Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Abc yanini?? Nyie watu wazima mjiongeze basi!!Asante karibu sana.
Wacha na member wengine watambue uwepo wako, kwa kusema hivyo wadau wanaomba kujua ABC kidogo.
Karibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Abc yanini?? Nyie watu wazima mjiongeze basi!!Asante karibu sana.
Wacha na member wengine watambue uwepo wako, kwa kusema hivyo wadau wanaomba kujua ABC kidogo.
Karibu
Haha mnavopenda umbea sasa!!! !!! Naheshimu privacy za watu na namuheshimu yule bwana!!!!! pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!!![emoji120][emoji120]Hata sasa utanoga tu endelea tulipoishia[emoji848][emoji848]
Kuhusu nini??Kidogo tu funguka
Kwa kifupi tu sitakuja kubadili hii Id ng'o!Kidogo tu funguka
Wee unataka upewe mwongozo Mara ngapi??mbona watu washakumezesha hadi notes jamani!!ABC ilikuwaje,kwa nini na sasa ipo vipi
Maana zile carbon copy hatuoni
Sorry hii ni interview??Dah nje ya kubadi ID kingine nini hutofanya humu JF
Ila mkuu nitakuja pm unipe machache kuhusu mahondaw maana anaonekana pisi kaliSide effects of being alone! Pole
Mahondaw ni Bibi kizee kijeba fulani hivi kiboyaaa kishambaaa afu chakuja tu !!Ila mkuu nitakuja pm unipe machache kuhusu mahondaw maana anaonekana pisi kali
Hahahaha...sitaki kesiiiii!! Hapa nipo nachambwa
😂 😂 😂Tujifunze maana sisi wanawake ndo tuko na uphaller mwingi sana wa kuyaanika mahusiano hadharani ili yapigwe na jua😏😏
Wanaume wao habari hawapati wanakuzoom tu 😁kumbe nyuma kuna wanawake wenzio kama mia hivi wanapangwa kama nyimbo za night club🤣🤣
Tujifunzage kunyamaza mpka pale mshindi atakapotangazwa kanisani au msikitini✌🏿
Hahahahaha.. inapendeza sanaWanaokuchamba wape pipa la maji kabisa wakimaliza wakuache msafi
Hivyo hivyo hata kama ni kijeba mimi nataka nikifanikiwa kuuza kibanda cha ukoo pale kariakoo mgao wangu nitumie na mahondawMahondaw ni Bibi kizee kijeba fulani hivi kiboyaaa kishambaaa afu chakuja tu !!