MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Busu la kizungu hilo acheni zengwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uenyekiti. Lissu amekuja kuchukua Ufalme CHADEMA.Kumng'oa wapi?
Wazungu kwa kweli wanajua kunyonyana mate. Safi sana Mzee Lissu kwa kutuwakilisha.Busu la kizungu hilo acheni zengwe
Lissu amezidiwa tu na hoja na mazingira. Mpango wa huyu kibaraka na mhusudu wazungu ni kuishi moja kwa moja ughaibuni.Najiuliza tu hili swali, wanaojua watufahamishe.
Hawa watu wamekuwa wakiambatana katika shughuli nyingi, kulikoni?
Hakuna namna ni ama Lisu au Heche, Mbowe amestaafuUenyekiti. Lissu amekuja kuchukua Ufalme CHADEMA.
Mzee Mtei unamjua au unamsikia? Umeanza lini kufuatilia CHADEMA?Hakuna namna ni ama Lisu au Heche, Mbowe amestaafu
Unataka uchukue nafasi ya mkewe ili umkirimu vizuri?Najiuliza tu hili swali, wanaojua watufahamishe.
Hawa watu wamekuwa wakiambatana katika shughuli nyingi, kulikoni?
Mbona Samia huwa hatumuoni na mumewe kwenye misafara? Hebu acheni mambo ya hovyooNajiuliza tu hili swali, wanaojua watufahamishe.
Hawa watu wamekuwa wakiambatana katika shughuli nyingi, kulikoni?
Nimeanza kuifuatilia Chadema tangu 1993 Mbowe akiwa BavichaMzee Mtei unamjua au unamsikia? Umeanza lini kufuatilia CHADEMA?
Sasa tufanyeje? Maana mmetuletea taarifa humu. Hapa nyumbani ndoa mia tatu kwa mwezi zinafunjika, tena kwa talaka mahakamani! Bado unashangaa tu!?Hata kama wewe ndio ungekua mkewe, kwa picha ile ya mahaba aliopiga Airport akiwa na yule mama wa kibelgiji, nina hakika usingeenda kumpokea. Usaliti unaanza katika ngazi ya chini ya familia, mtu kama huyu ukimpa mamlaka hachelewi kutuuza
Mimi sijasema kuasisiwa. Ninakuuliza unamjua Mzee Mtei au unamsikia tu. Unalijua Timbwili lake?Nimeanza kuifuatilia Chadema tangu 1993 Mbowe akiwa Bavicha
Chadema haikuasisiwa na Mtei peke yake ukumbuke hilo
Aliyekwambia nalia nani! Umeniona! Madogo mnatabu sana. Anyway enjoy your timeMbona unalia sasa
Hana timbwili lolote mikwara tu ya migombani!Mimi sijasema kuasisiwa. Ninakuuliza unamjua Mzee Mtei au unamsikia tu. Unalijua Timbwili lake?
Unajua kwanini hapo CHADEMA bwana Mbowe ni mfalme?Hana timbwili lolote mikwara tu ya migombani!
Mfalme wa kulamba asali labda lakini hana nguvu yoyote kwa sasaUnajua kwanini hapo CHADEMA bwana Mbowe ni mfalme?
Kwahio Lissu anapelekewa moto kama kawaida 🤣🤣🤣! No wonder ubelgiji walimpokea kwa mikono miwili.
Nguvu ipi unaiongelea hapa maana MBowe amekuwa mwenyekiti zaidi ya miaka 20. Nguvu gani unaiongelea?Mfalme wa kulamba asali labda lakini hana nguvu yoyote kwa sasa
Huyo Mtei anakaribia miaka 100 Sidhani kama hata anamkumbuka Freeman
Unaweza kukuta hapo ulipo uko kwa mchepuko... Hii nchi kuna Vigogo wamezaa mpaka na wake/waume za watu, Vigogo tena wenye ndoa zao lakini wana michepuko kibao..Hata kama wewe ndio ungekua mkewe, kwa picha ile ya mahaba aliopiga Airport akiwa na yule mama wa kibelgiji, nina hakika usingeenda kumpokea. Usaliti unaanza katika ngazi ya chini ya familia, mtu kama huyu ukimpa mamlaka hachelewi kutuuza