Kunani kati ya Mchaga na Mhaya humu jukwaani?

Kunani kati ya Mchaga na Mhaya humu jukwaani?

Wahaya wanaroho mbaya sana na majivuno, Mhaya anaweza kumchukia hata ndugu yake aliyezaliwa pamoja.

Mhaya akipata elimu anaongeza majigambo ili hali Mchanga ataiumia kujikwamua kimaendeleo.
Sidhani Kama Kuna kabila watu wake hupendana Sana Kama wahaya hapa nchini....Hadi watz wengi wanawaoea wivu na kuona wabinafsi.


Ulichoandika hapo ni wachaga Sasa . Wana roho mbaya Sana wale watu na wanachukiana wao kwao wao Hadi kufanya ndugu zao vichaa ili wapate Mali.


Uru Moshi ndo sehemu yenye vichaa wwngi Tanzania hio yote ni kurogwa na ndugu zao
 
Pamoja na yote ulotaja hapo juu, ila hujataja kilimanjaro ni mkoa wa pili kwa uchumi ya kwanza ikiwa Dar, bukoba ikishikilia kule mkiani[emoji849][emoji849][emoji849][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ishu ni wew mtu mwenyew uwe na hela zako. Mambo ya mikoa achia serikali.


Mkoa unaweza ukawa Tajiri lakin wew maskini wa kutupa
 
Ishu ni wew mtu mwenyew uwe na hela zako. Mambo ya mikoa achia serikali.


Mkoa unaweza ukawa Tajiri lakin wew maskini wa kutupa
Mkoa uchumi ukiwa juu ni reflection ya watu wake wana income stable.

Ni nchi gani tajiri watu wake wakawa maskini wa kutupa?

Mkoa wa kagera ni maskini hadi wakaazi wake,
Walobahatika kutoka nje ya mkoa ndo wana nafuu.

Maana kama mkaazi ana hali nzuri angewekeza ktk makaazi yake na matokeo yangeonekana.

Mkoa kua maskini maana yake na watu wake ni mafukara
 
Mkoa uchumi ukiwa juu ni reflection ya watu wake wana income stable.

Ni nchi gani tajiri watu wake wakawa maskini wa kutupa?

Mkoa wa kagera ni maskini hadi wakaazi wake,
Walobahatika kutoka nje ya mkoa ndo wana nafuu.

Maana kama mkaazi ana hali nzuri angewekeza ktk makaazi yake na matokeo yangeonekana.

Mkoa kua maskini maana yake na watu wake ni mafukara
Angalia nchi ya Kenya



Ni mfano mdogo tu
 
Ishu ni wew mtu mwenyew uwe na hela zako. Mambo ya mikoa achia serikali.


Mkoa unaweza ukawa Tajiri lakin wew maskini wa kutupa

Pitia hapa


Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipitia hapa chini moja baada ya nyingine.
Stori kubwa kwenye magazeti ya leo June 09 2016 ni kuhusu Bajeti ya mwaka 2016/2017, moja ya stori iliyochomoza ni hii kwenye gazeti la Nipashe yenye kichwa cha habari ‘Mikoa mitano maskini zaidi Tanzania hii hapa”
Serikali imesema kuwa Kigoma, Geita, Kagera, Singida na Mwanza ndiyo mikoa mitano maskini zaidi nchini, aidha mikoa ya Dar es salaam, Kilimajaro, Arusha, Pwani na Manyara ndiyo mikoa mitano yenye ahueni ya umaskini nchini
Waziri wa fedha na mipango Dk Phillip Mpango alisema hayo jana wakati akiwasilisha bungeni taarifa ya hali ya uchumi ya mwaka 2015 na mpango wa maendeleo wa taifa kwa mwaka wa fedha 2016/17.
Waziri Mpango alisema tathmini ya hali ya umaskini kimaeneo iliyofanyika kwa kutumia takwimu za sensa ya watu ya mwaka 2012 na utafiti wa hali ya kipato na matumizi katika kaya wa mwaka 2012,unaonyesha matokeo chanya na kutofautiana kimkoa na wilaya
Waziri Mpango alisema mkoa wa Kigoma unaongoza kwa kuwa na umaskini mkubwa wa 48.9% ukifuatiwa na Geita (43.7%), Kagera (39.3%), Singida (38.2%) na Mwanza (35.3%).
 
