Kundi Hili la Watumishi wa Umma lina Upeo Mdogo? Nini kifanyike?

Kundi Hili la Watumishi wa Umma lina Upeo Mdogo? Nini kifanyike?

Mimi nipo huko na dv yangu nzuri tu ya enzi hizo nikiwa kilosa agricultural sec school o'level, adv Ihungo bukoba moja na chuo ni mhitimu wa SUA GPA ni 3.8 uppers second class. Jamii yyte hata afya ama injinia wapo na vilaza ambayo dr. Mwinyi kawatimua juzi tu.
Vilaza wapo kwenye ualimu tu
 
Kama Kuna mambo yana sababisha walimu kuchukiwa ni kuomba hizi kazi za sensa na uchaguzi.Kila inapofikia kipindi hiki chuki zinaonekana wazi.Ila hata kada zingine wanaomba shida ni uwingi Wa walimu.Ukimuuliza vizuri mtoa mada ni kwanini anachuki na walimu utashangaa sababu zake zisizo na msingi.
IQ ipo low sana
 
Leo kwenye atm na maeneo around ya benki kulikuwa na watu wengi sana nikasema kuna ugeni nini au semina

Ila nilivyoona wengi wamevaa suruali za vitambaa na mashati ya drafti wamechomekea baadhi na baada ya kusoma huu uzi nimejua [emoji16]
..

Sio utani ni kweli


Ila cha kujiuliza kwa nini wengine hawadharauliki ni nyinyi tu ? Shida iko wapi ?
Na hapo kuna mobile banking, Ila bado wanakimbilia ATM kuangalia salio
 
jambo kubwa ninalosikitika ni kwamba, nimefundishwa na waalimu, walinivumilia sana. lakini ukweli usiopingika ni kwamba, waalimu wana uelewe mdogo sana, wana roho mbaya sana na kamwe hawatakuja kujikwamua. ninasema hivi kwasababu pamoja na kuwepo ukweli huu, sina ujasiri kuwaambia hivyo kwasababu wao wanasema mimi nisingefika hapa bila wao. tuendelee tu kuwafariji.
Bora na nyie mseme huu ukweli
 
Wamemkosesha kazi ya ukarani wa sensa. Maisha ni magumu sana. Tuvumilianeni tu maana hakuna namna!

Badala ya kuelekeza chuki kwenye kiini cha tatizo yeye anashambulia walimu. Majitu huko juu yanapiga trillions hayafanywi kitu lakini masikini huku wanachukiana kisa shilingi elfu ishirini kwa siku...

Mahela yanayopigwa na mafisadi huko yangetumika vyema yangeweza kuinua hali ya maisha ya watu wetu na kuondoa hizi chuki za kimasikini!

Inahuzunisha sana!
Mimi na kazi ya sensa wapi na wapi?
 
Afu walimu wana inferiority complex sijui kwanini?

Shida itakuwa kwenye mafunzo yao huko kuna namna fulani ya ujasusi unatumika kuwadunisha hadhi.
 
Kwa hiyo hata bosi wako Majaliwa ambaye ukimuona tu unatamani kumlamba miguu naye hajitambui siyo!

Na yule marehemu unayemsujudi mpaka kesho naye alikuwa hajitambui?
Mental case hiyo...achana nayo
 
Mi sina shida na walimu ila wamejisahau sana ikifika meimosi huwa wanaamini ile ni siku special kwaajili yao tu na siyo watu wengine, na kwenye mbio za mwenge wanashona sare za vitenge
Na Kuna kuwabadilisha itachukua muda sana
 
Kwa hiyo hata bosi wako Majaliwa ambaye ukimuona tu unatamani kumlamba miguu naye hajitambui siyo!

Na yule marehemu unayemsujudi mpaka kesho naye alikuwa hajitambui?
Majaliwa ana akili nyingi mnooo, na aliondoka huko kwenye ualimu miaka mingi.
 
Back
Top Bottom