Kundi Hili la Watumishi wa Umma lina Upeo Mdogo? Nini kifanyike?

Kundi Hili la Watumishi wa Umma lina Upeo Mdogo? Nini kifanyike?

ukweli ni kwamba, hii nchi ingeongozwa na kada zingine tangu awali, tusingekuwa hapa. lakini tushukuru kwa tulichopata kwasababu kila jambo lina faida na hasara.
Mbona Mkapa na Kikwete hawakuwa walimu! Walileta maajabu gani, zaidi tu ya kupiga mnada raslimali za Taifa kwa Mabeberu na Makaburu!
 
Wadau, ninaapa kuna mtu humu ni ZAO LA UBAKAJI ULIOFANYWA NA MWALIMU kipindi fulani........fanyeni uchunguzi mtagundua hilo!
 
Moderators kwa nini mnaacha mada za aina hii katika forrum hii? Ni kweli kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni lakini mtoa mada anadhalilisha walimu.
Hii mada Ina kipi cha maana mpk iachwe hapa?
Kilichomsukuma mtoa mada kuleta mada hii ni sababu walimu hawana maslahi makubwa kama kada nyingine.
Angalau basi angeleta suluhisho lakini ni kukebehi taaluma za watu tu.
Je wakisakamwa namna hii morali ya kazi itakuwepo?
Tuangalie sana sana tunatengeneza tatizo kubwa sana kisaikolojia kwa watu wetu hawa muhimu kwa taifa.
Hiki anachokisema mtoa mada sio kweli haiwezekani walimu wote Tanzania wawe wa aina moja kama ambavyo kada nyingine pia hawafanani.
Toeni huu Uzi vinginevyo mnasupport yanayosemwa hapa.
 
Kwa sababu kazi zao zina mianya ya upigaji huko huko kazini kwao. Hakuna mfanyakazi Tanzania hii anayeishi kwa kutegemea mshahara wake tu bila kupiga hapa na pale isipokuwa pengine walimu. Sasa wanapoona vifursa kama hivi vya sensa wapate angalau kitu kidogo napo kumbe wanakosea masikini.
Si muibe chaki?
 
Moderators kwa nini mnaacha mada za aina hii katika forrum hii? Ni kweli kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni lakini mtoa mada anadhalilisha walimu.
Hii mada Ina kipi cha maana mpk iachwe hapa?
Kilichomsukuma mtoa mada kuleta mada hii ni sababu walimu hawana maslahi makubwa kama kada nyingine.
Angalau basi angeleta suluhisho lakini ni kukebehi taaluma za watu tu.
Je wakisakamwa namna hii morali ya kazi itakuwepo?
Tuangalie sana sana tunatengeneza tatizo kubwa sana kisaikolojia kwa watu wetu hawa muhimu kwa taifa.
Hiki anachokisema mtoa mada sio kweli haiwezekani walimu wote Tanzania wawe wa aina moja kama ambavyo kada nyingine pia hawafanani.
Toeni huu Uzi vinginevyo mnasupport yanayosemwa hapa.
Wapi nimezungumzia maslahi? Mbona walinzi Wana maslahi madogo lakini Wana akili?
 
Hao wote uliowataja wana akili sana. Huwezi linganisha na kundi la walimu
Isije ikawa ulimposa mwalimu akakukataa au akakuacha solemba. Dunia nzima hakuna mtu ambaye hajapitia darasani hata wale home schooling wazazi wao ndo walimu wao hivyo kama unaona walimu wote vilaza usidhubutu kupeleka watoto wako shuleni fanya mmeo/mkeo awe mwalimu aache kazi. Point.
 
Chuki zote za vijana na matusi kwa walimu ni kwasababu ya kazi ya sensa.
Tatizo limeanzia hapa... Walimu nawaonea huruma sana jinsi wanavyoshambuliwa... Sijui Nyerere naye alikuwa nani kabla ya kuwa rais... Sometime nataka kucheka ila muda mwingine machozi yananilenga machoni..

MUNGU IBARIKI AFRICA
MUNGU IBARIKI TANZANIA
 
Afu mi sijui kwann nawashangaa sana wanaowasema waalimu kuwa wanamaisha sijui magumu, unakuta mwalimu ana uhakika qa kula ndani mwake kaweka kila kitu anachota tu anapika, wewe mwenzangu unaenda pima unga kg moja mafuta ya mia tano. Sasa c bora mwalimu yule mwenye kila kitu ndani. Ebu tuwaheshimu waalimu jamn
 
Ninachofurahi ni kwamba haujafoji vyeti vya fom foo.
Mimi kwa sasa ni mjasiriamali tu wa kawaida. Ila siwezi kukataa! Once upon the time, niliwahi kuajiriwa kama mtumishi wa umma. Niliamua mwenyewe kwa hiyari yangu kuingia mtaani kupambana. Vyeti vyangu vyote ni OG! Nimevihifadhi kabatini kwa ajili ya ukumbusho hapo baadaye.

Sema tu sipendi kuona watu wanawadharau watu ambao hawawasaidii chochote. Walimu wanapambana na maisha yao. Hawajamlilia shida mtu yeyote yule! Iweje utoke from nowhere tu uwadharau?
 
Halafu wewe hueleweki kwangu umelike na Kwa Tate umelike....chagua upande
Umenikera sana wewe Mamy K . Nilivyo na mapenzi binafsi na wanawake wote wa JF, wewe kwa makusudi kabisa ukachagua kunikwaza.

Walimu ni zaidi ya wazazi! Tunatakiwa tuwaheshimu, no matter what. Wewe mwenyewe hapo ni mwalimu kwa watoto wako!

Wakikudharau utajisikiaje?
 
Back
Top Bottom