Kundi Hili la Watumishi wa Umma lina Upeo Mdogo? Nini kifanyike?

Kundi Hili la Watumishi wa Umma lina Upeo Mdogo? Nini kifanyike?

Kuna mwalimu mmoja nimemuona anakaripiwa na dogo wa Mwenge, mwalimu kazi anabonyea kuomba msamaha, yote hii ni sababu ya kutojielewa.
Alitakiwa asinyenyekee, kama anafukuzwa afukuzwe tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwenye watumishi wa umma kuna kada mbalimbali, afya, wanasheria, walimu, wahandisi, madereva, maafisa utumishi(HR), mafundi mchundo, wahasibu, askari n.k

Ila katika makundi hayo yote yaliyopo kwenye utumishi wa umma kuna kundi ambalo watu wake wengi wana upeo mdogo sana. Bado nashindwa kuelewa tatizo ni nini?

Hili kundi limekuwa na watu ambao wapo very low, IQ ipo chini sana. Naiomba serikali kuchukua hatua za haraka.

Huenda tunajiuliza kwanini tupo hapa, kwanini hatuendelei lakini tunashindwa kujua tuna watu wa aina hii kwenye Serikali yetu tukufu.

Kwanini sio madaktari? Kwanini sio manesi? Kwanini sio wahasibu? Kwanini sio wahandisi? Kwanini sio madereva? Kwa nini sio maafisa utumishi HR's?? Kwanini sio wanasheria? Kwanini sio Askari? Kwanini ni nyie tu?
TATIZO NINI?




War.........Li.........MU...................Ni janga la kitaifa
unawadharau maticha wewe,?
 
Walimu akili zao tu huwaga ni ndogo pia, mm naamini tukichukua mwanafunzi anaeshika nafasi ya kwanza kwenye somo lolote lile tukampambanisha na mwalimu wake wa somo husika wafanye mtihani wa hilo somo basi Kuna chance kubwa ya mwanafunzi kupata maksi kubwa kuliko mwalimu wa hilo somo. Walimu wengi ni vilaza watupu kichwani ndio maana japo elimu yetu na masomo tunayosoma ni mepesi in nature but wanafunzi wengi wanafeli kwasababu tunafundishwa na vilaza waliofeli. Nenda India ukaone elimu yao ilivyo, mtihani Lisaa limoja na nusu hayo maswali yote ni cheche nakwabongo hutoboi hata swali moja. Sisi masomo yetu ni rahisi sanaaa hata physics ya advance uwezekano wa mtoto wa darasa la tatu kuimudu upo kama tu walimu wataanza kufanyiwa interview kwa wale waliofaulu tu
Hiyo mbona kawaida! Mwalimu anakuwezesha wewe kujifunza. Kama wewe ni kilaza hata ufundishwe na genius utabaki kilaza tu.
 
Uzuri ni kwamba mama yako mama Suzana alipewa mimba na Mwl Khamis akamzaa dada yako Safina, sasa hizo chuki zako na baba yako wa kambo kisa kamlala mama yako zipeleke hukohuko, usidhani kwenye mitandao haujulikan kaa kwa adabu kijana...
 
Na ajabu sasa anayeanzisha hizi nyuzi ni mtu mmoja na ukichunguza baadhi ya post zake yeye mwenyewe amesomea ualimu. Sijui kilitokea nini mpaka akawa na chuki hivi.

Hakuna taifa imara bila walimu.

Tuwaboreshee maslahi yao...

Wawe na mazingira bora....

Tuimarishe elimu yetu....

Badala yake tunawatukana. Watu wanaotufundishia watoto wetu tena katika mazingira magumu sana.

Inasikitisha!
Kumbe naye alisomea ualimu halafu anaponda namna hii...
Ninachojua Mimi tunaweza site tusome kozi fulani halfu tukafanya kazi ofisi moja mmoja akatoka mwingine akafail labda yupo kundi la ealiofail na kukata tamaa..au aliliwa kichwa vyeti feki...
Lakini pamoja na magunu yote bado walimu ni kazi ya maana kabisa kama ulivyosema.
Tatizo jamii yetu inaamini kazi za maana ni zile zinakupa utajiri wa haraka hata kwa kuiba.
 
Kumbe naye alisomea ualimu halafu anaponda namna hii...
Ninachojua Mimi tunaweza site tusome kozi fulani halfu tukafanya kazi ofisi moja mmoja akatoka mwingine akafail labda yupo kundi la ealiofail na kukata tamaa..au aliliwa kichwa vyeti feki...
Lakini pamoja na magunu yote bado walimu ni kazi ya maana kabisa kama ulivyosema.
Tatizo jamii yetu inaamini kazi za maana ni zile zinakupa utajiri wa haraka hata kwa kuiba.
Nisime ualimu?
 
Uzuri ni kwamba mama yako mama Suzana alipewa mimba na Mwl Khamis akamzaa dada yako Safina, sasa hizo chuki zako na baba yako wa kambo kisa kamlala mama yako zipeleke hukohuko, usidhani kwenye mitandao haujulikan kaa kwa adabu kijana...
Mwalimu alafu unajiita director? Hii nchi Uhuru umezidi sana
 
Back
Top Bottom