Kunani kati ya Smart911 na Mahondaw?

Ongezea na kukunwa vizuri
 

 
Mi nilishtukiaga na nikawa nawaambia mtajatosana.
Wazoefu wa izi kazi tulishaona dalili.
 
Mbona waliachana kitambo baada ya fumanizi mkuu?
Smart alikuwa anamwaga hela kwa Mahonda kama njugu, kumbe bibie anaruka vijoti nje. hukuona mpaka uzi ulianzishwa hapa?
Mie nilipitwa mbona jomoneeeh lol.
 
Hujasoma bibiye aliweka uzi wake hapa kwamba yeye ni mama wa watoto wawili na ni mke wa mjeda...

Unless kama unataka tumlengeshe mjeda kwamba Dead Man ndio Smart aje akufumue medula oblongata...
Uzi huo uko wapi? Nilipitwa mie lol.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…