Kunani kati ya Smart911 na Mahondaw?

Kunani kati ya Smart911 na Mahondaw?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eti ufala[emoji38][emoji38][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Yapigwe jua
Yanapangwa kama nyimbo za night club[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Haki nimecheka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]

Mimi siku nikitangazwa mshindi ndio nitayaanika[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji1787]
Sasahivi wacha yakerekete kooni


Ila Kweli privacy ni muhimu .
Kuna watu hawana privacy kabisa,kila kitu kinachofanywa anakianika ,,vingine ni vya wawili tu.. siyo lazima tushirikishwe wote kuona.
Mwenyewe nimecheka sana

Haswa hapo kwenye nyimbo za night club [emoji23][emoji23][emoji23]

Ila ukiangalia ni kweli kabisa, tujifunze kutokupiga kelele, japo muda mwingine hua ni matani tu ya humu na kuchangamsha jamvi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eti ufala[emoji38][emoji38][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Yapigwe jua
Yanapangwa kama nyimbo za night club[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Haki nimecheka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]

Mimi siku nikitangazwa mshindi ndio nitayaanika[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji1787]
Sasahivi wacha yakerekete kooni


Ila Kweli privacy ni muhimu .
Kuna watu hawana privacy kabisa,kila kitu kinachofanywa anakianika ,,vingine ni vya wawili tu.. siyo lazima tushirikishwe wote kuona.
Umeshindaaaa...
Nimekutangaza kuanzia leo. Wewe ni mshindi katika wengi
 
Mwenyewe nimecheka sana

Haswa hapo kwenye nyimbo za night club [emoji23][emoji23][emoji23]

Ila ukiangalia ni kweli kabisa, tujifunze kutokupiga kelele, japo muda mwingine hua ni matani tu ya humu na kuchangamsha jamvi
Siku izi hata simu yangu hupokei wewe binti wa kiarusha na kichagga
 
Mwenyewe nimecheka sana

Haswa hapo kwenye nyimbo za night club [emoji23][emoji23][emoji23]

Ila ukiangalia ni kweli kabisa, tujifunze kutokupiga kelele, japo muda mwingine hua ni matani tu ya humu na kuchangamsha jamvi
Yaani huyu dada ni comedian jamani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]

Yale mahaba yetu ya matani humu yanajulikana,,hayo hayana shida.....
Hata mimi ninayo humu na huwa napenda sana kuyaongea kuchangamsha jukwaa.

Shida ni yaleee ya siriazi kwrlikweli kuyaanika kila kituu humu.
 
Yaani huyu dada ni comedian jamani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]

Yale mahaba yetu ya matani humu yanajulikana,,hayo hayana shida.....
Hata mimi ninayo humu na huwa napenda sana kuyaongea kuchangamsha jukwaa.

Shida ni yaleee ya siriazi kwrlikweli kuyaanika kila kituu humu.
[emoji23][emoji23]huo sasa unakua ni utoto, mahaba yenu fanyianeni wenyewe msitutingishe humu jamani
 
Tujifunze maana sisi wanawake ndo tuko na uphaller mwingi sana wa kuyaanika mahusiano hadharani ili yapigwe na jua[emoji57][emoji57]

Wanaume wao habari hawapati wanakuzoom tu [emoji16]kumbe nyuma kuna wanawake wenzio kama mia hivi wanapangwa kama nyimbo za night club[emoji1787][emoji1787]

Tujifunzage kunyamaza mpka pale mshindi atakapotangazwa kanisani au msikitini[emoji1536]
Well said
 
Back
Top Bottom