Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmmh wewe ndio hawachiSijawahi kuwa demu wako tafadhali mkuu😬
Haya Kama niwewe thibitisha inbox tulikuwa tunaongea niniUtajiju
Ko niweke chat zako hadharaniHaya Kama niwewe thibitisha inbox tulikuwa tunaongea nini
zamani demissNdio nani huyu
Utapigwa ban Ila njoo inbox tukumbushane mambo yetuKo niweke chat zako hadharani
Huyu bibie kapotelea wapi nime miss story zakezamani demiss
Umalaya ulimzidi akawa anaishi kama digi digi kwa kubadili ID hapa JFHuyu bibie kapotelea wapi nime miss story zake
Kweli nimeamini niwewe Kuna codes zetu hapo nishaziona ambazo nizakipekee tunaelewa Mimi na wewe tu dah kitambo Sana mke wangu ile ID ya hwch ilishakuwa maarufu Sana I bet ulipoteza password Ila we mwanamke uliniteka Sana Sasa Bora umerudi nitaanza kuona raha ya jfToka unifungulie uzi wako wa kipumbavu sitaki kuwa karibu na wewe ukiachwa ujui kuachika mkuu yaani ukitemwa hujui kutemeka kwamba ukishetiwa hujui kushitika kwa sasa niko na babe Asprin usiniwekee gundu😀
Mmh ninachofahamu alitoka na kigagula wa jf zaidi ya huyo kuna mwingine sema kuwa na mahusiano humu yataka moyoUmalaya ulimzidi akawa anaishi kama digi digi kwa kubadili ID hapa JF
[emoji23][emoji23]Tulisema Wataachana tu
Ileile ila amebadili tu jina.Hivi siku hizi naye atumia id gani[emoji16][emoji16]
Haha uko makiniIleile ila amebadili tu jina.
Kapo yake mpya ni [emoji2956][emoji91]Kwahyo mjeda alivo Rudi ndio mahusiano yakafa, nimpe pole smart kwa [emoji3590] broken
Kwani una mpango wa kuniacha?Siku tukiachana babe na sisi tutaanzishiwa uzi au mpaka uwe maarufu Jf