi wengi wa mungu huku na yeye akiwa ni mrusha madongo mzuri kwa wenzake.

Kanisa lake linaitwa GMCL pia ana radio ambayo pia inaitwa GMCL ambako huko ndio hubwabwaja sana na si kumhubiri kristo kama ambavyo tunategemea na hata lugha zake sio kama za kilokole kama tulivyozoea bali ni za kibabebabe.

Kanisa lake ni la miujiza miujiza ya ajabu ajabu pia yeye ni Muuza maji na mafuta kwa waumini wake ambapo uwa anasisitiza kuna uponyaji kwenye hayo maji na mafuta yake.

Kuna yeyote ana historia ya huyu bwana au ana mfahamu vizuri. Ninajua JF ina watu wengi na inafika mbali mno najua hawakosekani watu wanaomfahamu Huyu jamaa.
Muagalie kwenye vitabu vya dini je jina lake lipo
 
kwa jinsi nilivyojifunza mambo ya kiroho ni magumu sana,wito hasa wa Mungu unategemea na uwezo wa mtu wa kuelewa au elimu yake,mfano Mtume Paulo alikuwa na elimu kubwa sana tofauti na wakina Petro ndio maana akapewa nafasi ya kuandika karibu vitabu nusu kwenye biblia
kwa mfano Gwajima ana wito lakini ni ngumu sana kuelewa kwa akili ya kawaida inabidi utulie sana
Mungu anampamtu wito halafu mtu anaufanyia kazi kutokana na uelewa wake,kuna kiburi na majivuno na ujinga hayo nimeyaona kwa watumishi wengi wa Mungu
kama mkristo inabidi utumie akili sana kumwelewa mtu mwenye wito
Gwajiboy wito alionao labda wa kula kondoo zake.
Mtu mwenye wito ataacha huo wito aingie kwenye siasa kulamba matak.o ya kina mwendazake?
 
Kwan kuna tatzo gani hapo aisee [emoji848] madhehebu yamepotosha watu sn yaan mtu akiombea pcha ya mtu na akapona hilo ni tatzo eti eeh hayo si ni mambo ya imani au
Hayo mambo ya waganga yaani wanafanya hata kile ambacho yesu rolemodel wao hakufanya Dah!!!
 
Ustishe watu hapa mafuta kununua si lazma aende na ya kwake yaombewe hayo atumie achen kupotosha watu bhana. Hata mi nikiwa na huduma naweza weka mafuta niliyoyaombea mtu akitaka kwa lengo la kuchangia huduma isonge mbele ananunua si lazma
Huduma gani hiyo ya kuombea mafuta na kuyauza kwa wahitaji? Yaani Mungu akupe kipawa au talanta halafu wewe ukawa charge watu pesa kupata huduma ya Mungu kwa kuibatiza jina kuwa "kuchangia huduma"

Kama kweli hayo mafuta yana nguvu za Mungu watu wapewe bure...usiuze hata senti 5. Au waambiwe waje na mafuta yao yaombewe...otherwise mwenye huduma anakuwa anaigeuza kazi ya Mungu kuwa biashara.

Mathayo 10
8Ponyeni wagonjwa, fufueni wafu, takaseni wenye ukoma, toeni pepo. Mmepewa bure, toeni bure.
Mwenye injili (Yesu) alishatoa maagizo kuwa huduma yake ni bure..haiuzwi.

Matendo 8
18 Hapo Simoni alingamua kwamba kwa kuwekewa mikono ya mitume waumini walipewa Roho Mtakatifu. Hivyo aliwapa Petro na Yohane fedha akisema,
19 “Nipeni na mimi uwezo huo ili yeyote nitakayemwekea mikono, apokee Roho Mtakatifu.”
20 Lakini Petro akamjibu, “Potelea mbali na fedha zako kwa vile unafikiri kwamba unaweza kununua karama ya Mungu kwa fedha!

Ukisoma fungu la 20 hapo unapata dhima ile ile ya kuwa huduma ya Mungu haiuzwi at any cost..ni ya bure kwa yeyote anayeihitaji.

Lastly unaona hata Elisha alikataa kupewa zawadi toka kwa Naamani kwa huduma ya uponyaji wa ukoma. Maana angepokea ingekuwa kana kwamba Naamani amenunua uponyaji ule. Ila anakataa kupokea ili sifa ziende kwa Mungu.

