Kunani kati ya Smart911 na Mahondaw?

Kunani kati ya Smart911 na Mahondaw?

Ninyi nanyi mtaachana tu[emoji1787]
Hatuachani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Inabidi tupeleke mambo haraka shetani asipate upenyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eti ufala[emoji38][emoji38][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Yapigwe jua
Yanapangwa kama nyimbo za night club[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Haki nimecheka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]

Mimi siku nikitangazwa mshindi ndio nitayaanika mtaani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji1787]
Sasahivi wacha yakerekete kooni


Ila Kweli privacy ni muhimu .
Kuna watu hawana privacy kabisa,kila kitu kinachofanywa anakianika ,,vingine ni vya wawili tu.. siyo lazima tushirikishwe wote kuona.
Ehee ndo uphaller wenyewe huo..

Mtakatifu najua bado hajaanza kwenda night club kuruka majoka 😁
Sasa vile dj anavyochanganya disc Ohoo mara “shang’hashang’hashang’ha🎶🎶vuvaaa😁utapenda.hivyo ndivyo tunavyopangiliwa sasa

Kimbembe kinakuja kuhama kwenye


Kuja hapa sasa


Mapenzi ni ya kikuda sana aiseh 😁😁😁
 
Hatuachani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Inabidi tupeleke mambo haraka shetani asipate upenyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]kamati ya roho mbaya ipo kazini muda wote
 
Ehee ndo uphaller wenyewe huo..

Mtakatifu najua bado hajaanza kwenda night club kuruka majoka [emoji16]
Sasa vile dj anavyochanganya disc Ohoo mara “shang’hashang’hashang’ha[emoji445][emoji445]vuvaaa[emoji16]utapenda.

Kimbembe kinakuja kuhama kwenye


Kuja hapa sasa


Mapenzi ni ya kikuda sana aiseh [emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji119][emoji119][emoji119]
Siku moja nilikuwa karibu na club usiku kucha,,aisee ule mtiririko wa nyimbo ni bandia bandua [emoji119]hakuna kupumzika.


Ila wewe dada ni comedian [emoji119][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23]
Haya mambo yanasikitisha ila yanachekesha tena


Ila kaka wa watu bora mkeka umechanika TU,,,kuwekeza kote afu kumbe alichukuliwa kama mchepuko[emoji1751]
We mtakatifu wacha masengenyo hebu twende tukaselfike kule
 
[emoji23]
Haya mambo yanasikitisha ila yanachekesha tena


Ila kaka wa watu bora mkeka umechanika TU,,,kuwekeza kote afu kumbe alichukuliwa kama mchepuko[emoji1751]
Simjui smart lakini inaonekana ni mkaka mmoja mstaarabu mno😊😊.

Sipendagi watu wastaarabu kama smart waumizwe ujue😎
 
Back
Top Bottom