Kunani kati ya Mchaga na Mhaya humu jukwaani?

Kunani kati ya Mchaga na Mhaya humu jukwaani?

Aaaah bwashee unachemka sio mchaga, wala mnyakyusa au msukuma anayeweza kumfikia muhaya kwa elimu,wahaya swala la elimu lipo ndani use DNA,kusoma Sana kwao no hulka, ipo ndaniiiiii,
Kasome historia Mjerumani mwenyewe alikili haya people are the moat inteligent in East and Central Afrika.
Mchaga yeye yupo multiple,sio tu kwenye elimu Bali kila idara yupo hii ndio tofauti yake na mhaya
Wachaga wanamiliki kampuni za ndege wakati wahaya wamebaki wakifunga MAYENU na kusoma magazeti
 
Hakuna kushikana jamani,na maneno makali hayatakiwa naendelea kuchuja. Kumbe elimu mhaya yuko juu! Ndio mana kuna maprofesa wengi sana toka BK
UCHAGANI kuna maprofesa hadi kero
tena katika sekta nyeti hasa engineering, accountancy, Medical doctors , artchtecture n.k (nenda mhimbili University au ardhi ushuhudie)
 
Mchagga anamzidi Mhaya utapeli, wizi na ulevi, otherwise mchaga bado ana safari ndefu
Kwa kitu gani mlichonacho.

Wanawake wanaoua waume au Ile miguu ya spoku[emoji23]


Wahaya sifa Yao kuu ni kujisikia hawezi muonea mtu yeyote wivu kamwe

Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
Nyie wanawake wenu wanaowaloga waume zao kwa dawa aina ya SHUNTAMA mmewasahau?
Mhaya kumfikia mchaga kimaendeleo,kielimu Ni miaka 800 ijayo
 
Hii mkuu nakubaliana nayo,vip maendeleo uhayani huko mana sijafika ila nilipitaga Moshi tu
Kilimanjaro Ni mkoa wa pili watu wake kuwa na maisha bora kwa 90% ,kagera ni mkoa wa 9 kwa umaskini
Kwa mujibu wa ripoti ya serikali
tapatalk_1609090029340.jpeg
 
Nishawaambia uchaggani zaidi ya ulevi hamna jipya watu tumetembea huko tumeona
Kuna video nimeiona YouTube kuonesha wahaya walifua vyumba miaka zaidi ya 200 kabla ya kristu Hadi mzungu anashangaa akili hizi
Mbona mkoa wenu kagera Ni wa 9 kwa umaskini ? Sisi hatuna maneno mengi tunaenda kwa data tu
Mmekalia maneno mengi kumbe maskini wakutupwa
tapatalk_1609090029340.jpeg
 
Watu unaosema vyuma vimekaza[emoji23][emoji23][emoji23]

Ndege zinazidiwa na abiria. Na wala hakuna utalii wowote bk mi ndugu Tu wanatembeleana.


Ila sasa wachaga hapo Tu moshi watu wanapanda daladala za buza na gomz[emoji23][emoji23]


NB nauli ya bus ya bukoba=nauli ya ndege moshiView attachment 1660486
Wachaga sio tu wanapanda ndege,Bali wanamiliki ndege
Hii ndio tofauti yetu ma don na nyie wenye vijihela vya RUBISI
 
Elimu ya Mission Town. Wahaya na zile briefcase zao enzi hizo unakuta zimebeba kila aina ya mhuri na headed papers. Yaani briefcase office a.k.a Movable office. Hapo amaulamba suti na kiatu kikali kila baada ya muda lazima apite shoe shine.

Na business meeting anakuja na VX kali la kukodi. Mazima mtu unaingia kingi ukija kuhamaki umeshatapeliwa. IQ kubwa sana hii. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
@instanbul njoo kuna ujumbe wako hapa
 
Binafsi mimi siyo mhaya wala mchaga ila nimeona nyuzi nyingi sana wanakosoana na kutaniana. Jambo la kushangaza zaidi hata kama uzi unahusu mambo mengine akitangulia mhaya kutoa maoni yake ujue lazima mchaga aje kukosoa, mchaga akisema hivi mhaya atakuja kupinga.

Mimi nauliza naomba kujua hasa mabishano haya yanatokea sana mwisho wa mwaka

Boss REDEEMER. luambo makiadi najua nyie mtakuwa wachaga kwanini mnakosoa sana wahaya kuliko makabila mengine?
Wazee wa Katerero instanbul na @Greet haya kwanini hamuoni makabila mengine kama sisi wazaramo mtutanie? Tatizo ni elimu, maendeleo au ni watani wa jadi? Na huo utani umeanza lini?

Ufafanuzi tafadhali, mimi ni mwamuzi
uhayani na uchagani ni copy and paste kuanzia mazingira, mazao, ukabila, hali ya hewa.

Pia wengi wa kabila hizo ni madoni, hivo wanataka waoneshane nani zaidi
 
Haya mambo pelekeni Kenya, Tanzania sisi sote ni ndugu
 
Binafsi mimi siyo mhaya wala mchaga ila nimeona nyuzi nyingi sana wanakosoana na kutaniana. Jambo la kushangaza zaidi hata kama uzi unahusu mambo mengine akitangulia mhaya kutoa maoni yake ujue lazima mchaga aje kukosoa, mchaga akisema hivi mhaya atakuja kupinga.

Mimi nauliza naomba kujua hasa mabishano haya yanatokea sana mwisho wa mwaka

Boss REDEEMER. luambo makiadi najua nyie mtakuwa wachaga kwanini mnakosoa sana wahaya kuliko makabila mengine?
Wazee wa Katerero instanbul na @Greet haya kwanini hamuoni makabila mengine kama sisi wazaramo mtutanie? Tatizo ni elimu, maendeleo au ni watani wa jadi? Na huo utani umeanza lini?

Ufafanuzi tafadhali, mimi ni mwamuzi
Kwa sisi tuliochanganya uhaya na uchaga tunasimama wapi?
 
Back
Top Bottom