Kunani kati ya Smart911 na Mahondaw?

Ninyi nanyi mtaachana tu[emoji1787]
Hatuachani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Inabidi tupeleke mambo haraka shetani asipate upenyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ehee ndo uphaller wenyewe huo..

Mtakatifu najua bado hajaanza kwenda night club kuruka majoka 😁
Sasa vile dj anavyochanganya disc Ohoo mara “shang’hashang’hashang’ha🎶🎶vuvaaa😁utapenda.hivyo ndivyo tunavyopangiliwa sasa

Kimbembe kinakuja kuhama kwenye

Kuja hapa sasa

Mapenzi ni ya kikuda sana aiseh 😁😁😁
 
Hatuachani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Inabidi tupeleke mambo haraka shetani asipate upenyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]kamati ya roho mbaya ipo kazini muda wote
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji119][emoji119][emoji119]
Siku moja nilikuwa karibu na club usiku kucha,,aisee ule mtiririko wa nyimbo ni bandia bandua [emoji119]hakuna kupumzika.


Ila wewe dada ni comedian [emoji119][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23]
Haya mambo yanasikitisha ila yanachekesha tena


Ila kaka wa watu bora mkeka umechanika TU,,,kuwekeza kote afu kumbe alichukuliwa kama mchepuko[emoji1751]
We mtakatifu wacha masengenyo hebu twende tukaselfike kule
 
[emoji23]
Haya mambo yanasikitisha ila yanachekesha tena


Ila kaka wa watu bora mkeka umechanika TU,,,kuwekeza kote afu kumbe alichukuliwa kama mchepuko[emoji1751]
Simjui smart lakini inaonekana ni mkaka mmoja mstaarabu mno😊😊.

Sipendagi watu wastaarabu kama smart waumizwe ujue😎
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…