Kunani kati ya Smart911 na Mahondaw?

Kunani kati ya Smart911 na Mahondaw?

Toka unifungulie uzi wako wa kipumbavu sitaki kuwa karibu na wewe ukiachwa ujui kuachika mkuu yaani ukitemwa hujui kutemeka kwamba ukishetiwa hujui kushitika kwa sasa niko na babe Asprin usiniwekee gundu😀
Kweli nimeamini niwewe Kuna codes zetu hapo nishaziona ambazo nizakipekee tunaelewa Mimi na wewe tu dah kitambo Sana mke wangu ile ID ya hwch ilishakuwa maarufu Sana I bet ulipoteza password Ila we mwanamke uliniteka Sana Sasa Bora umerudi nitaanza kuona raha ya jf
 
Ukiona tu jins dem anavyo jibebisha n lazma tu utagundua Kuna mtu alikua anapigwa hela alaf manz anakazwa na mwngne
Nyie hongeni tu sisi wazee wa vitonga kazi yetu ni kusimamia kucha kinyama yani tunawaburuza kma tunawahudumia sisi
 
Back
Top Bottom