Kunani hizi timu ndogo kuzikamia timu kubwa

Zombie S2KIZZY

JF-Expert Member
Joined
Mar 15, 2021
Posts
826
Reaction score
1,622
Jana Azam na mastaa wao wote ( sopu,idrisu,feitoto,nado,lyanga,idrissa,bangala ) lakini wakadroo na Dodoma
Leo yanga na mastar wao wote(kundubela,yaoyao,masingeli,azizi kibukta,pakome kakoma,mudaumemuathir yahaya, liquid protector diara,Ibrahim kibaka,suraboy,kibamarage,morokoko,mzizi na kikosi A na B kwa ujumla) wamekumbatiwa na ihefu
Kesho simba na pira lao papatupapatu itakuwaje mbele ya maafande
 
Pira papatu papatu litachukuq Ubingwa...mark myword .Nyie shangaeni na Kundumbele wenu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…