instanbul
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 12,037
- 17,212
Hiv yupo hai yule? Amapotea Sana.Ufo sare siku hizi yukwapi mkuu?
Sema alikua na sauti nzr sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiv yupo hai yule? Amapotea Sana.Ufo sare siku hizi yukwapi mkuu?
Hiv yupo hai yule? Amapotea Sana.
Sema alikua na sauti nzr sana
Sidhani Kama Kuna kabila watu wake hupendana Sana Kama wahaya hapa nchini....Hadi watz wengi wanawaoea wivu na kuona wabinafsi.Wahaya wanaroho mbaya sana na majivuno, Mhaya anaweza kumchukia hata ndugu yake aliyezaliwa pamoja.
Mhaya akipata elimu anaongeza majigambo ili hali Mchanga ataiumia kujikwamua kimaendeleo.
Ukienda na mwanamke wa kihaya hotelini jiandae kuaibikaSasa maji yanashida gani boss
Pamoja na yote ulotaja hapo juu, ila hujataja kilimanjaro ni mkoa wa pili kwa uchumi ya kwanza ikiwa Dar, bukoba ikishikilia kule mkiani[emoji849][emoji849][emoji849][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vichaa ,ulevi, vijana wenu kuwa mashoga,wadangaji wengi mjini refer wolper,snura,Nisha nk nk
View attachment 1944237
Ishu ni wew mtu mwenyew uwe na hela zako. Mambo ya mikoa achia serikali.Pamoja na yote ulotaja hapo juu, ila hujataja kilimanjaro ni mkoa wa pili kwa uchumi ya kwanza ikiwa Dar, bukoba ikishikilia kule mkiani[emoji849][emoji849][emoji849][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkoa uchumi ukiwa juu ni reflection ya watu wake wana income stable.Ishu ni wew mtu mwenyew uwe na hela zako. Mambo ya mikoa achia serikali.
Mkoa unaweza ukawa Tajiri lakin wew maskini wa kutupa
Angalia nchi ya KenyaMkoa uchumi ukiwa juu ni reflection ya watu wake wana income stable.
Ni nchi gani tajiri watu wake wakawa maskini wa kutupa?
Mkoa wa kagera ni maskini hadi wakaazi wake,
Walobahatika kutoka nje ya mkoa ndo wana nafuu.
Maana kama mkaazi ana hali nzuri angewekeza ktk makaazi yake na matokeo yangeonekana.
Mkoa kua maskini maana yake na watu wake ni mafukara
Ishu ni wew mtu mwenyew uwe na hela zako. Mambo ya mikoa achia serikali.
Mkoa unaweza ukawa Tajiri lakin wew maskini wa kutupa
Kwa Tanzania hii Haina maana Sana.
Lakini pia matajiri wa kutupwa wako kenya,Angalia nchi ya Kenya
Ni mfano mdogo tu
Hata kwenye nchi maskini matajiri wapo pia.Lakini pia matajiri wa kutupwa wako kenya,
Huwezi kuwa na matajiri bila maskini.
Nani atamfanyia mwingine kazi kama wote mtakuwa matajiri
Matajiri wakihaya kwa uchache wao hawapo BK.Hata kwenye nchi maskini matajiri wapo pia.
So jitahidi uwe Kati ya hao matajiri [emoji12]
Anyway wilaya za biharamulo na ngara ambazo ziko hovyo kweli kwenye mkoa wa kagera zinapelekwa chato so kagera inabaki na wahaya,wanyambo,wahima tu
Pitia hiyo list uone kuna wahaya wangapi na wachaga wangapi upate picha ya wachagakwa maendeleo yapi anbayo mchaga kamzidi muhaya? au kwa elimu ipi?
Nishawaambia uchaggani zaidi ya ulevi hamna jipya watu tumetembea huko tumeona
Pitia hiyo list kwenye link hapo chini uone kuna wahaya wangapi na wachaga wangapi upate picha ya wachagaMchagga anamzidi Mhaya utapeli, wizi na ulevi, otherwise mchaga bado ana safari ndefu
uhayani na uchagani ni copy and paste kuanzia mazingira, mazao, ukabila, hali ya hewa.
Pia wengi wa kabila hizo ni madoni, hivo wanataka waoneshane nani zaidi
Matajiri wakihaya kwa uchache wao hawapo BK.
Wanajishaulia tu Dar wakati kwao kunaangamia
Wala haina maana Sana. Labda ndo biashara mnazopenda na mnaona mnaweza na Wala haina maana hao ndio matajiri zaidi TZ.Pitia hiyo list kwenye link hapo chini uone kuna wahaya wangapi na wachaga wangapi upate picha ya wachaga
Wafahamu watu 20 Matajiri zaidi katika Soko la Hisa la Dar es Salaam
Mfanyabiashara wa Kitanzania, Aunali Rajabali. The richest Tanzanian investors on the Dar es Salaam bourse have amassed a total wealth of $81.77 million, according to data gathered at the end of trading on Aug. 20. This is far lower than the wealth local individual investors in other African...www.jamiiforums.com