Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora umeulizaKabla ya kusubiri comments za wadau, je, wewe mwenyewe umeelewa ulichokiandika?
Hata sijuiKabla ya kusubiri comments za wadau, je, wewe mwenyewe umeelewa ulichokiandika?
WanajijuaWataje tu
Ova
Wanajijua na huenda ukawa mmoja waoUkiona hivyo ujue wewe ndio hilo kundi la watu wenye akili finyu. Siku utakapokuwa timamu kiakili ndio utagudua wewe ndio kundi la watu uliokuwa unahoji na sio wao
hahaha tushawajuaWanajijua na huenda ukawa mmoja wao
Maafisa utumishi/ utawala.Halafu hivi kwanini hawaguswi? Hata lile sakata la watumishi hewa,kada hii ndio wakosefu namba moja lakini hawajafanywa lolote,hata kutwajwaKwenye watumishi wa umma kuna kada mbalimbali, afya, wanasheria, walimu, wahandisi, madereva, mafundi mchundo, wahasibu, askari n.k
Ila katika makundi hayo yote yaliyopo kwenye utumishi wa umma kuna kundi ambalo watu wake wengi wana upeo mdogo sana. Bado nashindwa kuelewa tatizo ni nini?
Hili kundi limekuwa na watu ambao wapo very low, IQ ipo chini sana. Naiomba serikali kuchukua hatua za haraka.
Huenda tunajiuliza kwa nn tupo hapa, kwa nn hatuendelei lakini tunashindwa kujua tuna watu wa aina hii kwenye serikali yetu tukufu.
Kwa nini sio madaktari? Kwa nn sio manesi? Kwa nn sio wahasibu? Kwa nini sio wahandisi? Kwa nini sio madereva? Kwa nini sio wanasheria? Kwa nini sio Askari? Kwa nini ni nyie tu?
TATIZO NINI?
Jiulize umezaliwa hivyo au una tatizo gani ??!!Kwenye watumishi wa umma kuna kada mbalimbali, afya, wanasheria, walimu, wahandisi, madereva, mafundi mchundo, wahasibu, askari n.k
Ila katika makundi hayo yote yaliyopo kwenye utumishi wa umma kuna kundi ambalo watu wake wengi wana upeo mdogo sana. Bado nashindwa kuelewa tatizo ni nini?
Hili kundi limekuwa na watu ambao wapo very low, IQ ipo chini sana. Naiomba serikali kuchukua hatua za haraka.
Huenda tunajiuliza kwa nn tupo hapa, kwa nn hatuendelei lakini tunashindwa kujua tuna watu wa aina hii kwenye serikali yetu tukufu.
Kwa nini sio madaktari? Kwa nn sio manesi? Kwa nn sio wahasibu? Kwa nini sio wahandisi? Kwa nini sio madereva? Kwa nini sio wanasheria? Kwa nini sio Askari? Kwa nini ni nyie tu?
TATIZO NINI?
Una akili sana,hahaha tushawajua
Umeanza vizuri ila umemaliza vibaya.Leo naungana na wewe, Hilo kundi limejaa watu wenye roho mbaya sana, sana....sijui Kwa sababu wengi wanatokea familia masikini.
Case study ni mwendazake kiongozi wa malaika, naye alitokea kundi Hilo.
Maafisa utumishi wana akili sana, huwezi kulinganisha na hilo kundi nalosema. Hakuna afisaa utumishi juha, wote wajanjaMaafisa utumishi/ utawala.Halafu hivi kwanini hawaguswi? Hata lile sakata la watumishi hewa,kada hii ndio wakosefu namba moja lakini hawajafanywa lolote,hata kutwajwa