King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Mli-target kumpiga risasi ya ubongo lakini imeenda kufumua taya ,mkalenga mumtupe kwenye hifadhi aliwe na Big cats(Simba,chui) lakini ametoka salama.
Watekaji mmepewa somo(alert) hapo ,hammalizi salama 2025 lazima mkate moto.
Vyombo vipo kimyaWakuu amani ya Bwana ikawe juu yenu na Mungu amebariki.
Tanzania bila utekaji na kuumizwa inawezekana .
Ipo vedio hivi ya kijana ambae inaonekana anajulikana kwa jina SATIVA ,simfahamu ila yupo na dam kama sie,
Alitekwa 23/6/ 2024 kwa mjibu wa taalifa za hapa na pale pitia mitandao ya kijamii , na imesemakana amekutwa katupwa hifadhini katavi na clip yake inatembea mitandaoni mpaka mda huu ,nani yupo nyuma ya jaribio hili lakutoa uhai wa ndugu mtajwa hapo juu hatujajua.
Kama nchi ikiwa tumeamua ishi kwa utaratibu huu wa kutekana ,kuumizana hakuna alie salama maana mtekaji anaweza tekwa pia na kuchomwa moto pia,
Kwa andiko hili najua jf imejaa watu makini sana.
Naomba kama sehem ya watz tulio jf kuja na hoja au tamko la pamoja nini kifanyike juu ya upuuzi huu ,wa kishamba na ujinga .
Karibuni wakuu
PIA SOMA
- SATIVA: Nilitekwa nikapelekwa Karakana ya Polisi Osterybay kabla ya kusafirishwa sehemu zingine na nimepigwa risasi ya kichwa
- Sativa225 (Edgar Mwakabela) kijana maarufu kwa kukosoa serikali X apatikana, baada ya kutekwa na watu wasiojulikana
Una akili?
Isijekua nadeal na teja pasipo kujua
Muulizeni mwashambwa.yeye alisema utekaji nyara ulikuwa kipindi cha jpm je anayetaka sasa ni nani?Wakuu amani ya Bwana ikawe juu yenu na Mungu amebariki.
Tanzania bila utekaji na kuumizwa inawezekana .
Ipo vedio hivi ya kijana ambae inaonekana anajulikana kwa jina SATIVA ,simfahamu ila yupo na dam kama sie,
Alitekwa 23/6/ 2024 kwa mjibu wa taalifa za hapa na pale pitia mitandao ya kijamii , na imesemakana amekutwa katupwa hifadhini katavi na clip yake inatembea mitandaoni mpaka mda huu ,nani yupo nyuma ya jaribio hili lakutoa uhai wa ndugu mtajwa hapo juu hatujajua.
Kama nchi ikiwa tumeamua ishi kwa utaratibu huu wa kutekana ,kuumizana hakuna alie salama maana mtekaji anaweza tekwa pia na kuchomwa moto pia,
Kwa andiko hili najua jf imejaa watu makini sana.
Naomba kama sehem ya watz tulio jf kuja na hoja au tamko la pamoja nini kifanyike juu ya upuuzi huu ,wa kishamba na ujinga .
Karibuni wakuu
PIA SOMA
- SATIVA: Nilitekwa nikapelekwa Karakana ya Polisi Osterybay kabla ya kusafirishwa sehemu zingine na nimepigwa risasi ya kichwa
- Sativa225 (Edgar Mwakabela) kijana maarufu kwa kukosoa serikali X apatikana, baada ya kutekwa na watu wasiojulikana
Taratibu za kawaida kasema nani!!?..we watukana mitusi iso kawaida unataka watu wafuate taratibu za kawaida!?..akitoka hapo hatukani tenaAcha uwendawazimu. Kama kuna mtu ametukana, anatakiwa kukamatwa kwa taratibu za kawaida.
Kwani nimekataa!?Kubalini kukosolewa
Siyo kila jambo la mahakamani,wakati mwingine tunatiana tu adabu nje ya mahakamaMahakama zipo kwa ajili gani?
Utapeleka watukanaji wangapi!?..maana wapo wengi,hiyo njia ya kutumia karakana za polisi ni Bora zaidi, watukanaji huko waliko wanajiuliza ikiwa wao wanafuata au laaHiyo sio njia sahihi.
Mahakama zina kazi gani?.
Waji-injoyi maana yake nini!?..we huwa punguwani,na uelewa wako mdogo,sijui ulipitia taasisi gani za elimu!!Kutumia "Lugha ya Staha" au siyo?