Ukisikia kuna mtumishi wa Mungu yeyote anawauzia watu huduma ya Mungu hata kwa senti...huyo hajatumwa na Mungu...ni mbwa mwitu ndani ya vazi la kondoo.
 
Huduma gani hiyo ya kuombea mafuta na kuyauza kwa wahitaji? Yaani Mungu akupe kipawa au talanta halafu wewe ukawa charge watu pesa kupata huduma ya Mungu kwa kuibatiza jina kuwa "kuchangia huduma"

Kama kweli hayo mafuta yana nguvu za Mungu watu wapewe bure...usiuze hata senti 5. Au waambiwe waje na mafuta yao yaombewe...otherwise mwenye huduma anakuwa anaigeuza kazi ya Mungu kuwa biashara.

Mathayo 10
8Ponyeni wagonjwa, fufueni wafu, takaseni wenye ukoma, toeni pepo. Mmepewa bure, toeni bure.
Mwenye injili (Yesu) alishatoa maagizo kuwa huduma yake ni bure..haiuzwi.

Matendo 8
18 Hapo Simoni alingamua kwamba kwa kuwekewa mikono ya mitume waumini walipewa Roho Mtakatifu. Hivyo aliwapa Petro na Yohane fedha akisema,
19 “Nipeni na mimi uwezo huo ili yeyote nitakayemwekea mikono, apokee Roho Mtakatifu.”
20 Lakini Petro akamjibu, “Potelea mbali na fedha zako kwa vile unafikiri kwamba unaweza kununua karama ya Mungu kwa fedha!

Ukisoma fungu la 20 hapo unapata dhima ile ile ya kuwa huduma ya Mungu haiuzwi at any cost..ni ya bure kwa yeyote anayeihitaji.

Lastly unaona hata Elisha alikataa kupewa zawadi toka kwa Naamani kwa huduma ya uponyaji wa ukoma. Maana angepokea ingekuwa kana kwamba Naamani amenunua uponyaji ule. Ila anakataa kupokea ili sifa ziende kwa Mungu.

Ukisikia kuna mtumishi wa Mungu yeyote anawauzia watu huduma ya Mungu hata kwa senti...huyo hajatumwa na Mungu...ni mbwa mwitu ndani ya vazi la kondoo.
Ubarikiwe
Hamna situation yeyote inayohalalisha hata kwa shilingi mia uuzaji wa nguvu za MUNGU,
Yaan chochote ambacho mchungaji amekiombea kwamba watu wakikitumia wapate ufungulivu hakitauzwa kitagawiwa bure
Otherwise huo ufungulivu hautoki kwa MUNGU YESU
 
Hayo yako hayanihusu hata mm utajijua huko huko wanaojielewa hata hawahangaiki na upuuzi wako wa kujidai unamjua Mungu kumbe ni taratibu za dhehebu lako tu
Dhehebu tupilia mbali....
Hakuna popote kwenye bible nguvu za MUNGU zimeuzwa...hata waliotaka kuzinunua walikataliwa
Ni MUNGU yupo anayenunuliwa kwa fedha? Huyo si MUNGU YESU otherwise nipe reference kwa biblia

Ndugu ukiona Kuna chochote kinachouzwa kulete ufungulivu kaa mbali,
 
Dhehebu tupilia mbali....
Hakuna popote kwenye bible nguvu za MUNGU zimeuzwa...hata waliotaka kuzinunua walikataliwa
Ni MUNGU yupo anayenunuliwa kwa fedha? Huyo si MUNGU YESU otherwise nipe reference kwa biblia

Ndugu ukiona Kuna chochote kinachouzwa kulete ufungulivu kaa mbali,
Unajua zama hizi ambazo hawa self proclaimed Prophets and apostles wanazidi kuongezeka na kuwahadaa wengi...inapasa kuwa alert.

Bila ya kuwa msomaji wa maandiko ni rahisi sana mtu kudanganywa hasa anapoona mtumishi husika anao waumini wengi na kila siku shuhuda za kimiujiza zinazidi kutolewa.

Haya mambo ya kuuza sijui chumvi, maji, mafuta ya upako au kulipia ili kumuona nabii si ya kibiblia. Ni shetani akiwa kazini kuwahadaa watu.

Nguvu ya Mungu ni ya bure maana haitokani na mwanadamu yeyote. Inakuja kwa neema, na yeyote anayeikubali anaipokea freely. Ni kama wokovu tu ulivyo wa bure so is God's powers.
 
Back
Top Bottom