4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Wakuu amani ya Bwana ikawe juu yenu na Mungu amebariki.
Tanzania bila utekaji na kuumizwa inawezekana .
Ipo vedio hivi ya kijana ambae inaonekana anajulikana kwa jina SATIVA ,simfahamu ila yupo na dam kama sie,
Alitekwa 23/6/ 2024 kwa mjibu wa taalifa za hapa na pale pitia mitandao ya kijamii , na imesemakana amekutwa katupwa hifadhini katavi na clip yake inatembea mitandaoni mpaka mda huu ,nani yupo nyuma ya jaribio hili lakutoa uhai wa ndugu mtajwa hapo juu hatujajua.
Kama nchi ikiwa tumeamua ishi kwa utaratibu huu wa kutekana ,kuumizana hakuna alie salama maana mtekaji anaweza tekwa pia na kuchomwa moto pia,
Kwa andiko hili najua jf imejaa watu makini sana.
Naomba kama sehem ya watz tulio jf kuja na hoja au tamko la pamoja nini kifanyike juu ya upuuzi huu ,wa kishamba na ujinga .
Karibuni wakuu
PIA SOMA
- SATIVA: Nilitekwa nikapelekwa Karakana ya Polisi Osterybay kabla ya kusafirishwa sehemu zingine na nimepigwa risasi ya kichwa
- Sativa225 (Edgar Mwakabela) kijana maarufu kwa kukosoa serikali X apatikana, baada ya kutekwa na watu wasiojulikana
Tanzania bila utekaji na kuumizwa inawezekana .
Ipo vedio hivi ya kijana ambae inaonekana anajulikana kwa jina SATIVA ,simfahamu ila yupo na dam kama sie,
Alitekwa 23/6/ 2024 kwa mjibu wa taalifa za hapa na pale pitia mitandao ya kijamii , na imesemakana amekutwa katupwa hifadhini katavi na clip yake inatembea mitandaoni mpaka mda huu ,nani yupo nyuma ya jaribio hili lakutoa uhai wa ndugu mtajwa hapo juu hatujajua.
Kama nchi ikiwa tumeamua ishi kwa utaratibu huu wa kutekana ,kuumizana hakuna alie salama maana mtekaji anaweza tekwa pia na kuchomwa moto pia,
Kwa andiko hili najua jf imejaa watu makini sana.
Naomba kama sehem ya watz tulio jf kuja na hoja au tamko la pamoja nini kifanyike juu ya upuuzi huu ,wa kishamba na ujinga .
Karibuni wakuu
PIA SOMA
- SATIVA: Nilitekwa nikapelekwa Karakana ya Polisi Osterybay kabla ya kusafirishwa sehemu zingine na nimepigwa risasi ya kichwa
- Sativa225 (Edgar Mwakabela) kijana maarufu kwa kukosoa serikali X apatikana, baada ya kutekwa na watu wasiojulikana