Zombie S2KIZZY
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 826
- 1,622
ndiyo nini kukumbatiwa, wamepigwa ngapiwamekumbatiwa na ihefu
Ihefu 2 ngaya 1ndiyo nini kukumbatiwa, wamepigwa ngapi
Eeeeeeh nimeongeza sauti unanisikiaaa???Unasema
Makundubela 🤣🤣Jina la Scudu umelikosea mkuu🤣🤣
Pira papatu papatu litachukuq Ubingwa...mark myword .Nyie shangaeni na Kundumbele wenu!Jana Azam na mastaa wao wote ( sopu,idrisu,feitoto,nado,lyanga,idrissa,bangala ) lakini wakadroo na Dodoma
Leo yanga na mastar wao wote(kundubela,yaoyao,masingeli,azizi kibukta,pakome kakoma,mudaumemuathir yahaya, liquid protector diara,Ibrahim kibaka,suraboy,kibamarage,morokoko,mzizi na kikosi A na B kwa ujumla) wamekumbatiwa na ihefu
Kesho simba na pira lao papatupapatu itakuwaje mbele ya maafande
Usifananishe mnyama na huo ujinga mwengine
HaayaPira papatu papatu litachukuq Ubingwa...mark myword .Nyie shangaeni na Kundumbele wenu!