Ulaghai huo ukigundulika ni hadaa, wanaohimiza ujinga huo wanakuwa vichaa?
Usisahau "kutatua marinda" haitokei upande mmoja tu! Hayo ya kwenu baada ya kuyatatua, wanatupiwa fisi na wao waji-injoyi!
Usijifanye huelewi.
If true deserve itUnakubalika sana Komredi
View attachment 3027858
Hili jambo lina tatizo sana hasa kwa upande wa Serikali. Watetezi wanazidi kuharibu kabisa afadhali wakae kimya
1. Wanaosema ni mapenzi imethibitika kutoka kinywani kwake alipelekwa Oysterbay kituo cha Polisi
2. Haiwezekani mtu wa kawaida ampeleke njia zote hizo kwasababu ya mapenzi !
3. Kama ana matusi au mapenzi, mtuhumiwa anafikishwa Polisi si Porini halafu anafunguliwa mashtaka
4. Ndugu walikwenda Polisi na kuambiwa hayupo, leo inajulikani alikuwepo. Polisi walificha nini? na kwanini
5. RPC wa katavi alisema '' wanaanzisha uchunguzi'' sasa mtuhumiwa kasema alikuwa Oystebay Police
6. Kituo cha Polisi Oyesterbay hawajakanusha kauli ya Sativa
Jambo hili linakwenda sehemu hii
1. IGP ajitokeze kueleza nini kilitokea katika Jeshi la Polisi na kwanini
2. Waziri wa mambo ya ndani ajitokeze aeleze jambo hili
IGP na Waziri wa mambo ya ndani wanaweza kukaa kimya na kudharau, kitu kimoja hakikwepeki tayari kuna kujichanganya katika Jeshi la Polisi kuanzia kukataa mtuhumiwa alipo, kituo cha Polisi kuhusishwa na majeruhi kuwa hai. Viongozi hawa wawili wanapaswa kujitathmini kwasababu tatizo linazidi kupanda ngazi!
Tindo JokaKuu Pascal Mayalla Maxence Melo
Mie natamani kujua kwanini alitolewa Osterbay police station na kupelekwa Arusha, huko Arusha kwa nani na kwanini huko?
Je kama plan ni kumchafua pia huyo wa Arusha..........yote yanawezekanaKama lengo lilikua kumpeleka Katavi, njia rahisi ingekua kupita Mbeya au Tabora. Kwanini wazungukie Arusha? Walienda kumfuata nani Arusha?
Je aliyeorganize unyama huo yupo Arusha? Ni nani anaishi Arusha mwenye uzoefu wa kuteka, kutesa na kuua?
Kwani hauna D mbili wewe?
Je kama plan ni kumchafua pia huyo wa Arusha..........yote yanawezekana
Yote yanawezekana.......aidha kumchafua au ndo ujumbe umetumwa...............hadi ifike 2025 itaelewekaMtu wa Arusha ni ZERO Brain ,huwa hatumii akili vizuri ,matukio anayoyafanya yanaacha traces hadi US nao wanayaona ,tukio la lissu aliacha trace ,Lissu anapigwa risasi na yeye alikuwepo DODOMA ,SATIVA ametekwa akapelekwa Arusha ,why Arusha? Wamchafue yeye kivipi? Mbona matukio anayoyfanya ya utekaji lkila mtu anajua ,ROMA mwenyewe alisema aliyemteka.....Na pia alinukuliwa baada ya wasanii kumfuata akasema ROMA ataonekana ndani ya saa 48 na kweli kesho yake akaonekana.
Mtu wa Arusha damu za watu hazitomuacha salama ,hata BEN SAANANE alivyopotea alikuwa anawasiliana nae ili waMEET.....Kwenye vikao vyake vya huko arusha aliwaambia POLISI inakuwaje mtu mwizi anaenda POLISI halafu anarudi? Kuna neno aliongea akasema mambo mengine jinsi ya kufanya wataongea kwenye vikao vyao vya nDANI ,alitaka kuropoka kwamba mtu kama huyo ni KUMMALIZA tu.
MO kutekwa naye ni Mtu wa ARUSHA.
Wasiotumia akili wanajiuliza mbona mwendazake kaenda lakini matukio ya utekaji bado yanaendelea? Wanashindwa kujiuliza kwani MTU WA ARUSHA si yupo? Orginizer wa UTEKAJI bado yupo.