Unafeli wapi?Kwahiyo mimi ndio sina humu ama
Fanya mambo nawe uwe double humuHadi nashangaa kila member na wake najikuta mimi nipo single
Watu wanachana mikeka humu[emoji38][emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787]wewe hebu ukatupie picha kule, mekumiss
Ninyi nanyi mtaachana tu[emoji1787]Watu wanachana mikeka humu[emoji38][emoji38][emoji38]
Nahofia wangu usije chanika na babe wangu Jack Palladino .
Selfika nakuja na utitiri wa picha..
Hatuachani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ninyi nanyi mtaachana tu[emoji1787]
Ehee ndo uphaller wenyewe huo..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eti ufala[emoji38][emoji38][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Yapigwe jua
Yanapangwa kama nyimbo za night club[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Haki nimecheka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Mimi siku nikitangazwa mshindi ndio nitayaanika mtaani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji1787]
Sasahivi wacha yakerekete kooni
Ila Kweli privacy ni muhimu .
Kuna watu hawana privacy kabisa,kila kitu kinachofanywa anakianika ,,vingine ni vya wawili tu.. siyo lazima tushirikishwe wote kuona.
[emoji23][emoji23][emoji23]kamati ya roho mbaya ipo kazini muda woteHatuachani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Inabidi tupeleke mambo haraka shetani asipate upenyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji119][emoji119][emoji119]Ehee ndo uphaller wenyewe huo..
Mtakatifu najua bado hajaanza kwenda night club kuruka majoka [emoji16]
Sasa vile dj anavyochanganya disc Ohoo mara “shang’hashang’hashang’ha[emoji445][emoji445]vuvaaa[emoji16]utapenda.
Kimbembe kinakuja kuhama kwenye
Kuja hapa sasa
Mapenzi ni ya kikuda sana aiseh [emoji16][emoji16][emoji16]
Tena ya humu jf ni hatari[emoji23][emoji23][emoji23]kamati ya roho mbaya ipo kazini muda wote
😳Kila member??chief rekebisha mwandikoHadi nashangaa kila member na wake najikuta mimi nipo single
Watu wabaya watawasakama weee mpaka [emoji28]Tena ya humu jf ni hatari
Yaani watu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]
[emoji23]Watu wabaya watawasakama weee mpaka [emoji28]
Ila all in all ifike mahali tukue
We mtakatifu wacha masengenyo hebu twende tukaselfike kule[emoji23]
Haya mambo yanasikitisha ila yanachekesha tena
Ila kaka wa watu bora mkeka umechanika TU,,,kuwekeza kote afu kumbe alichukuliwa kama mchepuko[emoji1751]
Simjui smart lakini inaonekana ni mkaka mmoja mstaarabu mno😊😊.[emoji23]
Haya mambo yanasikitisha ila yanachekesha tena
Ila kaka wa watu bora mkeka umechanika TU,,,kuwekeza kote afu kumbe alichukuliwa kama mchepuko[emoji1751]
Wabishi wa nini kushTatizo watu ni wabishi
[emoji86]
Ni kauli ambayo alipenda kuitumia jamaa.Wabishi wa nini kush