Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeachika jamaa umeachika jamaa acha ulewe umeachika jamaaDah kweli watu mnashindwa kunitag kwenye mambo adimu kama haya?
Kama wameachana sio shida sana tulijua since kitambo, nimebaki single Mimi mwana wa nyange sijui nikamroge mtoto wa mtu anipende?
😀😀😀😀jfSijawahi kuwa demu wako tafadhali mkuu😬
Hannah wangu wameshamkwiba wevi jamaniUmeachika jamaa umeachika jamaa acha ulewe umeachika jamaa
Unasubiri mwongozoHaaaa kwahiyo na sisi tufanye kitu eti [emoji188]
Natumai amepata mwongozoSio lazima jf uwe na mtu chat inatosha
Side effects of being alone! PoleSo sad sikuhizi sina wa kunijuza ma udaku yanayoendelea jf on the spot ndo nauona huu uzi saivi lol!!!!!! Too late
People zinatiana haswa mdau we zubaa tu hapo.....Haaaaa[emoji2958][emoji2958][emoji2958] mbona noma sana
Hahahaha mwamba alianzia kileleni kumbeWw utakuwa kipofu. Pole sana. Wengine wote tunajua walishaachana Mwaka jana 2020. Ukianzisha mapenzi kwa kuhonga, mwisho ndio unakuwa hivyo ukiacha kuhonga.
Hahahaha.. Not alone that much brother !huu Uzi ungenoga endapo ningeuona mapema!!Side effects of being alone! Pole
Hata sasa utanoga tu endelea tulipoishia[emoji848][emoji848]Hahahaha.. Not alone that much brother !huu Uzi ungenoga endapo ningeuona mapema!!
Alone but not lonely! [emoji1533]Hahahaha.. Not alone that much brother !huu Uzi ungenoga endapo ningeuona mapema!!
So sad sikuhizi sina wa kunijuza ma udaku yanayoendelea jf on the spot ndo nauona huu uzi saivi lol!!!!!! Too late
Hahahaha...sitaki kesiiiii!! Hapa nipo nachambwaKwani zamani nani alikuwa chawa wako wa jeiefu?