Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,094
- 37,314
Hapana ndugu achague warembo wengineBhas mmalizaneee😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana ndugu achague warembo wengineBhas mmalizaneee😀😀
Sio lazima jf uwe na mtu chat inatoshaHaaaa kwahiyo na sisi tufanye kitu eti 👣
Nan na nan wataachanaSiyo mimi
Ni walimwengu wa humu walisema wataachana[emoji1787][emoji1787]
Kwa mda baada wanamwagana kwa kashifa na kuanzishiana uzi ya nini yote hayaTatizo wengine wanatudolishia sana
Siyo wataachanaNan na nan wataachana
Yes 👍Kumbe tuendelee kuwa hivi hivi single na kuchangia nyuzi za wanao achana eti
WatarudianaaSiyo wataachana
Walishaachana[emoji23]
Napingana na wewe tena kwa herufi kubwa.Itoshe kusema hii nchi ni ngumu sana.
Pia vitu vingi mtandaoni/social media ni feki
Story yako inatufundisha nini?Napingana na wewe tena kwa herufi kubwa.
Mahondaw na smart wamedumu kwa zaidi ya miaka 3.
Wakati juzi jirani yangu ameoa binti walie Kutana kanisani hadi wakafunga ndoa.
Huwezi amini hata mwaka hawajamaliza wameachana.
Asante
Karibu pia kuzimuni kuna wafu wakalimu sana
A wapiWatarudianaa