Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa jamaa wanashambuliwa SANA.. Kuna walimu wengine wamesomesha ndugu zao madaktari, wanasheria nk. Leo wanageuka machokoAfu mi sijui kwann nawashangaa sana wanaowasema waalimu kuwa wanamaisha sijui magumu, unakuta mwalimu ana uhakika qa kula ndani mwake kaweka kila kitu anachota tu anapika, wewe mwenzangu unaenda pima unga kg moja mafuta ya mia tano. Sasa c bora mwalimu yule mwenye kila kitu ndani. Ebu tuwaheshimu waalimu jamn
Umefumuliwa marinda halafu unakuja kuandika pumba hapa.Leo naungana na wewe. Hilo kundi limejaa watu wenye roho mbaya sana, sana... sijui Kwa sababu wengi wanatokea familia masikini.
Case study ni mwendazake kiongozi wa malaika, naye alitokea kundi Hilo.
Nikikuletea chaki hapo wewe utanunua?Si muibe chaki?
Halafu umesahau kuwatag hao moderators sasa. Watajuaje kuwa unawahitaji?Moderators kwa nini mnaacha mada za aina hii katika forrum hii? Ni kweli kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni lakini mtoa mada anadhalilisha walimu.
Hii mada Ina kipi cha maana mpk iachwe hapa?
Kilichomsukuma mtoa mada kuleta mada hii ni sababu walimu hawana maslahi makubwa kama kada nyingine.
Angalau basi angeleta suluhisho lakini ni kukebehi taaluma za watu tu.
Je wakisakamwa namna hii morali ya kazi itakuwepo?
Tuangalie sana sana tunatengeneza tatizo kubwa sana kisaikolojia kwa watu wetu hawa muhimu kwa taifa.
Hiki anachokisema mtoa mada sio kweli haiwezekani walimu wote Tanzania wawe wa aina moja kama ambavyo kada nyingine pia hawafanani.
Toeni huu Uzi vinginevyo mnasupport yanayosemwa hapa.
Nawewe unajiita "GREAT THINKER"Kwenye watumishi wa umma kuna kada mbalimbali, afya, wanasheria, walimu, wahandisi, madereva, maafisa utumishi(HR), mafundi mchundo, wahasibu, askari n.k
Ila katika makundi hayo yote yaliyopo kwenye utumishi wa umma kuna kundi ambalo watu wake wengi wana upeo mdogo sana. Bado nashindwa kuelewa tatizo ni nini?
Hili kundi limekuwa na watu ambao wapo very low, IQ ipo chini sana. Naiomba serikali kuchukua hatua za haraka.
Huenda tunajiuliza kwanini tupo hapa, kwanini hatuendelei lakini tunashindwa kujua tuna watu wa aina hii kwenye Serikali yetu tukufu.
Kwanini sio madaktari? Kwanini sio manesi? Kwanini sio wahasibu? Kwanini sio wahandisi? Kwanini sio madereva? Kwa nini sio maafisa utumishi HR's?? Kwanini sio wanasheria? Kwanini sio Askari? Kwanini ni nyie tu?
TATIZO NINI?
War.........Li.........MU...................Ni janga la kitaifa
Nimereport content nadhani wameipata japo bado huu Uzi uko hapa.Halafu umesahau kuwatag hao moderators sasa. Watajuaje kuwa unawahitaji?
Nyuzi za kushambulia walimu zimezidi kwa kweli. Na zote ni kwa ajili ya kuwadhalilisha tu.
Taifa hili yaani...
Badala tuwaboreshee maslahi yao na kuimarisha mfumo wetu wa elimu wenye matatizo lukuki eti sisi tunashambulia walimu ambao kimsingi ndiyo injini ya kila kitu.
Mungu na Atusaidie [emoji1545]
Na ajabu sasa anayeanzisha hizi nyuzi ni mtu mmoja na ukichunguza baadhi ya post zake yeye mwenyewe amesomea ualimu. Sijui kilitokea nini mpaka akawa na chuki hivi.Nimereport content nadhani wameipata japo bado huu Uzi uko hapa.
Tuna taifa la ajabu sana. Mwalimu ni mtu wa kuheshimu sana inashangaza anadhalilisha kwenye platform kama hii Kila saa nyuzi mpya zinapanda na zinaachwa.
Jamii gani iliyonedelea bila elimu Bora kutoka kwa walimu?
Kama walimu wangelipwa vizuri hakuna mtu angepandisha nyuzi za kijinga kama hizi lakin sababu ya maslahi madogo ndio wanadhalilishwa bila kujua madhara yake ni kushusha morali ya kazi na kuadhiri mipando ya nchi.
Taja vigezo anuwai kwa data faafu.Ina maana hujui?
Acha dharau wewe Tuliza shobo dundo mbona una pigo za kiwakiKwenye watumishi wa umma kuna kada mbalimbali, afya, wanasheria, walimu, wahandisi, madereva, maafisa utumishi(HR), mafundi mchundo, wahasibu, askari n.k
Ila katika makundi hayo yote yaliyopo kwenye utumishi wa umma kuna kundi ambalo watu wake wengi wana upeo mdogo sana. Bado nashindwa kuelewa tatizo ni nini?
Hili kundi limekuwa na watu ambao wapo very low, IQ ipo chini sana. Naiomba serikali kuchukua hatua za haraka.
Huenda tunajiuliza kwanini tupo hapa, kwanini hatuendelei lakini tunashindwa kujua tuna watu wa aina hii kwenye Serikali yetu tukufu.
Kwanini sio madaktari? Kwanini sio manesi? Kwanini sio wahasibu? Kwanini sio wahandisi? Kwanini sio madereva? Kwa nini sio maafisa utumishi HR's?? Kwanini sio wanasheria? Kwanini sio Askari? Kwanini ni nyie tu?
TATIZO NINI?
War.........Li.........MU...................Ni janga la kitaifa
Am not a teacher but my wife is...mbona mi nawaona wakao smart tu tena na wajanja sana na they do have a life ambayo wengine wanaiotaicha ya kwamba si watumishi vitengo vingine...sema hii kazi imejaa manyanyaso sana..Hatuwaachi mpaka mbadilike
Mm nilisomea ualimu?Na ajabu sasa anayeanzisha hizi nyuzi ni mtu mmoja na ukichunguza baadhi ya post zake yeye mwenyewe amesomea ualimu. Sijui kilitokea nini mpaka akawa na chuki hivi.
Hakuna taifa imara bila walimu.
Tuwaboreshee maslahi yao...
Wawe na mazingira bora....
Tuimarishe elimu yetu....
Badala yake tunawatukana. Watu wanaotufundishia watoto wetu tena katika mazingira magumu sana.
Inasikitisha!
Bora mseme ukweliAnzia kwenye upatikanaji wao, tusibubuje maneno..tunaishi nao mitaani, ukweli Kuna ka shida kidogo .