Lakini pia matajiri wa kutupwa wako kenya,
Huwezi kuwa na matajiri bila maskini.
Nani atamfanyia mwingine kazi kama wote mtakuwa matajiri
Hata kwenye nchi maskini matajiri wapo pia.
So jitahidi uwe Kati ya hao matajiri [emoji12]


Anyway wilaya za biharamulo na ngara ambazo ziko hovyo kweli kwenye mkoa wa kagera zinapelekwa chato so kagera inabaki na wahaya,wanyambo,wahima tu
 
Hata kwenye nchi maskini matajiri wapo pia.
So jitahidi uwe Kati ya hao matajiri [emoji12]


Anyway wilaya za biharamulo na ngara ambazo ziko hovyo kweli kwenye mkoa wa kagera zinapelekwa chato so kagera inabaki na wahaya,wanyambo,wahima tu
Matajiri wakihaya kwa uchache wao hawapo BK.
Wanajishaulia tu Dar wakati kwao kunaangamia
 
kwa maendeleo yapi anbayo mchaga kamzidi muhaya? au kwa elimu ipi?
Pitia hiyo list uone kuna wahaya wangapi na wachaga wangapi upate picha ya wachaga

 
Nishawaambia uchaggani zaidi ya ulevi hamna jipya watu tumetembea huko tumeona

Pitia hiyo list kwenye link hapo chini uone kuna wahaya wangapi na wachaga wangapi upate picha ya wachaga
 
Mchagga anamzidi Mhaya utapeli, wizi na ulevi, otherwise mchaga bado ana safari ndefu
Pitia hiyo list kwenye link hapo chini uone kuna wahaya wangapi na wachaga wangapi upate picha ya wachaga

 
uhayani na uchagani ni copy and paste kuanzia mazingira, mazao, ukabila, hali ya hewa.

Pia wengi wa kabila hizo ni madoni, hivo wanataka waoneshane nani zaidi

Pitia hiyo list ya madoni, zen utajua Kati ya mchaga na muhaya nani zaidi

 
Matajiri wakihaya kwa uchache wao hawapo BK.
Wanajishaulia tu Dar wakati kwao kunaangamia

Kwan matajiri wa kichaga wapo Moshi!??[emoji23][emoji23]

Eti bukoba kunaangamia??? [emoji23] Labda sio bukoba nayoijua Mimi. Moshi ndo kunaangamia mji uko vile vile miaka nenda Rudi mji haupanuki.


Bukoba mji unapanuka Sana na Sasa umeanza kumeza vijiji vya wilaya ya bukoba vijijini . Kama ulikua hujui mji wa bukoba ni Mpana kuliko Moshi.

Bukoba inazidiwa na Moshi kwenye miundombinu. Miundombinu ya bukoba imechoka Sana na Hilo ni jukumu la serikali sio wananchi
 
Pitia hiyo list kwenye link hapo chini uone kuna wahaya wangapi na wachaga wangapi upate picha ya wachaga

Wala haina maana Sana. Labda ndo biashara mnazopenda na mnaona mnaweza na Wala haina maana hao ndio matajiri zaidi TZ.

Mo hapo hayupo, Sidhani Kama mengi alikuwemo Wala mufuruki alikuwemo.

Matajiri top ten bongo hapo Kuna watatu tu.


Yaan ni Kama na. Sisi tutoe matajiri 10 katika biashara ya madini wasukuma kibao[emoji23]
 
Back
Top Bottom