Kunani kati ya Smart911 na Mahondaw?

Wee unataka upewe mwongozo Mara ngapi??mbona watu washakumezesha hadi notes jamani!!
Dah si unajua hao ni kama blogu fulani zinazo julikana.

Sasa nimebahatika kupata mhusika hapo nitapata kitu.
 
😂 😂 😂

Eti Laazizi wangu Bufa na wewe ndiyo umenipanga hivyo kama nyimbo za night club..??
 
Mahondaw ni Bibi kizee kijeba fulani hivi kiboyaaa kishambaaa afu chakuja tu !!
Hivyo hivyo hata kama ni kijeba mimi nataka nikifanikiwa kuuza kibanda cha ukoo pale kariakoo mgao wangu nitumie na mahondaw
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…